Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,323
- 10,813
- Thread starter
- #701
Mkuu kwa umri wako ushawahi kutana na wasichana wangapi above 20 wenye Bikra zaoo tuanziee hapoo!! Maana naona mnaongea hadithi tu hapaa
Kwa kweli nimekutana na wawili ila mmoja ndiye niliyembikiri na ndiye mke wangu. Wakwanza aliponiambia yeye ni bikra sikuamini. Tulipanga siku ya kukwichi kwishi. Sikuamini ilikuwa ni bikra kweli.
Nilimuacha na kumuambia tutafanya siku ingine kumbe sikumpenda na nilijua ni tamaa zangu