SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Jitokezee uoneUnapimaje ubikra wa mwanaume?
Utathibitisha vipi mwanaume hajawahi kufanya ngono?
Uta tofautisha vipi na uta tambuaje mkuyenge bikra na usio bikra?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitokezee uoneUnapimaje ubikra wa mwanaume?
Utathibitisha vipi mwanaume hajawahi kufanya ngono?
Uta tofautisha vipi na uta tambuaje mkuyenge bikra na usio bikra?
Ndoa ukitaka ibarikiwe mume asiwe amelala na mtu awe pureSasa bikra we wa nini
Wewe mzoefuNjoo kwangu, mboo yangu bado mpya ina maganda
Hapana, nimekaa duniani kwa miaka zaidi ya 35 nikiwa bikra nikimtunzia mke wangu mtarajiwa ambaye ni wwWewe mzoefu
😂😂😂😂😂😂😂nguvu anazitoa wapi ndio maana nawasi wasi na hitaji lako..
Kijana wa watu Hana experience na vichura,vibox manyoya unataka kumfanya Nini wewe
Mie nataka mwenye bikrasina njemba nipo seriousMabikra hatutaki, unataka utuchezee kisha utukimbie, tukutie mimba kisha utukimbie mtoto ukampe njema nyingine.. Wacha tufe na utamu wetu wa ndonga zetu.
Babu alinikataza alisema nisifanye mchezo mbaya mpaka nifikishe miaka 50, eti nikiwa nachovya chovya sana, hii inaisha kama penseli vile, toka inchi 6 inapungua, sasa nikifanya sana inakuwa ndogo panabaki sehemu ya kukojolea tu.
Am 42 now
🤣 🤣 🤣
Aje aoneHata kama ni soko huru lakini sio kwa hiyo bidhaa unayotaka
Mwanaume bikra nguvu anazitoa wapi ndio maana nawasi wasi na hitaji lako..
Kijana wa watu Hana experience na vichura,vibox manyoya unataka kumfanya Nini wewe
Mie bikra, sijawahi kutomber, ukuni wangu haujawahi kupitisha manii hata za ndoto nyevu.. Hata mkojo wa kawaida tu unatoka kwa tabu, ukuni wangu sijawahi utumia kabisaaa.. Na naogopa kweli, babu alinihusia nisimpe mtu dudu mpaka nifikishe miaka 50, wanawake wengine wanaweza zidiwa na utamu wakaing'oa kabisa na kuondoka nayo.Mie nataka mwenye bikrasina njemba nipo serious
Mimi nakushauri nenda Jupiter huku duniani hakuna mwanaume mwenye miaka 35 bikra.Ndoa ukitaka ibarikiwe mume asiwe amelala na mtu awe pure
Mimi ni bikra ila sina miaka 35 kwa hiyo nisubirie miaka kumi na zaidi mbeleJitokezee uone
Mimi bado, dudu yangu bado naitumia kutolea maji ya kupigia deki figo, yale maji ya kupigia deki KENDE sijawahi yatoa toka nizaliwe.Ukipata wawili naomba mmoja, huyu ERoni Bikra ishatoka, ama sijui hakuzaliwa nayo🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Hanipendi alisema nisimzoeeTate Mkuu umeachwa?
Nipo serious sio kafara ni kweliKafara yako ngumu sana mkuu, waambie wakubadilishie masharti...
Cha kwanza anaibu anzie wapiUnapimaje ubikra wa mwanaume?
Utathibitisha vipi mwanaume hajawahi kufanya ngono?
Uta tofautisha vipi na uta tambuaje mkuyenge bikra na usio bikra?