Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Mtume Muhamad unajua historia yake?
Kwa ufupi ni kuwa Mtume Muhamad (S.A.W) alioa kabla hajapewa utume. Huoni tofauti hapo?
Tafuta Shekhe mzuri akuelezee umuhimu wa bikra kwa mwanamke katika ndoa.

Pia athari karibia zote katika ndoa chanzo chake ni kutokuolewa bikra kama ulikuwa hujui. Huwezi kuelewa kama hauna elimu ya dini.
Sawa. Aliowa kabla ya Utume lakini hakuiwa bikra.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hata kuteleza ni mara chache sana yaani kwenye mabinti 10 waliolewa bikira inaweza kuwa ni mmoja au asiwepo kabisa anaesaliti....

Ila kwa walioolewa tayari washafungulia ni wanawake 9 out of ten kuna possibility ya kukusaliti au kumi wote....

Kwa ufupi ni kwamba wataendelea kukazwa tena haswa haswa...

Sent using Jamii Forums mobile app


Upo sahihi Mkuu
 
Bikra nyingi zina usumbufu sana. Nashauri kuzisahau tu maana siku hizi hakuna kabisa.

Hata ardhi bikra ziliisha watu wanaparamia mwezini huko [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]


Bikra zipo nyingi sana mkuu, Binafsi nilipokuwa nasoma Chuo pale Udsm, nillikutana na bikra tatu. Moja niliikata ambayo kwa sasa ndio Mama wa wanangu.

Hizi nyingine niliziacha coz sikutaka kuingia lawama kwani nilijua sitawaoa. Binafsi ni rahisi kuchezea mwanamke asiye bikra bila kusikia hatia kubwa tofauti na kumharibu mwanamke bikra wakati najua sitamuoa. Kiukweli sitokuja nifanye hilo.
 
mi sijawahi kutana nazo. wapi huko ambako unazipata? au sababu utu uzima unachangia. wazee wenzetu huko ulaya wakienda ulaya mashariki zipo za kununua na latini america. ni nafuu kwa walio ruka stage kama mimi
Mkuu ukiwa na age kubwa uwe na gari na hela y@ mboga then zungkia vyuoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bikra zipo nyingi sana mkuu, Binafsi nilipokuwa nasoma Chuo pale Udsm, nillikutana na bikra tatu. Moja niliikata ambayo kwa sasa ndio Mama wa wanangu. Hizi nyingine niliziacha coz sikutaka kuingia lawama kwani nilijua sitawaoa. Binafsi ni rahisi kuchezea mwanamke asiye bikra bila kusikia hatia kubwa tofauti na kumharibu mwanamke bikra wakati najua sitamuoa. Kiukweli sitokuja nifanye hilo.

😅😅😅😅😅😅 kumbe bikra ni kwa ajili ya kuolewa. Asante kwa elimu hii mkuu
 
Zama zile wanaume walisaidiwa na washenga kuzitoa hizo bikra. Siku hizi, wanasaidiwa kubanisha papuchi kwani anadhani kakosea njia. Ndo maana mchina anafaidi mapesa anayopelekewa kuwauzia bikra fake kumbe ni kubana papuchi tu
 
Zama zile wanaume walisaidiwa na washenga kuzitoa hizo bikra. Siku hizi, wanasaidiwa kubanisha papuchi kwani anadhani kakosea njia. Ndo maana mchina anafaidi mapesa anayopelekewa kuwauzia bikra fake kumbe ni kubana papuchi tu
hahahahaah
 
Natamani kujua Zaidi kazi ya bikra kwenye ndoa. Ila nitajifunza taratibu haswa kwenye kizazi hiki cha sasa ambacho bikra hazina uwiano sahihi wa matunzo. Mbele imo nyuma imetoweka and vice vice versa.


Hahaaha! "Mbele imo nyuma imetoweka" Nimecheka sana Mkuu.

Hakuna bikra ya nyuma mkuu. Bikra ipo mbele kutokana na huko ndiko kuliko halali.
Tofauti ya hapo ni Uasi tuu.

Bikra humpa heshima mwanamke, familia yake na ukoo kwa ujumla. Ni dalila ya kusema familia ile imetulia.
Amini nakuambia sisi wanaume tuliowengi ni rahisi kuamini na kujivunia kuwa na mwanamke bikra kuliko asiyekuwa nayo.
 
Back
Top Bottom