Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hakuna jibu hapa tantalila boss hajanishawishi sijui aongee nn na nilivyo mbishi mpaka unishawishi umefanya kazi kweli

Ningekua sina kazzi ningejitolea kumchallenge mpaka nipate jibu

Maana nmeona kajisifu pale juu kwamba yeye hua mshindi siku zote
Heb njoo pemben tujadil peke yetu kwa mifano hai halaf tuandae waraka wa kumpaka huyu mheshimiwa kwa msaada zaid.
 
Labda kwakua mchele wa kuuzwa dukan unakua unashikwa shikwa sana na wateja halaf unageuzwa geuzwa sana wanapotaka kununua wakat wa kukuboa mwenyewe mwenye mali ndio unakua unashika kwa mara ya kwanza ..
Labda...
Au unaonaje ???
Hakuna lolote kwan ukikoboa mashineni anakoboa nani?!

Ukitwanga nyumbani unaweza twanga gunia2 peke yako?!
 
Hivi ww akili yako ni coppy n paste kumbe?!

We hauna akili mpaka ufate ya mtu?
 
..........Umeolewa wewe?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Sasa kama ulishindwa kulinda bikra kweli, je utatuaminishaje kuwa utakuwa mwaminifu hautachepuka?

Unajua maana ya Slid kwenye bidhaa?
Ulinde kitu ambacho kinatoka hata bila kutiwa jamaaa ushasoma makala ngapi za bikra isijekua tunabishana na bikra ilioko akili mwako
 
Ukuamini kwa kua umemkuta bikra?! Bikra inayotoka yenyewe?! Mm hamnishawishi sijui nimeelewa mada wala sijaelewa bikra za skuhizi hata kwa wanaosifika kwa bikra pemba ni1 tu ukikuta ya mbele jua nyuma kupo wazzi ni chaguo lako ss hapo.
 
Niache kula mema ya nchi nikae kulinda ka utandu juu ya papuchi ili nionekane mwaminifu [emoji38][emoji119]. No thanks

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi sijakuambia usile raha. Andiko langu linaelezeo umuhimu wa wanaume kuoa wanawake wenye bikra.
Kama umesoma hitimisho, utagundua kuwa andiko hili linawahusu vijana ambao hawajaoa kuwa waoe wanawake wenye bikra.

Sijakataza nyie mapagama kuendelea kujigeuza mbwa mkiita ndio mema ya nchi.

Kile nilichoandika kwenye andiko langu unakithibitisha kupitia maoni yako.

Vijana naombeni muone jinsi wanawake wasio na bikra wengi wao wanavyofikiri ni kama huyu.
Kula mema
 
Vita hii huwaga nashindaga. Humu ndani wanawake wananinijua nikianzaga mada za hivi hawapumui humu.
Ngoja kuna chata bado hazijaja humu. Bahati nzuri kuwa ninachokisema ndio ukweli
Chief naangalia ghala langu la silaha nikuongezee Ila naona zakwako ninzito sana...
Mkuu mwaka mpya lipua ukanda wa GAZA (Single mother)
 
Ukuamini kwa kua umemkuta bikra?! Bikra inayotoka yenyewe?! Mm hamnishawishi sijui nimeelewa mada wala sijaelewa bikra za skuhizi hata kwa wanaosifika kwa bikra pemba ni1 tu ukikuta ya mbele jua nyuma kupo wazzi ni chaguo lako ss hapo.

Bikra zipo nyingi sana. Sema wewe upo na mfumo unaokuruhusu usione kuwa bikra wapo.

Kama hujui dhima ya slid kwenye bidhaa huwezijua dhima ya bikra kwa mwanamke.
 
Jokajeusi,
Nasemaga mimi hata mambo sijui ya kibamia, uwezo wa kitandani yamekuja siku hizi kwa sababu watu ngono kabla za mapema imekuwa kawaida. Mungu alikuwa sahihi kabisa kusema watu waoane bikra kwa vitu kama hivi.
Ukiolewa bikra ukisema una kibamia itabidi utujibu wewe hogo umeliona wapi.😀
Tumeacha njia za Muumba tumefata njia zetu. Na watu wanaona ni sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…