nasema hivi .siku nitakapo muona mkeo huyo.ndo nitakuunga mkono kuhusu mtazamo wako.
Kwa Sasa hapana.
Kwa mujibu wa Biblia, Mwanaume anayo bikira.Kaolewe na mwanaume aliyekutoa bikra, kama unayo hakikisha unaitoa usiku wa ndoa yako.
Mwanaume hana bikra hili kila siku nalisema
tusidaaiana mahari.....mahari ni kwa msichana bikra......huna bikra wewe ni mwananke ntu nzima.....Watatoka wapi na wanaume ndiyo hatutaki kuuziwa mbuzi kwenye magunia
Au mnafikiri watashushwa wengine halafu hawa tunaowachezea watakuja kuyeyuka ghafla
inakaa wapi?.......wakati katika balehe nimepiga bao kibao ndotoni....Kwa mujibu wa Biblia, Mwanaume anayo bikira.
inakaa wapi?.......wakati katika balehe nimepiga bao kibao ndotoni....
Mkuu kwani umeisoma biblia ukaimaliza?Wala tusibishane, naomba kifungu iwe kwenye kitabu chochote kile wala sio bible pekee yake, usijesema nimeku-limit
mkuu sio wote ni wakristo, au sio wote wenye dini.........tunazungumza ya duniani bwashee.....katika balehe ya mwanaume bao lazima zikutoke sasa bikra ni kitu gani kwa Mwanaume........?????...sikia Mungu hakukosea, hajakosea na hatokosea, alimuumba binaadamu kwa ukamilifu till mwisho wa DAHARI.....Mkuu kwani umeisoma biblia ukaimaliza?
Mwanaume anayo bikira, lakini siyo ya kuonekana kwa macho,
ni ya ulimwengu wa Roho...
Kitendo cha Neno la Mungu kusema USIZINI
ina maana unapozini kuna jambo linatokea katika mwili na katika Roho,
ambalo linaleta uharibifu juu ya wanaozini....
Huwa sisi kama wanaume tumekuwa wepesi wa kuwalaumu na kuwanyooshea vidole wanawake kwa sababu bikra zao zinaonekana kwa macho...kwa hiyo akiwa hana anajulikana na kutambulika
Lakini tunasahau kwamba hata Mwanaume anapozini kwa Mara ya kwanza kuna UNAJISI unatokea juu ya mwili wake na Unajisi huo unaharibu mpaka rohoni, yaani Bikra yake (usafi na Utakatifu) ambao chanzo chake ni Ulimwengu wa Roho unakuwa umeondoka, na madhara yake yapo.
Unapozungumzia Bikra ni jambo la Kiroho kwanza kabla halijawa la Kimwili...
Ni kweli kabisa kama ulivyosema Madhara hayo ya kutokuwa na bikra kwa mwanamke ni makubwa na ya Aibu zaidi kuliko ilivyo kwa mwanamume kwa maana Alama pekee ambayo inayobaki kwenye mwili wa mwanamume na ikaonekana kwa macho ni Tohara...
Ila ujue wanaume nao wanayo Bikra na wanaume nao pia wanatiwa unajisi na wanawake na hili limeandikwa katika Biblia kitabu cha;
(Ufunuo 14:4)
Biblia inaeleza wazi.
mkuu sio wote ni wakristo, au sio wote wenye dini.........tunazungumza ya duniani bwashee.....katika balehe ya mwanaume bao lazima zikutoke sasa bikra ni kitu gani kwa Mwanaume........?????...sikia Mungu hakukosea, hajakosea na hatokosea, alimuumba binaadamu kwa ukamilifu till mwisho wa DAHARI.....
Nina uhakika wewe ni mwanamke na ndio maana nimekujibu hivyo.
Hakuna mwanaume wa dizaini yako, hakuna narudia. Wewe ni mwanamke, na sioni dhambi kukuita hivyo kwani ndivyo ulivyo. Dume jike hujawahi kusikia. Yaani Cover ya nje ni Me lakini ndani ni jike, ndivyo ulivyo wewe.
Kama ilivyo kwa baadhi ya wanawake, jike dume. Nje ni jike lakini ndani ni dume.
Hivyo siajabu ukashangaa kuitwa mwanamke
Wewe ni ke sema bado hujajijua, nina uhakika asilimia 90% ndani ni ke ila cover yako ya nje ndio me.
