Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hakuna jibu hapa tantalila boss hajanishawishi sijui aongee nn na nilivyo mbishi mpaka unishawishi umefanya kazi kweli

Ningekua sina kazzi ningejitolea kumchallenge mpaka nipate jibu

Maana nmeona kajisifu pale juu kwamba yeye hua mshindi siku zote
Heb njoo pemben tujadil peke yetu kwa mifano hai halaf tuandae waraka wa kumpaka huyu mheshimiwa kwa msaada zaid.
 
Labda kwakua mchele wa kuuzwa dukan unakua unashikwa shikwa sana na wateja halaf unageuzwa geuzwa sana wanapotaka kununua wakat wa kukuboa mwenyewe mwenye mali ndio unakua unashika kwa mara ya kwanza ..
Labda...
Au unaonaje ???
Hakuna lolote kwan ukikoboa mashineni anakoboa nani?!

Ukitwanga nyumbani unaweza twanga gunia2 peke yako?!
 
100% atakuwa alimkuta bikra,kama ana akili ya kuchanganua mambo kwa kiasi hiki basi alitokana na mwanamke msafi kwenye ndoa safi kama angetokana na aliyeolewa akiwa kopo asingekuwa na spirit hii.

Hivi vitu vinatembea na vizazi,kama mtu umetokana na roho iliyokutana na wenzake zaidi ya mmoja huwezi kuwa sawa maana akili inachanganyikiwa haijui im-copy nani imuache nani.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Hivi ww akili yako ni coppy n paste kumbe?!

We hauna akili mpaka ufate ya mtu?
 
Bikra ilishatokaga kitambo sana. Sijutii tena namshukuru sana aliyetoa maana saivi raha mustarehe joka linateleza mpaka ndani bila kipingamizi chochote. Raha ya dudu liingie taratibu bila mikiki , maumivu hapana kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
..........Umeolewa wewe?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Sasa kama ulishindwa kulinda bikra kweli, je utatuaminishaje kuwa utakuwa mwaminifu hautachepuka?

Unajua maana ya Slid kwenye bidhaa?
Ulinde kitu ambacho kinatoka hata bila kutiwa jamaaa ushasoma makala ngapi za bikra isijekua tunabishana na bikra ilioko akili mwako
 
Nadhani hujaelewa vizuri mada hii. Jamaa anazungumzia bikra kama viashiria vya uaminifu na mengine mengi alozungumzia ktk ndoa.

Ni rahisi kumuamini na kumuelewa mwanamke ulomkuta bikira kuliko hasiyekua nayo.

Jadiri positively.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukuamini kwa kua umemkuta bikra?! Bikra inayotoka yenyewe?! Mm hamnishawishi sijui nimeelewa mada wala sijaelewa bikra za skuhizi hata kwa wanaosifika kwa bikra pemba ni1 tu ukikuta ya mbele jua nyuma kupo wazzi ni chaguo lako ss hapo.
 
Niache kula mema ya nchi nikae kulinda ka utandu juu ya papuchi ili nionekane mwaminifu [emoji38][emoji119]. No thanks

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi sijakuambia usile raha. Andiko langu linaelezeo umuhimu wa wanaume kuoa wanawake wenye bikra.
Kama umesoma hitimisho, utagundua kuwa andiko hili linawahusu vijana ambao hawajaoa kuwa waoe wanawake wenye bikra.

Sijakataza nyie mapagama kuendelea kujigeuza mbwa mkiita ndio mema ya nchi.

Kile nilichoandika kwenye andiko langu unakithibitisha kupitia maoni yako.

Vijana naombeni muone jinsi wanawake wasio na bikra wengi wao wanavyofikiri ni kama huyu.
Kula mema
 
Vita hii huwaga nashindaga. Humu ndani wanawake wananinijua nikianzaga mada za hivi hawapumui humu.
Ngoja kuna chata bado hazijaja humu. Bahati nzuri kuwa ninachokisema ndio ukweli
Chief naangalia ghala langu la silaha nikuongezee Ila naona zakwako ninzito sana...
Mkuu mwaka mpya lipua ukanda wa GAZA (Single mother)
 
Ukuamini kwa kua umemkuta bikra?! Bikra inayotoka yenyewe?! Mm hamnishawishi sijui nimeelewa mada wala sijaelewa bikra za skuhizi hata kwa wanaosifika kwa bikra pemba ni1 tu ukikuta ya mbele jua nyuma kupo wazzi ni chaguo lako ss hapo.

Bikra zipo nyingi sana. Sema wewe upo na mfumo unaokuruhusu usione kuwa bikra wapo.

Kama hujui dhima ya slid kwenye bidhaa huwezijua dhima ya bikra kwa mwanamke.
 
Jokajeusi,
Nasemaga mimi hata mambo sijui ya kibamia, uwezo wa kitandani yamekuja siku hizi kwa sababu watu ngono kabla za mapema imekuwa kawaida. Mungu alikuwa sahihi kabisa kusema watu waoane bikra kwa vitu kama hivi.
Ukiolewa bikra ukisema una kibamia itabidi utujibu wewe hogo umeliona wapi.😀
Tumeacha njia za Muumba tumefata njia zetu. Na watu wanaona ni sahihi.
 
Back
Top Bottom