Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Wazee waku-Breakthrough piteni hapa tujadiri na mnikosoe kuhusu ushauri nilio toa kwa huyu mdogo wangu tumbo moja ananifuata.

Huwa tunaongea mara kadhaa kama mjuavyo kwa kijana mwenye akili timamu linapofika jambo lenye umuhimu wake huwa anapenda kushirikisha wakubwa zake ama watu wake wa karibu sana.Ni siku kama tatu mfurulizo dogo ananitafuta ili nimpe ushauri na kulingana na nature ya kazi yangu sikupata muda mzuri wa kuongea nae maana muda mwingi mchana nakuwa nimepumzika.

Katika maongezi yake yeye ameniambia yupo katika mahusiano na wadada3 ambao kwa pamoja amewapima na kujiridhisha pasina shaka kuwa wanafaa kuwa wake.

Kama kaka yake mkubwa nimemuuliza ametumia vigezo gani hadi akajua kuwa hawa watamfaa wote3?
Dogo akasema yule mmoja tumuite ANITHA (siyo jina lake) alikutana nae akiwa bikira tangu wanasoma olevel wameachana madarasa mawili na miaka wamepishana 5 dogo anamzidi.

Anitha ni binti mwenye nizamu sana anaheshima ukimkataza kitu anatii elimu yake diploma ya.....Huyu anitha ana wivu sana pia siyo mtu wa mitandao nk. Anasali makanisa ya akina mwamposa yeye na wazazi wake humwambii kitu kuhusu maji ya mwamposa na kila akija kwa dogo lazima anyunyize maji mle ndani.

Wapili tumuite kikaragosi.Hiki kikalagosi dogo alikuta kimeshafumuliwa tyr japo kalimwambia ilikuwa bahati mbaya na walifanya mara moja tu kaka mchukia mazima.Tabia za kikaragosi ni njema anasema kunakipindi aliumwa basi kalitumia sana hela za nyumbani kwao kumsadia hasa chakula na matunda. Ni Mjasiria mali ,anapenda mitandao ya kijamii hadi usiku wa manane,Kwao ni fisrt born ana umbo uzuri sana kumzidi ANITHA.

Kikalagosi kikikosea hakiombi msamaha huwa kinampa zawadi kila inapobidi hasa kwenye sikukuu hbd nk Mama yake kikalagosi anajua mahusiano yao na baadhi ya wadogo zake wa kike.

Wa tatu tumuite MWENDOKASI.Huyu mwendokasi kalelewa na single maza pia nae alimbkiri. Tena huyu mahausiano hayana muda sana kwani mwaka jana ndo kamalzia kidato cha nne.Anasema hajawahi ona changamoto yoyote mpaka sasa siyo mzuri sana wala mbaya ni grade B.

USHAURI WANGU

Aneth naona kama anafaa kwa tabia ulizoziorodhesha hapo lakini kwa elimu yake huko chuoni siwezi jua sana lakini wanachuo wengi sana wanatumika nawewe unajua. Lakini huyu ndo ningekushauri umuoe katika hao3.

Huyo kikalagosi fukunzia mbali kabisa hafai. Binti yoyote mwenye kushinda mtandaoni hadi usiku wa manane hafai leo,kesho na hata milele.

Mwendokasi kumuoa ni sawa na kubeti kigezo cha ubikira wake isiwe tija sana kwako lakini unapaswa uangalie Background ya mama yake waliachana vipi na mzazi mwenzake?baada ya kuachana aliolewa tena? Je kila mtoto ana baba yake? Huyo mama anaishije na hao watoto vipi ana kazi inayoeleweka?

Kwa ujumla usijipe mtihani wa kuanza kufuatilia hayo yote.Mtoto wa singo maza lazima kashalishwa sumu nyingi sana na mama yake kuhusu baba yake. Yawezekana usinielewe kwa sasa lakini kama ulivyoniambia baba yao aliwatelekeza na hana habari nao basi weka akilini kuwa mama yao ni tatizo kubwa ..........( )


Lakini pamoja na hayo niliyokuambia ningekuwa mimi kati ya hao wote3 ninge piga chini na kuanza moja.

Kabla sijaanzisha mahusiano na binti yoyote yule ningeanza na familia yao kwanza kuangalia mambo yafuatayo
1:Magonjwa ya kurithi ie kifafa nk
2:Hofu ya Mungu
3:Elimu kwenye familia hiyo akili za darasani zimo?
4:Tabia za mama yake,je anasauti kuliko mzee nk....

Baada ya kujiridhisha ndo naanza kufuatilia mienendo ya binti hapo anakuwa hajui kuwa nipo na muwinda au la!
Baada ya kujiridhisha ndo namwambia nia yangu na madhumuni pia bila kupepesa macho muulize kama ni bikira ikiwa ndiyo plactical ni muhimu kujiridhisha utajua namna gani utamuingiza kingi hadi uipumne kwanza ndo uanze kuchumbia ulokole eti hadi ndoa itakula kwako.

Nimemwambia mengi sana ambayo sitaweza andika hapa. Hapo nyuma nilienda getoni kwake dogo nilikuwa na safari zangu nikapita kulala kwakwe hivyo yeye akaniachia geto akaenda kwa jamaa zake.

Nikiwa nimelala muda kama wa saa4 hivi nikasikia mlango unafunguliwa maana dogo alinambia kitasa kimesharibika na hakuna anajua kuwa ule mlango ni mbovu. Baada ya kuona kuwa anayeingia ni mwanamke basi sikuongea kitu muda huo nimeshalala na kujifunika shuka nikatoa kichwa tu.

