Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hujaeleza maana ya ukweli, kama ni ukweli kwa mujibu ni sawa utapolazimisha uwe mtazamo wa dunia nzima ndo tutaingia kuargue.


"Na ukweli ndio huu wakujue Mungu wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma" -Yesu mnazarayo
Kumjua Mungu i mean kushika sheria zake ndio ukweli
 
Mkuu mi naona ungeanzia kwenye ngazi ya familia kwa kijana wa kike na wakiume kuwaelimisha kuhusu umuhimu wa kujitunza. Uwezi kuwachezea mabinti leo utake kuoa mwenye iyo kitu wakati we ni mharibifu namba moja.
 
Kuna kisa kimoja hivi...kwa atakayenielewa atakuwa amejifunza kitu...

Siku moja kuna kipofu tangu azaliwe ndivyo alivyo kipofu... Siku moja Allah akambariki kuona kwa muda mfupi sana...alafu akamrudishia upofu wake...

Sasa katika kipindi kile amepata kuona ulimwengu ulivyo mzuri... Kiumbe pekee alichokiona mara moja ni JONGOO... akastaajabu sana... Jinsi jongoo alivyo mkubwa... NDIO KIUMBE PEKEE ALIYEMUONA...

sasa kuanzia siku ile alimhifadhi jongoo kichwani pake jinsi alivyo... Akiamini HAKUNA KIUMBE MKUBWA KATIKA WANYAMA NI MKUBWA KULIKO JONGOO...

katika pita pita zake... Alikuta sehemu watu wanabishana... NANI MKUBWA SANA KATI YA TEMBO NA TWIGA... Yule kipofu akiwa anasikiliza tu ule mjadala... mpaka wakafikia HITIMISHO kuwa TEMBO NI MKUBWA KULIKO TWIGA...

KIPOFU YULE baada ya mjadala kuisha naye akaamua kuchombeza ili kuchokoza mada upya... Akawaambia "NYIE WOTE HAMJUI JINSI JONGOO ALIVYO MKUBWA KULIKO HATA HUYO TEMBO"...


Safi sana kwa Hekaya.
 
Unajidanganya bwanaa weweee, kupata bikra sio kwamba umemalizaaa muumbe mwenyewe.
Ila kupata bikra ni......

Sasa wewe sio mwanaume hujui hype ya wanaume kuhusu bikra ila unabisha tu,jilaumu mwenyewe kutomtunuku mumeo uliyenaye au ajaye zawadi hii adhimu,sio tu kutoa povu tu,ha ha haaa
 
Mkuu kwa umri wako ushawahi kutana na wasichana wangapi above 20 wenye Bikra zaoo tuanziee hapoo!! Maana naona mnaongea hadithi tu hapaa
Above 20 ni ngumu mkuu afu ukitaka bikira tafuta mtoto aliyemaliza la saba afu hajaenda sekonda chini ya 20 unaweka mke ndani shida utakayopata wengi wana akili zakitoto yaani anahitaji maisha ya kifahari na ww ni mwalimu uliyeajiriwa juzi hawezi kukusaidia kupanga malengo kwenye familia na kama bado hujapata kazi basi kutoka kwenda popote uwe naye kama simu yaani mapenzi yale kitoto yatatawala,ila huku vyuoni kupata bikira na kwa tabia zilizopo mkuu ni kazi nyingine ya ziada hamna tofauti nakutafuta pesa au kazi
 
Kumbe unakiri bikra ni tunu na haipatikani kirahisi,sasa wewe na wenzako mnazunguka nin?
Yaani unavyoiongelea kama mimi labda sikuwahi kuwa nayo!! nakiri nilikuwa nayo now imetolewa na sijutiii kuitoa coz hata ningeiacha isingekuwa na thamani ambayo nimeipa.. Huyo ambaye ningemtunuku kwenye ndoa angeniona mshamba na kwenda kutafuta ambaye hata hakonayo hiyo bikra na hapo ndipo ninapopingana na wewe kijana wa zamani aaahaaa.
 
Tukubali .tukatae mschana mwenye bikra ni safi kwa ndoa
Kama huna hakikisha mwanao wa kike anaolewa nayo

Hakuna mwanaume ambaye hapendi bikra kwa karne hii ya 21 yenye kuweka mambo uwazi
Upate bikra aiseeeeh ntampeeenda mnooo
 
Mkuu mi naona ungeanzia kwenye ngazi ya familia kwa kijana wa kike na wakiume kuwaelimisha kuhusu umuhimu wa kujitunza. Uwezi kuwachezea mabinti leo utake kuoa mwenye iyo kitu wakati we ni mharibifu namba moja.
Vipi wale ambao hawachafui mabinti(na kwa wanaume before chuo ni wengi compared na wanawake wanakua hawajaonja) afu wanaishia kwa vitu used,
 
Mkuu mi naona ungeanzia kwenye ngazi ya familia kwa kijana wa kike na wakiume kuwaelimisha kuhusu umuhimu wa kujitunza. Uwezi kuwachezea mabinti leo utake kuoa mwenye iyo kitu wakati we ni mharibifu namba moja.


