Michelle98
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 673
- 2,066
Huenda haujanielewa, me namaanisha kuwa wenye hizo bikra bado wamuombe Mungu waweze kushnda vshawish mpk watakapokutana na waume zao usku ule wa ndoa yao ndo wazitoe.Huwezi omba ulichopewa Budah labda uwe hamnazo.
Ndio maana hata ulivyoandika hapa hujamuomba Mungu bali umefanya kwa uwezo wako.
Ishu ya Bikra ni ishu iko wazi kabisa, huna haja ya kuomba Mungu katika hilo labda mungu wa maboksi