financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
kama ni wife material, mstaarabu huna hata ya kujiuliza hayo maswali mkuu, unless akiwa mtata anakusumbua, pia wewe ukikumbuka skirts ulizofunua inabidi utulie tu πββοΈKuoa asie bikra inauma huwezi elewa ndugu labda yakukute, angalia humu wengi wenye hasira na huu uzi wameoa wanawake used.
Aya umeoa mtumba wako uko ndani lazima tu kuna siku utajiuliza maswali mengi, kwanini sikumkuta bikra na je kashapitiwa na wangapi.
Elewa kwanza utofauti kati ya mwanaume na mwanamke usiwalinganishe hawa ni viumbe wawili tofaut kabisa, mmoja anatumia akili na mmoja anatumia hisia.kama ni wife material, mstaarabu huna hata ya kujiuliza hayo maswali mkuu, unless akiwa mtata anakusumbua, pia wewe ukikumbuka skirts ulizofunua inabidi utulie tu πββοΈ
Jitaidi upate bikra unaokoa mengi ndoaniDuh waliooa wakakuta yaliyomo hayamo na wadada ambao hawajaolewa na yaliyomo hayamo huu Uzi ni mchungu sana kwao, ngoja senior bachelor nisome maoni
Ndoa ni jambo la faragha.Na wewe ukiwa nimmoja wao, wa hao unaowasemea kua hawataki kuoa mwanamke bikra?.
Bado nipo nipo bwasheeJitaidi upate bikra unaokoa mengi ndoani
ushawahi lamba utepe?Bado nipo nipo bwashee
Kwani bikra hawezi kukosa uaminifu?Mzee wangu kigezo kikubwa cha Sisi WANAUME kutaka wanawake bikra ni kupata asilimia kubwa katika uwaminifu.
Mzee wangu hivi ushawahi kugongewa demu yani kujua Tu demu/mke wako anagongwa nje, maumivu yake unayajua Mzee wangu?
Ndio, moja nliotea dogo wa form three Moja Kwa dada Moja hv alikua first year wakati huo mi npo third yearushawahi lamba utepe?
Sawa mkuuNilikua navizia sehemu nikukute bado Mapema. Ilo jina Baki nalo tu na nakuunga mkono. Wosia wa marehemu uheshimiwe. Wakikaidi usikubali ku R.I.P urudi UWasumbue.π
Unakataa wewe sio mwanamke lakini unachoandika huwa wanaandikaga wanawake Mafeminist ,,single mothers,,Wasimbe,, Wadangaji nkUzuri mimi sio mwanamke kwa hiyo nimeignore the whole first part of your argument. Inachekesha π
Sio suala la kutaka ni suala la KUWEZA. Unaweza ukataka kesho kuwa Elon lakini unaweza?
Wanaume providers tu ndo inabidi watoe hiyo argument ya kutaka virgins. Most sio providers.
Hiyo hija ya mtoa mada angetoa mtu kama Waziri, au any top guy tungeelewa. Ukiangalia threadz za mtoa mada zinapishana.
Wengi wenu mnaotaka bikra hata hamjawahi kuexprience hiyo kitu
Enheee vipi sasa bado uko nao au ndo bas tena,af mwakani uje utafte utepe wa kuoaNdio, moja nliotea dogo wa form three Moja Kwa dada Moja hv alikua first year wakati huo mi npo third year
Mtafute mwamba anaitwa Panyar Dit akupe story zake asivyoitaka bikra.Kiranga acha uongo.
Hakuna mwanaume (mwenye akili timamu) asiyetamani kuoa mwanamke bikra.
Sijapenda,,are we necessary hiaππ₯²ππSingle maza is typing
Hapo ndiyo linakuja suala la selfishness, bikra tunatolewa na nyie wenyewe, mnatulaghai kwa ahadi kedekede, mngekua mnasema ukweli mngeona kama mngetupata. Kuweni wakweli tujitunzeElewa kwanza utofauti kati ya mwanaume na mwanamke usiwalinganishe hawa ni viumbe wawili tofaut kabisa, mmoja anatumia akili na mmoja anatumia hisia.
Swala la mwanaume kufunua sket za kutosha lisilinganishwe na swala la kuoa asiye kua bikra hii ni ishu nyingine.
Body count hua inamuathiri mwanamke kisaikolojia ukilinganisha na mwanaume, ndio maana hata kwenye dini mwanaume anaruhusiwa kuoa wanawake wengi ila sio kwa mwanamke