Sasa sikufunzwa Mimi acha niwachezee kama nitabahatika sawa nisipobahatika basi nitaoa kama wengine tuu nimalize zamu yangu hapa duniani
 
Tukubali .tukatae mschana mwenye bikra ni safi kwa ndoa
Kama huna hakikisha mwanao wa kike anaolewa nayo

Hakuna mwanaume ambaye hapendi bikra kwa karne hii ya 21 yenye kuweka mambo uwazi
Upate bikra aiseeeeh ntampeeenda mnooo


Shida ni kuwa akijua vya nje inasemekana na kama ndama aliyekata kamba
 
Above 20 ni ngumu mkuu afu ukitaka bikira tafuta mtoto aliyemaliza la saba afu hajaenda sekonda chini ya 20 unaweka mke ndani shida utakayopata wengi wana akili zakitoto yaani anahitaji maisha ya kifahari na ww ni mwalimu uliyeajiriwa juzi hawezi kukusaidia kupanga malengo kwenye familia na kama bado hujapata kazi basi kutoka kwenda popote uwe naye kama simu yaani mapenzi yale kitoto yatatawala,ila huku vyuoni kupata bikira na kwa tabia zilizopo mkuu ni kazi nyingine ya ziada hamna tofauti nakutafuta pesa au kazi
Inabidi ntafute hela afu nioe Katoto kadogo ka bikra ,yaan nikalee tu kanipe raha ya mwili na roho kama mswati ,mambo ya Mipango ya maisha ni jukumu langu
Yaan roho itasuuzika haya ma used nawaachia hao wanayoyaweza
 
Wengine hatujazoea elimu laini tumezoea ngumu ili mtu aelewe vizuri lazima utumie lugha hiyo mkuu
Kuna namna unaweza kufundisha mtu badala ya kusikiliza unachofundisha akaacha kukusikiliza aanze kukufundisha ww na sio ulichokifundisha sio sahihi ila namna unavyofundisha na lugha uliyotumia hata unachofanya pia
 
Yaani unavyoiongelea kama mimi labda sikuwahi kuwa nayo!! nakiri nilikuwa nayo now imetolewa na sijutiii kuitoa coz hata ningeiacha isingekuwa na thamani ambayo nimeipa.. Huyo ambaye ningemtunuku kwenye ndoa angeniona mshamba na kwenda kutafuta ambaye hata hakonayo hiyo bikra na hapo ndipo ninapopingana na wewe kijana wa zamani aaahaaa.
Ha haaa

Naona una comment kinyonge,mwanaume amuone bikra mshamba ,yaan mnadanganyana

Kifupi kuwa na bikra ni every man dream
 
Above 20 ni ngumu mkuu afu ukitaka bikira tafuta mtoto aliyemaliza la saba afu hajaenda sekonda chini ya 20 unaweka mke ndani shida utakayopata wengi wana akili zakitoto yaani anahitaji maisha ya kifahari na ww ni mwalimu uliyeajiriwa juzi hawezi kukusaidia kupanga malengo kwenye familia na kama bado hujapata kazi basi kutoka kwenda popote uwe naye kama simu yaani mapenzi yale kitoto yatatawala,ila huku vyuoni kupata bikira na kwa tabia zilizopo mkuu ni kazi nyingine ya ziada hamna tofauti nakutafuta pesa au kazi
Mkuu umefunga Mjadalaa...Kizuri hakikosi kasorooo! Oa bikra lakini akili zake zakitoto kabisaa yani...Kuna kipindi nilikuwa nimepanga geto mwana alioa demu Ana miaka 20 yule manzi isingekuwa Mimi kuheshimu ni mke wa MTU na kumuonea jamaa huruma NINGEMLAAAA...geto langu na lake yalikuwa yanaangaliana mkuu! So oa bikra lakini kichwani Maisha hajui kabisaa Ila unapata alietumika tayari Ila amayajua Maishaa...Mtoto wa miaka 19 anajua kulaa kulala tu na kufanya kazi za ndani bhasi...!
 
Back
Top Bottom