Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,323
- 10,813
- Thread starter
- #101
Uzi mzuri kweli tulikose na nyie ndo mliotutoa na hamkutuwowa wametuwowa wengine basi tutawaombea mabinti na watt wetu wa kiume wapate baraka za kuzitunza.
Wewe hata kama hauna bikra naweza kukuoa kwa sabubu umekiri tumekosea hivyo kukosea kwetu isihalalishe uovu kwa Watoto wetu.
Hatuwezi kupigana na zinaa, athari za zinaa kama Ukimwi bila kuijumuisha hoja ya Bikra