Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
......kumuomba Muumba wako akutie nguvu katka misimamo uliyoamua kuwa nayo n jambo la muhimu, maana ss wanadamu n viumbe dhaifu.Hamnaga mtu Sirius ambaye atasema habari za maombi kwenye ishu zilizowajibu wake
......kumuomba Muumba wako akutie nguvu katka misimamo uliyoamua kuwa nayo n jambo la muhimu, maana ss wanadamu n viumbe dhaifu.
Kwahiyo Siku Hizi Hakuna Mambo Ya BahatiKuoa mwanamke masikini ni kucheza na serikali
Kuna sababu kwa nini mwanamke anapaswa kuolewa mapema (18 - 24). Kadri anavyozidi kuwa na umri mkubwa ni ngumu sana ku-pair bond na anakuwa ametumika sana ukilinganisha na anapokuwa na umri mdogo.Kupata alie bikira ni jambo jepesi??kweli?pengine ni mimi tu ndo niliambulia kukutana nao
ajabu yake hata dada zako woote, shangazi zako (namwacha mamako) hawakuolewa na bikra lakini wewe unataka kuoa mwenye bikra. hiyo sio haki.Mpo poah Wakuu!
Kwa ambao hamjaoa nawashauri kamwe msifikiri wala kuthubutu kuoa mwanamke masikini au asiye na Bikra. Utateseka mpaka ukome ubishi.
Mwanamke masikini ambaye Hana Kazi achana naye.
Mwanamke Masikini ambaye kwao ni fukara usioe.
Kama atakuwa na Bikra basi hiyo ndio tiketi yake ya kumuoa.
Lakini Kama Hana vyote achana naye, utakuja kunishukuru Kama wengine waliochukua ushauri wangu.
Kuishi na Mwanamke masikini ni Sawa na kulala kwenye kitanda chenye kunguni.
Wadada masikini na wasio na Bikra mada hii inaweza kuwaumiza lakini mtanisamehe.
Nimemaliza. Mod mfute na huu
ajabu yake hata dada zako woote, shangazi zako (namwacha mamako) hawakuolewa na bikra lakini wewe unataka kuoa mwenye bikra. hiyo sio haki.
Kamshirikishe bimkubwa wako hili jambo uone kama atakuangalia usoni au atainama chini. akikuangalia usoni lete mrejesho hapa. usijifanye hujui.Hiyo ni juu Yao wao wenyewe Kwa uhuni wao.
Pengine wewe ni Mgeni hapa na hujawahi fuatilia nyuzi zangu, hata nilishatolea maelezo miaka kadhaa iliyopita.
Huwaga sirudii kujibu maswali
Ndiyo Ukweli Wenyewe😃😃😃😃😃
Shikamoo Mjukuu wa Mzilankende
For sure hizi ni akili za kiTeenagers Mwanaume huwezi ukawa na mawazo kama hayaIla siyo siri hili jukwaa limeharibiwa sana na teenagers.
Zamani haikuwa hivi.
Fafanua kidogo hapaKuoa mwanamke masikini ni kucheza na serikali
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mtazamo huo wanao Loser, watu walioshindwa na maisha.
Mimi siwezi kuoa mwanamke asiye na sifa nisizozitaka.
Hata hivyo nimeshaoa 2013.
Mimi nioe Barmaid, you can't be serious