bukoba04
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 1,402
- 1,291
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa zama hizi bikra ni chache sana na hali inaendelea kuwa mbaya zaidi kila kukicha. kama huna bahati itakuwa ngumu kupata mwisho unakubali kuchukua mmoja wa hao wanaopatikana ili maisha ya hapa duniani yaendelee.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseee mkuu umetoa ya moyoni . Dah nikifikiria kuoa ntatafuta bikra hata kama ni mwisho wa nchi hukoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap
Mwanamke bikra akikojoa chini anachimba au kasi ya mkoja utaisikia tu inavyoita ila ambaye siyo bikra... Ngoja niishie hapa.
Yaani ilikua baada ya kutafuta sana sealed hatimaye nikaikuta hapo.Mkuu sema wanawake wengi hawaelewi ile raha ya kusumbuana walati wa kukata kizibo kile wao wanaona ni mzigo fulani hivi eti mpaka wavunjwe ndo wanaona ni ujanja ila big up mkubwa umeotea sana kama ni kweli hapo ndoa yenu itadumu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ,eti amboni[emoji23] [emoji23] [emoji115] ukishaona jamii ya comment hizo basi ujue jamaa kakuta AMBONI moja ila pole mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni MATOKEO YA kuchamba kwingi MWISHOWE kubaki na mavi...kuna watu wameolewa wakiwa na watoto lkn mpaka leo wanaheshimu ndoa zao, hapo utasema mwanaume ameoa laana..? jibu ni hapana. kila mwanaume anatamani aoe bikra lkn unaweza kuta huyo huyo mwanaume ametoa bikra zaid ya 10 na bado akaoa malaya.
kuna watu wameolewa wakiwa na watoto lkn mpaka leo wanaheshimu ndoa zao, hapo utasema mwanaume ameoa laana..? jibu ni hapana. kila mwanaume anatamani aoe bikra lkn unaweza kuta huyo huyo mwanaume ametoa bikra zaid ya 10 na bado akaoa malaya.
Hawawezi changia hapa,wameuziwa mbuzi kwenye gunia wakatoa na mahari kabisa,watachungulia na kuondokaWalioooa Empty set watapita kwa hoja za povu au kwa ukimya wa hali ya juu [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu mimi as long as wamenihakikishia binti yao ni bikra nitawapa hiyo m2 au m3 na baada ya kuhakikisha mwenyewe kwenye honeymoon nawaongeza m3 ya shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajifariji,lakini too late[emoji23] [emoji23] [emoji115] ukishaona jamii ya comment hizo basi ujue jamaa kakuta AMBONI moja ila pole mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilishasema siwezi kutoa mahari kwa mwanamke asiye bikra never ever in my iife[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseee mkuu umetoa ya moyoni . Dah nikifikiria kuoa ntatafuta bikra hata kama ni mwisho wa nchi hukoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha Ha Ha watu wanaugulia moyon kila wanapokumbuka waliweka ndani kitu used, wanataman wafanye maamuz mbadala sema wameshachelewa..Walioooa Empty set watapita kwa hoja za povu au kwa ukimya wa hali ya juu [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap! kwanza kumsamehe ni rahisi mno bila kubaki na kinyongo kwa kuwa unajua uliyemvunja ni ww so swala la kuteleza unaweza lipotezea tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia hakuna mwanamke ambaye hajawahi kuwa bikra, hata malaya aliwahi kuwa bikra. Kwahiyo kama bikra ni kitu ambacho kila mwanamke aliwahi kuwa nacho, kinachokuja kutofautisha mke mzuri na mbaya ni mambo mengine kabisa. Ukipata bikra oa, lakini usije kulalamika humu hajui kupika au sijui hapendi ndugu zangu. Mfundishe, ni bikra huyo.
Sent from my iPhone using JamiiForums