Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

jokajeusi hii mada imetugusa kwa waoaji na waolewa yani wengi hapa tunakataa kwa sababu 98% ya wanandoa wameoana bila bikira ndio mana kuna ubishi sana ujue mtu kuolewa ukiwa na bikira kuna utofauti wa kuheshimika na kuthaminika na yule asiyeolewa na bikira hata kama ukajiona unaheshimika na kuthaminika.........dah wengi tumeoa walioanzishiwa na watu wengine....ila hivi hao wanawake hawajiulizi kwanini mwanaume kabla hajaoa anakuwa mtu wa kuonja onja sana hivi huwa hutafuta nini si kingine ni bikira hata wakabisha hapa ukweli ndio huo....hivi hawajawahi ona mtu anahairisha kuoa baada ya kukuta kitu used tayari....dhahabu haikosi soko ni sawa na mwanamke bikira never miss a man to marry....ukiona mwanaume kakuoa bila bikira ujue alizunguka kakosa kasema basi ngoja nijishikize tu hapa.....! not everything that is followed by many people is right some of them are wrong


Yeah umeongea hoja tupu. Wapo watakao niona mimi ni mkoloni wasijue hii ni mada.
 
Kuna kisa kimoja hivi...kwa atakayenielewa atakuwa amejifunza kitu...

Siku moja kuna kipofu tangu azaliwe ndivyo alivyo kipofu... Siku moja Allah akambariki kuona kwa muda mfupi sana...alafu akamrudishia upofu wake...

Sasa katika kipindi kile amepata kuona ulimwengu ulivyo mzuri... Kiumbe pekee alichokiona mara moja ni JONGOO... akastaajabu sana... Jinsi jongoo alivyo mkubwa... NDIO KIUMBE PEKEE ALIYEMUONA...

sasa kuanzia siku ile alimhifadhi jongoo kichwani pake jinsi alivyo... Akiamini HAKUNA KIUMBE MKUBWA KATIKA WANYAMA NI MKUBWA KULIKO JONGOO...

katika pita pita zake... Alikuta sehemu watu wanabishana... NANI MKUBWA SANA KATI YA TEMBO NA TWIGA... Yule kipofu akiwa anasikiliza tu ule mjadala... mpaka wakafikia HITIMISHO kuwa TEMBO NI MKUBWA KULIKO TWIGA...

KIPOFU YULE baada ya mjadala kuisha naye akaamua kuchombeza ili kuchokoza mada upya... Akawaambia "NYIE WOTE HAMJUI JINSI JONGOO ALIVYO MKUBWA KULIKO HATA HUYO TEMBO"...
 
we jamaa hivi utunzaji wa bikira kwa wanawake na kutumia mda mwingi kusoma vinahusianaje? alafu unaposema wanawake wa zamani na wasasa ni tofauti kwani wao hawakuwa na sexual passion kama hawa wa leo?

Either hujamuelewa au umeamua tu kumbishia naweza kujitolea kufafanua tena alichokisema.
 
Hii ndo elimu mkuu sio ww ambaye umeishia kutukana watu ambao wanaishi vizuri na ndoa yao umekwaza wengi ujue sio kwa kusema ukweli ila kwakuwatukana ungefanya kama jama alivyofanya basi kila mtu angekaa na lake moyoni


Wengine hatujazoea elimu laini tumezoea ngumu ili mtu aelewe vizuri lazima utumie lugha hiyo mkuu
 
Kuna kisa kimoja hivi...kwa atakayenielewa atakuwa amejifunza kitu...

Siku moja kuna kipofu tangu azaliwe ndivyo alivyo kipofu... Siku moja Allah akambariki kuona kwa muda mfupi sana...alafu akamrudishia upofu wake...

Sasa katika kipindi kile amepata kuona ulimwengu ulivyo mzuri... Kiumbe pekee alichokiona mara moja ni JONGOO... akastaajabu sana... Jinsi jongoo alivyo mkubwa... NDIO KIUMBE PEKEE ALIYEMUONA...

sasa kuanzia siku ile alimhifadhi jongoo kichwani pake jinsi alivyo... Akiamini HAKUNA KIUMBE MKUBWA KATIKA WANYAMA NI MKUBWA KULIKO JONGOO...

katika pita pita zake... Alikuta sehemu watu wanabishana... NANI MKUBWA SANA KATI YA TEMBO NA TWIGA... Yule kipofu akiwa anasikiliza tu ule mjadala... mpaka wakafikia HITIMISHO kuwa TEMBO NI MKUBWA KULIKO TWIGA...

