Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Wapo wanaovuka wigo wa mwiko na kuoa waliozalishwa kabisa,yaani mwanaume mwenzako ameloweka mpaka ametoa copy wewe kama zuzu unaenda kubeba scraper unaweka ndani unaita “mke”?
Na ndio hao unaowaona wakitukana kwenye nyuzi kamabhizi
 
Wanaume wenzangu mnawezaje kuoa mwanamke alikwishatumika? Uwa nawaza sana ni kwamba huyo uliemuoa used ni ana hela sana? Au mzuri sana kiasi kwamba unaachaje mali mpya unanunua used??? Kila nikiwa kwenye mahusiano na demu kimoyo moyo wakati wa show uwa najisemea "huyu mpaka akaolewe si atakua kaishatumika sana? Na uwa nawakaza sana kila style ili mabwege yaje kuoa used"
Dah,
Na ujue kadri unavyozidi kuchelewa kuoa wa kwako ndivyo anavyozidi kuchakazwa sana huko. Ikifika muda wa kuoa utaoa tu aliyepigwa pipe sana maana bikra hawapatikani
 
Dah,
Na ujue kadri unavyozidi kuchelewa kuoa wa kwako ndivyo anavyozidi kuchakazwa sana huko. Ikifika muda wa kuoa utaoa tu aliyepigwa pipe sana maana bikra hawapatikani
Kuna mjomba mmoja mpangaji mwenzangu, ana mke mdogo kweli yaani ( 22+) naamini yule mke alimuoa bikra maana kwanza ana adabu na hana mambo mengi yeye ni mama wa nyumbani tu.
 
Back
Top Bottom