Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,323
- 10,813
- Thread starter
- #661
jokajeusi hii mada imetugusa kwa waoaji na waolewa yani wengi hapa tunakataa kwa sababu 98% ya wanandoa wameoana bila bikira ndio mana kuna ubishi sana ujue mtu kuolewa ukiwa na bikira kuna utofauti wa kuheshimika na kuthaminika na yule asiyeolewa na bikira hata kama ukajiona unaheshimika na kuthaminika.........dah wengi tumeoa walioanzishiwa na watu wengine....ila hivi hao wanawake hawajiulizi kwanini mwanaume kabla hajaoa anakuwa mtu wa kuonja onja sana hivi huwa hutafuta nini si kingine ni bikira hata wakabisha hapa ukweli ndio huo....hivi hawajawahi ona mtu anahairisha kuoa baada ya kukuta kitu used tayari....dhahabu haikosi soko ni sawa na mwanamke bikira never miss a man to marry....ukiona mwanaume kakuoa bila bikira ujue alizunguka kakosa kasema basi ngoja nijishikize tu hapa.....! not everything that is followed by many people is right some of them are wrong
Yeah umeongea hoja tupu. Wapo watakao niona mimi ni mkoloni wasijue hii ni mada.