KIPOFU YULE baada ya mjadala kuisha naye akaamua kuchombeza ili kuchokoza mada upya... Akawaambia "NYIE WOTE HAMJUI JINSI JONGOO ALIVYO MKUBWA KULIKO HATA HUYO TEMBO"...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sio akila za wanawakee mkuuu...! Hawa viumbe sioo kabisaa...Kumtoa wewe bikra sio Guarantee atatuliaa kabisaa....achaa hayo mawazoo
 
Labda nikuulize ki2,, una mtoto wa kike ambaye hajafikia kuolewa, then anakwambia "mama leo nimetoa bikra"[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] reaction yako ya kwanza itabase kwenye ubaya au uzuri??? ukijibu hili swali utakuw umeelewa kwamba facts zinatokana na hisia na maono...[emoji23] [emoji23]
Akikujibu nitag kuna mishe nafanya hapa
 
Sijakataa mada inahusu nn ila nakata namna uwasilishaji mkuu bikira haweizi kuwa kipimo cha akili ya mwanaume anayeoa


Napenda kutumia uwasilishaji huu mkuu. Si kila mti wenye matunda ni mtamu ipo yenye matunda machachu na machungu lakini yote ni matunda
 
Labda nikuulize ki2,, una mtoto wa kike ambaye hajafikia kuolewa, then anakwambia "mama leo nimetoa bikra"[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] reaction yako ya kwanza itabase kwenye ubaya au uzuri??? ukijibu hili swali utakuw umeelewa kwamba facts zinatokana na hisia na maono...[emoji23] [emoji23]
Kwanza miaka hiii we unaona wazazi wakikomaa juu ya bikra za watoto zaoo???? Ushwahi sikia miakaa hiii MTU kagoma kuoa mtoto mzuri kisa sio Bikraa...????[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ndo maana kasema bora kuacha vyote au nikubali hicho kilicholiwa kuhusu kumjua au kutomjua mtu haiwez kuhusika hapo,


Hapo ndipo patamu, huwezi kula makombo bhana ilhali kipo chakula kutoka jikoni. Vinginevyo ziwepo sababu za kuponya
 
Kwanza mwanaume MTU mzima unakutana na mdada unaanza kumuuliza Hivi wewe bado bikraa??? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aiseee Huyo Dada atakushangaa kwanzaa afu atakudharauu.... Labda kama mnasoma form 3 wote
 
Sasa ambae kaona ndo anashawishika zaidii kufanyaa na Ana hamu zaidiii mkuuu...! Tena Kama ushamfungua njia na hujiwezi aisee hiyo ndoaa itavunjikaa tuu... Boraa aliezoee dyudyu hataona jipyaaa...Ogopa Bikra akijanjarukaaaa ndani ya ndoa wee...


Upo sahihi 100%. Hapo inahitaji uwe mahaba kinda ndaki
 
Acha kuishi karne ya 21 kwa mawazo ya karne ya 7
Utalizwa kila siku na kuendelea kuwafungulia thread za shit wanawake as if unawakomoa
kumbe hujui kujiongeza
 
TUACHE KUJIFARIJI BHANAAH... BIKRA INA LADHA YAKE BHANAAH...

KAMA UMEKOSA KUBALI TU UPAMBANE NA HALI YAKO... USITIE TIE KASORO... WEWE ENDELEA TU NA MAKOMBO YAKO... SISI TUENDELEE NA BRAND NEWS ZETU...

HIZI NI FADHILA ZA ALLAH ANAMPA ANAYEMTAKA... NA ANAMNYIMA ANAYEMTAKA... UKIPEWA BIKRA SHUKURU TENA ZAMA HIZI TOA NA SADAKA YA SHUKRAN UKIOA UKAKUTA BIKRA ORIGINAL... LAKINI UKIKOSA VILEVILE SHUKURU... UTAPEWA KINGINE...

ANAYEBISHA... NI SAWA NA KUUKATAA ULEMAVU ULIONAO...

KUNA JAMAA HAPA NAONA ANATAFUTA KILA NAMNA KUPINGANA NASI... ILA UKWELI NI KWAMBA ANAITAMANI BIKRA...ILA HAJUI ATAIPATIA WAPI...
 
Kwanza miaka hiii we unaona wazazi wakikomaa juu ya bikra za watoto zaoo???? Ushwahi sikia miakaa hiii MTU kagoma kuoa mtoto mzuri kisa sio Bikraa...????[emoji16][emoji16][emoji16]
we ukiwa na mtoto huto jali??? maana kwa maswali yako nahakika huna mtoto...
 
Back
Top Bottom