Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Kama ni mzoefu wa mapenzi huwezi shindwa kuelewa mambo madogo Kama haya.
Nakuelewa vyema sana unachosema, ninacho jaribu kusema ni kwamba, inawezekana sawa ulimpata bikra lakini hapo nyuma aliwahi kuwa na first lover wake ambaye alimpenda kwa asilimia 100 lakini hawakuwahi kufanya mapenzi, sababu mimi pia ilinikuta, nilikuwa first love wa dem flani na alinipenda mnoo lakini sikuwahi kumnyandua.
 
Nakuelewa vyema sana unachosema, ninacho jaribu kusema ni kwamba, inawezekana sawa ulimpata bikra lakini hapo nyuma aliwahi kuwa na first lover wake ambaye alimpenda kwa asilimia 100 lakini hawakuwahi kufanya mapenzi, sababu mimi pia ilinikuta, nilikuwa first love wa dem flani na alinipenda mnoo lakini sikuwahi kumnyandua.


Huyo alikuwa rafiki yako sio Mpenzi Mkuu.

Huwezi muita Mpenzi mtu ambaye hujawahi kuhusiana naye kimapenzi.
 
Huyo alikuwa rafiki yako sio Mpenzi Mkuu.

Huwezi muita Mpenzi mtu ambaye hujawahi kuhusiana naye kimapenzi.
Vipi na wale wanaokuwa forced into marriages na watu wasio wapenda ili hali wakiwa bikra ??
 
Miaka 18 akili inakuwa bado ndogo, hata umuulize mbuzi ana masikio mangapi hawezi jibu.
 
Hiyo ni exceptional cases Kama vile waliobakwa pia ni exceptional
Ndo uone sasa utofauti kati ya kuwa first love na virgin breaker, unaweza ukawa first love na usiwe wakwanza kumtoa bikra na akakupenda kwa [emoji817] percent, nakubali sana mada zako ila kwa hili umepuyanga.
 
Back
Top Bottom