Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Pole kwako kuwa na one sided view of life!...

na wewe utaoa bikira, utampata wapi?...
Kwani duaniani bikra hamna au?? Hivi hawa wanawake wanaokuja kupinga hii mada ni wake za kina nani?? Au wana mpango wa kuolewa na kina nani?? Sheeenzi kabisa! Wewe kama huna wenzako wanayo tena wengi tu! Omba upate mume na sio kupinga kwamba hakuna umuhimu wa kuoa bikra!!
 
Mimi..sijasoma...ila nachosema Ni kwamba..Kujitunza Ni jambo zuri Sana..

Ila Mwenyezi Mungu nimsamehevu anasemahe.....kila KITU..

Huyo Huyo Mungu anasema Tusikae kushughulishwa na.Mazambi ya watu wengine ...

Hakuna mkamilifu Huyu anakazana na kuona UZINIFU wa WANAWAKE....Yeye Hana ukamilifu kwani nae Ni mzifu..

Pia anamadhambi Mengi Sana ambayo yeye MWENYEWE anajua..

Mungu humpa Yule amtakae..Kuna watu Ni wadhambi Sana lakini bado Mungu akawabariki Sana...mfano FARAO.

Kwaiyo...nikweli Mungu anatutaka kujitunze...lakini PIA HAWEZI KUTUNYIMA wenza.. kwasababu HAKUNA Mwanadamu aso dhambi...
Umekua🙌🏻🤝
 
Kawaida sana hii kitu.
Binafsi enzi zangu za kishuleshule nilibahatika kubanjua Bikra mbili, lakini mabinti wote hao walikuja kuolewa na wanaume wengine. Jambo la kawaida ni kila ninapokutana nao zoezi la kupasha kiporo linaendelea kama kawaida.
 
MUNGU WANGU!! unamuita mama yako malaya for few likes za Jamii forums?? WEWE UMEPINDA more than i thought,

Kwa heri! naona nimethibitisha maneno yangu mwenyewe kuwa una hatrage na wanawake...duuh

NI HIVII WEWE MPUUZI, ANZISHA POLL WANAUME WA JAMII FORUMS UONE WANGAPI WAMEOA BIKIRA AMA MAHUSIANO WALIYONAYO NI YA MWANAMKE BIKIRA...!!!???!!!

LABDA UKICONFIRM MWENYEWE BIKIRA IS NOT THAT RELEVANT NA KWAMBA HIZI TOPICS ZAKO ZINAKU POTRAY KUWA UNAISHI ULIMWENGU WA KUFIKIRIKA AND YOU ARE DELUDED PERSON THEN UTATUPUNGUZIA MASHUDU YAKO YA KUHUSU BIKIRA,

Nahisi naweza kuacha huu mjadala uendelee..maanake khaaaaaa
Toka huku kabisa maan topic haiwahusu mizoga kama ww!! Hivi uliyenae kweny mahusiano anajua kwamba unatetea umalaya huku kweli!!
 
1. Sina mgogoro wowote na wazazi wangu
2. Aliyethibitisha ni Baba yangu ambaye naye alituusia kama alivyousiwa na Baba yake(Babu yangu) Kuwa ni desturi ya ukoo wetu kuoa bikra. Hivyo huu ni utamaduni wa ukoo wetu.
3. dnio kuna uhusiano mkubwa Mkuu.

Karibu sana
Sina swal tena
 
Hii inaendelea au ndio ilifika mwisho? Maana sijaona faida ya kuoa bikira namadhara ya kuoa asiye bikra
 
hata wewe ni mzinifu,halafu uko fake sana,huendani na reality at all hio moja, na hauko real hio mbili, inaelekea unaweza kufanya lolote just to be noticed, huyo mkeo ana kazi kubeba mwanaume furushi kama wewe
Mwenye kazi ni huyo atayekuoa ww ambaye unatete ukahaba!
 
Utakuja kukutana mdada anayemaliziamalizia hedhi akubambike bikra mkuu, mapenzi hayachagui.
 
Wewe uliishia kuona tu mwenzako akapewa tunda na kutoa bikra baada ya mda huyo manzi anakutafuta na bla bla eti alitamani bikra uitoe ww hata kama ameolewa atakupa tunda mwisho wa siku kaliwa hadi papuchi imekua sugu ndio unaletewa we mnyonge halafu unafurahia.
 
Wewe uliishia kuona tu mwenzako akapewa tunda na kutoa bikra baada ya mda huyo manzi anakutafuta na bla bla eti alitamani bikra uitoe ww hata kama ameolewa atakupa tunda mwisho wa siku kaliwa hadi papuchi imekua sugu ndio unaletewa we mnyonge halafu unafurahia.
Point ya jamaa siyo kupewa tunda wa mwisho au kula makombo! Point yake ni kwamba mwanaume unaweza kuoa mwanamke bikira na bado akakusaliti kwenye ndoa kama huyo mwanamke alivyomsaliti mumewe na kutembea na jamaa mbona mnajifanya mnakaza vichwa!
 
Mtakuja lawatiwa kwenye ma lodge ya watu nyie oneni sifa tu kula wake za watu
 
Back
Top Bottom