Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,323
- 10,813
- Thread starter
- #4,481
Nasema ivi bikra aliye katika njia za Mungu pekee ndo mke mwema and not otherwise. Na kwa hilo Mungu atamficha kwa ajili ya a certain special someone. Sasa we kurumbembe uhangaike na dunia uje umchoshe mtoto wa watu na makutu yako umeshapeleka moto kwa wanawake 1000 na halafu upate lulu yenye thamani mavi ya bata!!!!
Chagua popote ujengewe sanamu lako Mkuu