Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Kupigwa na kitu kizito kisogoni ndo huku[emoji23]
[emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupigwa na kitu kizito kisogoni ndo huku[emoji23]
We lichoyo haujambo[emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sasa hawa wanaolia lia kila siku na kuanzisha nyuzi tofauti tofauti humu wanatoka wapi ? na ukiangalia ni watu wazimaSio mwanamke tuu hata Sisi wanaume
Hii haina ukweli 100% kwa sababu kuna watu wanapendwa crazy na w'ke hawakuwatoa bikra.
Lakini mzee baba unaposema first love, je ni kila anaetoa bikra lazima awe first lover?
Ikiwa first love ina nguvu kuliko bikra basi m'ke anaweza kupenda 100% ht baada ya bikra.
Binafsi nashindwa kufanya Conclusion sababu incedence ya kutoa bikra imekaa kiupekee sn.
Na mimi ndio swali najiuliza nakosa jibu, kwa mtazamo wako First love inatoka wapi, inakuja automatically au paka nitoe bikra?Hata uwe na upendo you hauwezi zidi upendo wa mara ya Kwanza.
Unaamini miaka 32 yote hajawahi kupenda? ili tuamini mapenzi ya m'ke yameshikiliwa na bikra.Huku nimempata bikra akiwa na miaka32, hajui a wala b,nishaulini wakuuu
Huyu jamaa katupiga sana kwenye huu uzi, cha ajabu kuna viazi wata support.Unaamini miaka 32 yote hajawahi kupenda? ili tuamini mapenzi ya m'ke yameshikiliwa na bikra.
Kwa post ya jamaa hapo juu anayezungumzia demu wake wa chuo nimeelewa kuwa Kutoa bikra + first love = unconditional love, vinginevyo ni kujichoma na kitu chenye ncha kali.Huyu jamaa katupiga sana kwenye huu uzi, cha ajabu kuna viazi wata support.