Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Nasema ivi bikra aliye katika njia za Mungu pekee ndo mke mwema and not otherwise. Na kwa hilo Mungu atamficha kwa ajili ya a certain special someone. Sasa we kurumbembe uhangaike na dunia uje umchoshe mtoto wa watu na makutu yako umeshapeleka moto kwa wanawake 1000 na halafu upate lulu yenye thamani mavi ya bata!!!!


Chagua popote ujengewe sanamu lako Mkuu
 
Mke bora ni yule anayekuheshimu, anakupenda ,hana kinyongo wala gubu na ndugu zako ,mwaminifu na mvumilivu.
Hata ulipishwe mamilioni kwa kigezo cha bikra kama hana sifa hizo za juu, umeliwa kaka [emoji23]


Kama alishindwa kujiheshimu atakuheshimu wewe??
 
Wadau wanaume tunapenda Sana bikra, tunaiimba kwa nyimbo tamu na husda iliyojaa asali na thamani kubwa! Lkn je tunafanya Nini kuhakikisha hii bikra inatunzwa na binti zetu mpaka ndoa? Jibu rahisi tu sisi wanaume ndo waharibifu wa kwanza kabisa wa hizo bikra! Unamtongoza kigoli was watu kwa bidii zote, zawadi kemkem, unahonga mpaka pesa ya ada au mtaji au nauli ili upate kula mbususu mwishowe unafanikiwa na kumtoa bikra Mtoto wa watu, ukitoka hapo kijiweni kujisifia nishamaliza mchezo. Kumbe kesho yake binti anaenda olewa Hana bikra tukaanza kuwaponda. Ukitaka mwanamke bikra Anza kumuelimisha mshkaji wako aachane na mapenzi kabla ya ndoa( hahaha hapa tutauana) ili kila mwanaume aache kubikiri aende kutoa hiyo seal ndani ya ndoa! Otherwise wachawi ni sisi wenyewe wanaume!!!


Wazazi ndio watunze watoto wao,
Kama wanashindwa kuwalea vizuri mpaka wananyanduliwa hakuna sababu ya kuwaambia wanaume waache Kula Raha Kwa watoto walioshindwa kulelewa na wazazi wao.

Au walioamua kuwaasi wazazi wao
 
Nasema ivi bikra aliye katika njia za Mungu pekee ndo mke mwema and not otherwise. Na kwa hilo Mungu atamficha kwa ajili ya a certain special someone. Sasa we kurumbembe uhangaike na dunia uje umchoshe mtoto wa watu na makutu yako umeshapeleka moto kwa wanawake 1000 na halafu upate lulu yenye thamani mavi ya bata!!!!
amen.
 
Mimi kwa mawazo yangu, natamani sana harusi zingefungwa kwa wadada, walio Na bikra.

Hawa wengine, tusubiri kubariki tu ndoa baadaye.

Kuna vitu nawaza hapa, umefunga harusi Na Mdada aliyetoka chuo, huko kadanga hadi amechoka, ile Siku ya honey moon, huenjoy chochote, sijui kwa wazoefu mnasemaje?
 
Me kwa mawazo yangu, natamani sana harusi zingefungwa kwa wadada, walio Na bikra hawa wengine, tusubiri kubariki tu, ndoa baadaye, kuna vitu nawaza hapa, umefunga harusi Na Mdada aliye toka chuo, huko kadanga hadi, K imetawanyika kama MTU kakinga mikono, miwili, ile Siku ya an moon, uenjoy chochote, sijui kwa wazoefu mnasemaje?
Raha kubwa Sana, hana usumbufu na hakuna asichokijua

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Me kwa mawazo yangu, natamani sana harusi zingefungwa kwa wadada, walio Na bikra hawa wengine, tusubiri kubariki tu, ndoa baadaye, kuna vitu nawaza hapa, umefunga harusi Na Mdada aliye toka chuo, huko kadanga hadi, K imetawanyika kama MTU kakinga mikono, miwili, ile Siku ya an moon, uenjoy chochote, sijui kwa wazoefu mnasemaje?
Kwani nawe unakuwa bikra au ni ile hali ya chako kitamu changu kichungu mwanangu?
 
Back
Top Bottom