Hivyo hakuna anayekushangaa humu
Sijaona bado ulipojibu hoja yangu zaidi ya kung'ang'ania kuwa mimi ni KE! Kwani unafikiri hata uking'ang'ania kuwa mimi ni KE ndiyo itabadilisha jinsia yangu mkuu?Ndio hana akili hakuna nilipobisha,
Mwanaume hawezi jitunza, sidhani kama unajua hata maana ya mwanaume, na ndio maana nakuita wewe ni mwanamke.
swadaptaaaaaa..........Kwahiyo mnataka tukiwa tunawatoa wanawake Bikira zao tuwe tunawapa mahari zao kabisa kabla hatujaachana nao siyo
Huna jipya bibi subiri mafao yako
MTOTO MALI YA SERIKALI,ANALELEWA NA MZAZI NA. ALINDWA NA MUNGU.Huyo Mungu ndiye anasema tuoe wanawake wenye bikra sasa sijajua wewe unaabudu kamungu kapi hako.
Kuhusu suala la Mama yangu nilishalitolea ufafanuzi humu, hivyo kama ni mgeni humu naomba upitie nyuzi za nyuma.
Mwanangu hawezi kutolewa bikra bila ndoa mimi ningali hai.
MTOTO MALI YA SERIKALI,ANALELEWA NA MZAZI NA. ALINDWA NA MUNGU.
(HUNA LA KUFANYA,LABDA UMTENGENEZEEE BIKRA FEKI ZA WADIGO,KUJIPA HESHIMA)
OMBA USIJEPATA UNACHOKITAFUTA KWA NGUVU, AMBACHO NI MTOTO KUZALIA NYUMBANI.....NA KUHUS BIKRA ZA MAMAKO NA BABAKO,HUNA LA KUTHIBITISHA,KWAKUWA UMEAMBIWA TU.
NB: TAFUTA HELA ACHA HASIRA NA MABIKIRA.
Unachokisema ni wazi kabisa vijana wa sasa hatuthamin utu wetu tulio pewa na mungu na kwa karne hii kupata mwanamke bikra ni kaz na hata ukimpata inaweza kua shida kwenye tabia alaf sio kwamba bikra ndo inayotunza ndoa hapana isipokua ni mwenendo wa mwanamke mwenyewe
Sijaona bado ulipojibu hoja yangu zaidi ya kung'ang'ania kuwa mimi ni KE! Kwani unafikiri hata uking'ang'ania kuwa mimi ni KE ndiyo itabadilisha jinsia yangu mkuu?
Cha msingi jibu hoja mzee acha kuzunguka! Unaonaje ukawashikia bango na wanaume wanaozini kuwa hawana akili kama ambavyo unawashikia bango wanawake wasio mabikira kuwa ni malaya kama ambavyo maandiko yanasema mbona hapo unakwepa?
Hahaha umekosa hoja sasa unaamua kukimbilia matusi! Wewe ni mnafiki tu kijana na sijui ndiyo unadhani kwamba eti ukiniita mwanamke ndiyo nitatishika au nitanyamaza!
Luka 6:42 "Au utawezaje kumwambia ndugu yako, ndugu yangu niache nitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako, nawe huiangalii boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi kilichopo katika jicho la ndugu yako!"
Maandiko hayo hayo yamewaita watu kama ninyi wanafiki! Kwenye maswala ya mahusiano na mapenzi huwezi kusema eti wanawake tu ndiyo wana makosa au wanaume tu ndiyo tuna makosa ukiamua kuongelea hayo maswala lazima uainishe makosa ya jinsia zote mbili!
Sasa wewe kila siku umekazana kuwatukana wanawake tu kana kwamba ni wao tu ndiyo huwa wako astray kwenye mahusiano na mapenzi! Hata siku moja haujawahi kuongelea maovu ya wanaume kana kwamba wanaume huwa tuko right siku zote!
Kuna wadau kila siku kwenye mada zako huwa wanakuuliza vipi na mwanamke aliyetolewa bikira yake kwa kubakwa huyo unamuongeleaje? Nilitegemea ungekemea tabia ya wanaume kubaka wanawake lakini badala yake unajibu tu kihuni eti mwanamke aliyebakwa huyo ni case nyingine kana kwamba wanaume kubaka ni sawa tu!
Wewe ni mnafiki tu mzee! Unajifanya kutumia mwamvuli wa maandiko lakini kumbe lengo lako ni kuwatukana tu mama na dada zetu maana ungekuwa unaamini maandiko kweli usingekuwa unachagua maandiko ya kucite tena yale unayoona yanatufavour sisi tu!
You always sound like a mindless dunce! You are nothing but a certified misogynist na wewe hauna tofauti na wale wapumbavu wenzako wanaojiita feminists ambao wao kila siku kutukana wanaume tu na kutetea wanawake kwenye kila kitu tofauti yenu ni jinsia mnazotetea ila wote wanafiki tu!