Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tulia basi kidogo andika ueleweke,vitu vya humu usichukulie sana seriously hii ni wide forum kuna watakaojifunza kuna watakaokereka kama wewe na mwenzako Tuffanyy kikubwa kila mtu anataka hoja zake zieleweke.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Nakutesa sana inaonekana
 
Ujumbe umewafikia unaowahusu. Wewe tulia hapo usubiri huruma za wanaume ambao watajitolea kukuoa japokuwa umeshatumika
Uzuri hujui unaongea na bikra sio bikra

Alieolewa bikra,
Aliolewa sio bikra,
Ameolewa,
Hajaolewa

Endelea kuteseka na utateseka saaana
 
Zama hizi bado watu wanawaza mambo za bikra, lol

Ngoja niwadedicate a song from my hommie Sumalee anakwambia CHUNGWA.

 
Uzuri hujui unaongea na bikea sio bikea

Alieolewa bikra,
Aliolewa sio bikra,
Ameolewa,
Hajaolewa

Endelea kuteseka na utateseka saaana
Tukale sikukuu mpenzi wakati haurudi nyuma.
 
Sister naona unatumia lugha kali kidogo,nimeuelewa mtazamo wako kuhusu bikra,upo huru sana na mitazamo yako na hutaki kufungwa na imani,mi nadhani una haki ya kuwa hivyo lakini huna haki ya kupinga umuhimu wa Bikra kama ilivyokusudi la uumbaji.
Lugha kali akitajwa mama zenu. Acheni unafki wanawake wote ni mama hata kama hajakuzaa wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo hayatuhusu sisi peleka hisia choo chakulipia yanapna yanakutoka tu[emoji38][emoji38]

Mm hata siteseki

Kwani kuna aliyekuambia unateseka. Huu ujumbe haukuwa wako. Lakini ni kawaida kwa malaya kujiuza hata kwenye nyumba za ibada. Uzi unalenga kujenga jamii safi. Wewe unaleta uhuni wa kwenu hapa.
 
Lugha kali akitajwa mama zenu. Acheni unafki wanawake wote ni mama hata kama hajakuzaa wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli, huu uzi unahusu ni wa wote hata kama angekuwa ni mama yangu. Ndio maana mtu akimtaja mama yangu kwenye mada hii siumii. Kama alifanya uhuni haimaanishi uhuni wake usisemwe au ugeuke utakatifu.\
 
Kwani kuna aliyekuambia unateseka. Huu ujumbe haukuwa wako. Lakini ni kawaida kwa malaya kujiuza hata kwenye nyumba za ibada. Uzi unalenga kujenga jamii safi. Wewe unaleta uhuni wa kwenu hapa.
Ujumbe ulikua wako ungeandika ukuta wachumbani kwako uusome mwenyewe
 
Kuna kamsemo kamoja hivi, kila mla cha mwenzake na chake huliwa, either directly or indirectly

Wewe unainamisha kadada ka watu huko ujue na wewe ka kwako kanainamishwa huko, kwa kuwa muda wa Mungu kuonana naye bado huwezi jua.

Kaka zangu wawili, mmoja kila pichu anafunua, juzi kaoa, yeye single father kaoa single mother, maisha yanaendelea kama kawaida, maana hawezi kupata bikra wakati kafunua hadi visivyofunulika, tena mke na matattoo kama yotee, na baada ya sherehe wakaenda zao club.

Huyu mwingine kamaliza juzi ni Doctor, kaoa binti mdogo kitu new kabisa, kwa kuwa hana mambo mengi Mungu kamuona bikra ipo.

Sipingi bikra inaongeza heshima, sijui upendo na uaminifu, lakini je wewe hiyo heshima unayo, wakati kila siku kufukuzia chupi tu tena mnaambina hapa kula Kimasihara sijui shoo mbovu niliowahi kuipiga, sijui kurambana kinyeo, dude lako kila mtu kaliona kwamba mguu wa paka au kibamia kama siyo nyanya chungu kabisa.

Ndoa ni heshima na tutaolewa tu, endeleeni kujadili bikra badala ya kutafuta hela na maisha
 
Kwani kuna aliyekuambia unateseka. Huu ujumbe haukuwa wako. Lakini ni kawaida kwa malaya kujiuza hata kwenye nyumba za ibada. Uzi unalenga kujenga jamii safi. Wewe unaleta uhuni wa kwenu hapa.
Ukitaka kujenga jamii safi nenda jamii ilipo sio hata watu laki5 sijui unatupigian
kelele zaa wako awe bikra kwanza ndo ukaelimishe jamiii

Acha kula bikra za watu

Acha kula malaya


Ndo utatengeneza jamiii[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom