Nasema ivi bikra aliye katika njia za Mungu pekee ndo mke mwema and not otherwise. Na kwa hilo Mungu atamficha kwa ajili ya a certain special someone. Sasa we kurumbembe uhangaike na dunia uje umchoshe mtoto wa watu na makutu yako umeshapeleka moto kwa wanawake 1000 na halafu upate lulu yenye thamani mavi ya bata!!!!
Mke bora ni yule anayekuheshimu, anakupenda ,hana kinyongo wala gubu na ndugu zako ,mwaminifu na mvumilivu.
Hata ulipishwe mamilioni kwa kigezo cha bikra kama hana sifa hizo za juu, umeliwa kaka [emoji23]
Wadau wanaume tunapenda Sana bikra, tunaiimba kwa nyimbo tamu na husda iliyojaa asali na thamani kubwa! Lkn je tunafanya Nini kuhakikisha hii bikra inatunzwa na binti zetu mpaka ndoa? Jibu rahisi tu sisi wanaume ndo waharibifu wa kwanza kabisa wa hizo bikra! Unamtongoza kigoli was watu kwa bidii zote, zawadi kemkem, unahonga mpaka pesa ya ada au mtaji au nauli ili upate kula mbususu mwishowe unafanikiwa na kumtoa bikra Mtoto wa watu, ukitoka hapo kijiweni kujisifia nishamaliza mchezo. Kumbe kesho yake binti anaenda olewa Hana bikra tukaanza kuwaponda. Ukitaka mwanamke bikra Anza kumuelimisha mshkaji wako aachane na mapenzi kabla ya ndoa( hahaha hapa tutauana) ili kila mwanaume aache kubikiri aende kutoa hiyo seal ndani ya ndoa! Otherwise wachawi ni sisi wenyewe wanaume!!!
amen.Nasema ivi bikra aliye katika njia za Mungu pekee ndo mke mwema and not otherwise. Na kwa hilo Mungu atamficha kwa ajili ya a certain special someone. Sasa we kurumbembe uhangaike na dunia uje umchoshe mtoto wa watu na makutu yako umeshapeleka moto kwa wanawake 1000 na halafu upate lulu yenye thamani mavi ya bata!!!!
Raha kubwa Sana, hana usumbufu na hakuna asichokijuaMe kwa mawazo yangu, natamani sana harusi zingefungwa kwa wadada, walio Na bikra hawa wengine, tusubiri kubariki tu, ndoa baadaye, kuna vitu nawaza hapa, umefunga harusi Na Mdada aliye toka chuo, huko kadanga hadi, K imetawanyika kama MTU kakinga mikono, miwili, ile Siku ya an moon, uenjoy chochote, sijui kwa wazoefu mnasemaje?
Kwanza ninini faida yakeAta hao unao sikia wanajiuza walikuwa na bikra.
Ndoa ni zaidi ya bikra, ndoa ni zaidi ya vile unavyo ifikiria.
Kwani nawe unakuwa bikra au ni ile hali ya chako kitamu changu kichungu mwanangu?Me kwa mawazo yangu, natamani sana harusi zingefungwa kwa wadada, walio Na bikra hawa wengine, tusubiri kubariki tu, ndoa baadaye, kuna vitu nawaza hapa, umefunga harusi Na Mdada aliye toka chuo, huko kadanga hadi, K imetawanyika kama MTU kakinga mikono, miwili, ile Siku ya an moon, uenjoy chochote, sijui kwa wazoefu mnasemaje?
Faida ni ww kuwa mwanaume wake wa kwanza.
Lakini anaweza asiwe wa mwishoFaida ni ww kuwa mwanaume wake wa kwanza.
hakuna asichokijua