Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Ukitaka gari likusumbue nunua gari used. Mpya ni mpya tuu.

Pesa ya kununua gari jipya mnayo au ilimradi kutoa maneno ya shombo? Magari mnayoagiza japan yote used.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada gar mpya waziwahi tumbo ni hii mara ya 2 naona mada hii

Watakuambia zipo ila waambie wazitafute wazilete tuone kama wanaweza

Wao ndo waharibifu kuwahi watt wa miaka 13 halafu hapa wanajidai kupiga kelele
 
Jokajeusi, Sawa tumekuelewa,ila sasa wanapatikana kweli kwenye hii dunia ya leo?maana hapa utasababisha sasa watu waoe wanawake ambao ni under age NA ukisema umchukue tokea mdogo umsubirie amalize kusoma,kivuko kigumu ni chuo kikuu,hapo kupavuka na kumaliza akiwa bikira uwezekano ni 0.0009...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann mnajadili bikra kama ni kitu ch ajabu wakat hata kwa penseli kinatoka ndani ya sec?

Halafu nani kasema ukioa bikra heshima nan atajua kama umeng'oa bikra?!

Jibu haya basi
Jokajeusi kuna hoja za msingi sana hapa unahitaji kutoa maelezo
 
Wapi bwana hata uoe bikra nyie ni vitom**i by nature bado utamsaliti na yeye akichakatwa nje na wenye show za kibabe shughuli yako imeisha

Tusidanganyane bwana

Heshima, uvumilivu sijui uskivu ni tabia ya mtu

Sasa heshima ipi aliyo nayo mwanamke aliyeolewa kama hana bikra?
Uvumilivu upi huo alionao mwanamke kama alishindwa kuvumilia nyege zake mpaka bikra ikatolewa?
Usikivu upi alionao mwanamke ikiwa hakusikiliza maonyo ya Wazazi wake kuwa ajitunze mpaka siku ya ndoa?

Mwanamke hawezi kuwa na tabia njema hata kidogo. Hivyo ndivyo ilivyo
 
Jokajeusi kuna hoja za msingi sana hapa unahitaji kutoa maelezo


Bikra sio kitu cha ajabu. Kitu cha ajabu ni kumuoa mwanamke asiye na bikra.

Mkuu hivi mwanamke atakuwaje na heshima kama hakuolewa bikra?
Exceptional waliofiwa na waume zao, waliobakwa ambao kesi zilishaenda mahakamani,

Hivi ni ishara gani itakuonyesha mwanamke anaheshima na mwaminifu kama sio bikra?
 
Sasa heshima ipi aliyo nayo mwanamke aliyeolewa kama hana bikra?
Uvumilivu upi huo alionao mwanamke kama alishindwa kuvumilia nyege zake mpaka bikra ikatolewa?
Usikivu upi alionao mwanamke ikiwa hakusikiliza maonyo ya Wazazi wake kuwa ajitunze mpaka siku ya ndoa?

Mwanamke hawezi kuwa na tabia njema hata kidogo. Hivyo ndivyo ilivyo
[emoji23][emoji23]mzee mbna unajikataa ww si umesema atakuheshimu sjui usikivu na blah blah kisa umemkuta bikra?! Inakuaje useme mwanamke haqez kua na tabia njema?!

Mtu yoyote anaetembea kavaa nguo anaheshma zake mtu alietiwa kijijini kwao akija mjini nan atajua katiwa mpaka asimpe heshima ?!


Kwani heshima ya mtu inapimwa kwa kutiwa au kuto kutiwa?!

Kwani anaenunua mchele, na anaenunua mpunga akaenda koboa kutoa mchele wenyewe wanatofauti gani

Wote si wanakula wali?!
 
Bikra sio kitu cha ajabu. Kitu cha ajabu ni kumuoa mwanamke asiye na bikra.

Mkuu hivi mwanamke atakuwaje na heshima kama hakuolewa bikra?
Exceptional waliofiwa na waume zao, waliobakwa ambao kesi zilishaenda mahakamani,

Hivi ni ishara gani itakuonyesha mwanamke anaheshima na mwaminifu kama sio bikra?
Goddess umeridhika na majibu haya??any objection plz???swal la nyongeza kama lipo??
 
Goddess umeridhika na majibu haya??any objection plz???swal la nyongeza kama lipo??
Hakuna jibu hapa tantalila boss hajanishawishi sijui aongee nn na nilivyo mbishi mpaka unishawishi umefanya kazi kweli

Ningekua sina kazzi ningejitolea kumchallenge mpaka nipate jibu

Maana nmeona kajisifu pale juu kwamba yeye hua mshindi siku zote
 
Kwani anaenunua mchele, na anaenunua mpunga akaenda koboa kutoa mchele wenyewe wanatofauti gani

Wote si wanakula wali?!
Labda kwakua mchele wa kuuzwa dukan unakua unashikwa shikwa sana na wateja halaf unageuzwa geuzwa sana wanapotaka kununua wakat wa kukuboa mwenyewe mwenye mali ndio unakua unashika kwa mara ya kwanza ..
Labda...
Au unaonaje ???
 
Hauna majobu mzeee narudia tena


UMELETA MADA WW ILA MAJIBU YAKO NI[emoji706][emoji706][emoji706]

Hauna utetezi

Bikra inayotoka hata kwa basikeli [emoji23] ibakufanya unaleta madada halafu huwezi itetea


Leo nmekushinda mm pumzika
 
Baba yako alimkuta mama yako bikra au unapiga kelele hapa
100% atakuwa alimkuta bikra,kama ana akili ya kuchanganua mambo kwa kiasi hiki basi alitokana na mwanamke msafi kwenye ndoa safi kama angetokana na aliyeolewa akiwa kopo asingekuwa na spirit hii.

Hivi vitu vinatembea na vizazi,kama mtu umetokana na roho iliyokutana na wenzake zaidi ya mmoja huwezi kuwa sawa maana akili inachanganyikiwa haijui im-copy nani imuache nani.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Hakuna jibu hapa tantalila boss hajanishawishi sijui aongee nn na nilivyo mbishi mpaka unishawishi umefanya kazi kweli

Ningekua sina kazzi ningejitolea kumchallenge mpaka nipate jibu

Maana nmeona kajisifu pale juu kwamba yeye hua mshindi siku zote

Wanawake wasio na bikra wanasifa zifuatazo

wabishi
hawana aibu
hawajui thamani ya miili yao. Ni kama wanyama tuu.
Wanadharau kwa vile tayari walishajidharau wakaitoa thamani yao
 
Back
Top Bottom