Yule dada akaanza kuuliza leo umelala mapema hivi umechoka mno? (huku anavua na taa kawasha) mimi kimya badae akajibwaga kitandani akiwa kwenye chupi tu na kuvuta shuka ajifunike.Ndipo nilipomwambia mwenye room hii hayupo alitoka nduki akabeba nguo zake akakimbia uchi hadi nje huku mimi nikibaki nacheka tu kitandani.

Baada kuvaa akarudi anauliza wee nani? nikamjibu mi fau yeye samahani nilijua yupo tu joel akaaga akaondoka..Nilibaki na maswali mengi sana huyu binti katoroka kwao saa4 hii anaenda kwa mwanaume halafu bila mawasiliano mbaya zaidi anafika anaingia na kuanza kuvua huu ujasiri binti wa namna hii katoa wapi?

Sasa hivi anarudi kwao je nani atamfungulia mlango? Masaa ya kulala yalienda sana nikitafakari maswali mazito bila majibu huku nikijifananisha na mimi mademu zangu.

kwanza hawezi kuja geto bila taarifa. Hata hivyo hawezi kufika na kuanza kuvua yaani mtu unamwogelesha yeye hakujibu wewe unavua tu!!Kesho yake Dogo aliniwahi mapema tu anacheka akauliza ilikuwaje bro ? Nami nilimuuliza kwani ulimkuta yupo bikira? akajibu hapana nikamwambia malaya huyo hayupo mwanamke wakufika na kuanza kuvua kama umeshamuoa. Hata hivyo sisi tulioa wanawake waliojitunza huwa wanaibu sana kuvua mbele ya mwanaume hata kama ni mme wake itamchukua muda sana.

Nikamwambia ukitaka kuoa hakikisha unaoa mwanamke bikira.Ndo chanzo cha kuuliza ushauri huenda alikumbuka kisa hiki.

soma pia:


Sonko Bibo Manyanza
 
Mzee makongorolos unafika gheto demu Ana aibu kashavua tiyari kashakuvuta kwa bedi🤣afu breki pumbu
Hao ndio wazuri mkuu, yaani mkipanga appointment yeye ndio anakuwa wa kwanza kufika eneo la tukio, sio mama alinituma hizo habari sizitakagi
 
Wanaume wenzangu mnawezaje kuoa mwanamke alikwishatumika? Uwa nawaza sana ni kwamba huyo uliemuoa used ni ana hela sana? Au mzuri sana kiasi kwamba unaachaje mali mpya unanunua used??? Kila nikiwa kwenye mahusiano na demu kimoyo moyo wakati wa show uwa najisemea "huyu mpaka akaolewe si atakua kaishatumika sana? Na uwa nawakaza sana kila style ili mabwege yaje kuoa used"
Hata magari tunanunua used,Kupata mwanamke bikra ni bahati ,ila hakuna garantii kwamba atatulia ,wacha tuendelee na hawa used ,wameishaona rangi zote ila tupo nao
 
Nasapport mada mwanaume unatakiwa uoe mwanamke bikra, usioe wazinzi na waasherati
Kweli kabisa wanaume ififkie mda tujitambue tuwe tunaoa bikra tu tukifanya hivyo wanawake akili zitawakaa Sawa na kuwafundisha watoto wao wajitunze
 
Hata magari tunanunua used,Kupata mwanamke bikra ni bahati ,ila hakuna garantii kwamba atatulia ,wacha tuendelee na hawa used ,wameishaona rangi zote ila tupo nao
Kupanga ni kuchagua kama wewe huwezi kuoa mwanamke aliejisitiri endelea kuoa hao mitumba
N. B mwanamke asie bikra hatolewi mahari
 
Dah,
Na ujue kadri unavyozidi kuchelewa kuoa wa kwako ndivyo anavyozidi kuchakazwa sana huko. Ikifika muda wa kuoa utaoa tu aliyepigwa pipe sana maana bikra hawapatikani
Bikra wapo sana tu tatizo nyinyi mkitaka kuoa mnakimbilia hawa machangudoa hamuendi kwenye familia zinazothamini mwanamke
 
Wanaume wenzangu mnawezaje kuoa mwanamke alikwishatumika? Uwa nawaza sana ni kwamba huyo uliemuoa used ni ana hela sana? Au mzuri sana kiasi kwamba unaachaje mali mpya unanunua used??? Kila nikiwa kwenye mahusiano na demu kimoyo moyo wakati wa show uwa najisemea "huyu mpaka akaolewe si atakua kaishatumika sana? Na uwa nawakaza sana kila style ili mabwege yaje kuoa used"
Swali zuri hapa lingekua "mnawezaje kuwatoa bikra wanawake na msiwaoe?"
Ila hili lako lime base kwenye matokeo na sio chanzo cha tatizo, au mkuu unadhani hao ambao hawana zilitolewa na baiskeli?
 
Wanaume wenzangu mnawezaje kuoa mwanamke alikwishatumika? Uwa nawaza sana ni kwamba huyo uliemuoa used ni ana hela sana? Au mzuri sana kiasi kwamba unaachaje mali mpya unanunua used??? Kila nikiwa kwenye mahusiano na demu kimoyo moyo wakati wa show uwa najisemea "huyu mpaka akaolewe si atakua kaishatumika sana? Na uwa nawakaza sana kila style ili mabwege yaje kuoa used"
Yaani Kidume kizima umekaa Kabsaa unaandika kwamba wewe ni mzinzi!!!, Pamoja na yote ukichezea mabinti za watu na wa kwako watachezewa , kwahy hatuna hofu na Hilo, used wataendelea kuwepo Hadi kwenye familia Yako.
 
Back
Top Bottom