wilsonwizzo3
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 625
- 2,704
Ila sio wote tunapendelea mabikra sisi wengine tunapendelea shangazi zako,Wakwangu nilipokuona ananivutia, nikazagamua Kabla sijamuoa. Nilipoikuta ndio nikaoa.
Mualiko umekubaliwa nitakuwepo😅Hakuna wa kunichapia Mkuu, uje kwenye sherehe umuone shemejio.
Bahati nzuri nilibahatika kuoa Bikra miaka mingi iliyopita, hivyo Mimi na Bibi yenu tutashiriki.Sharti ni aliyeoa mwenye Bikra au aliyeolewa akiwa na Bikra. Mbona sharti jepesi Mkuu. Au mtanisusia sherehe??
Hakika unakula mema ya nchiHayo ndio maneno sasa
Mkuu una neno gani kwa wanaooa single maza? Yani sio tu kutooa bikra, ile ilioingiza na kutoa.Habari za jumapili!
Kama kichwa kinavyojieleza, huu ni Mwaka wa 10 tangu nimemuoa MKE wangu niliyemkuta Bikra. Nilifunga ndoa 15 May 2013. Tangu nimemuoa huyu mtoto, ninakiri Mimi ni Mwanaume mwenye bahati kubwa. Kanuni iliyoniongoza ni kuoa Mwanamke Bikra, nafaidi matunda ya Kanuni Hii.
Nawakaribisha Vijana wote kwenye Bikra Festival Anniversary, wiki ijayo.
OA Mwanamke Bikra
Bikra ndio mpango, epuka kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
Nawasilisha
Huyo ana miaka 19Unajua lakini maana ya Anniversary Mkuu?
Wee njoo kwenye sherehe hayo mengine Achana nayo
Mkuu una neno gani kwa wanaooa single maza? Yani sio tu kutooa bikra, ile ilioingiza na kutoa.
Natanguliza makofi
Bikra ziko chache mtaani ulijuaje kuwa ni chuma ?Nilichagua Kula Mema ya nchi.
Haiwezekani mpaka MKE nitumie mtumba bhana
Unakuta binti alishatolewa bikra akiwa Sekondari au Shule ya Msingi. Hivyo ni kama unaoa Mke wa mtu hivi 🙌🏃🏃Itakua pouwa Sana. Maana Vijana hawa kazi kulialia Kwa ujinga wao wakuchukua makurumbembe