capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,363
- 121,260
Ha hahHuu Uzi nimejikuta nafukuafukua kwenye sahani la pilau wife ananiuliza unatafuta nini?nikalopoka "bikira"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha hahHuu Uzi nimejikuta nafukuafukua kwenye sahani la pilau wife ananiuliza unatafuta nini?nikalopoka "bikira"
Sent using Jamii Forums mobile app
Washukuru maumbile yao la sivyo wangevunja record ya Dunia.Dada watakulima matusi humu suburi uanze kuitwa mbwa[emoji38][emoji38]
Kweli kabisa yani yangekua yanaisha au kuonesha sijui wangeweka wapi sura zaoWashukuru maumbile yao la sivyo wangevunja record ya Dunia.
😄😄😄Naomba ukaangalie uzi wa mwingine kule ana mke bikra kamzalisha watt wa2 ila anadanga[emoji38][emoji38]
Chezea ufundi wa nje ww
Maana kuna wanaume wanaaza sex wakiwa na miaka 10 huyo baadae anakuja kupovuka eti nae anataka mwanamke bikra hivi kama yeye alishindwa kujitunza vipi mwanamke aweze ambaye anashawishiwa.Kweli kabisa yani yangekua yanaisha au kuonesha sijui wangeweka wapi sura zao
Naomba ukaangalie uzi wa mwingine kule ana mke aliemtoa bikra kamzalisha watt wa2 ila anadanga[emoji38][emoji38]
Chezea ufundi wa nje ww
Atalipwa usaliti kama jamaa anaempatia wake kule upande wa piliMaana kuna wanaume wanaaza sex wakiwa na miaka 10 huyo baadae anakuja kupovuka eti nae anataka mwanamke bikra hivi kama yeye alishindwa kujitunza vipi mwanamke aweze ambaye anashawishiwa.
Ile mada nimesoma ni majanga vuta picha Mwanamke katunza bikra yake anaingia kwenye ndoa na Mwanaume asiyemuaminifu.
Hapa wakipita watakuambia unateseka kisa yako ilitolewa darasa la5, unastress, choo cha kulipia, slut, subiria uonewe huruma[emoji38]Maana kuna wanaume wanaaza sex wakiwa na miaka 10 huyo baadae anakuja kupovuka eti nae anataka mwanamke bikra hivi kama yeye alishindwa kujitunza vipi mwanamke aweze ambaye anashawishiwa.
Ile mada nimesoma ni majanga vuta picha Mwanamke katunza bikra yake anaingia kwenye ndoa na Mwanaume asiyemuaminifu.
Amani na furaha ndio inahitajika kwenye ndoa nyingine mbwembwe tu.Hapa wakipita watakuambia unateseka kisa yako ilitolewa darasa la5, unastress, choo cha kulipa, slut, subiria uonewe huruma[emoji38]
Masha allahAmani na furaha ndio inahitajika kwenye ndoa nyingine mbwembwe tu.
Left hand side is equal to the right hand side,Bikra ilishatokaga kitambo sana. Sijutii tena namshukuru sana aliyetoa maana saivi raha mustarehe joka linateleza mpaka ndani bila kipingamizi chochote. Raha ya dudu liingie taratibu bila mikiki , maumivu hapana kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Bikra,Niache kula mema ya nchi nikae kulinda ka utandu juu ya papuchi ili nionekane mwaminifu [emoji38][emoji119]. No thanks
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahahahhaahahahahahahahhahahaha!!!
Mkuu Hii vita unayopigana umejipanga? Isije kuwa km movie yakihindi staring anafia kwenyemauwa!!!
Gud luck
View attachment 1303050
Mkuu naendelea kuamin kichwa yako...Huko sitogusa kwa heshima ya umama, na watoto waliozaliwa
Dunia ya leo siyo ya kuhangaikia bikra tena,tunahangaikia tabia!Habari Wakuu!
Bikra ni kapu la ndoa lililobeba mambo yafuatayo;
Ni rahisi kumuamini mwanamke uliyemkuta bikra. Ni rahisi kumtetea kuwa yeye sio mzinzi kwa kuwa ulimkuta akiwa na bikra. Ni rahisi kuweka rehani kwa mwanamke uliyemkuta bikra. Mwanamke mwenye bikra anahaki ya kuaminiwa. Ni halali kumuamini mwanamke mwenye bikra. Mwanamke uliyeitoa bikra yake ukamuoa anakuamini kuliko unavyofikiria.
- Uaminifu
Huwezi kumuamini mwanamke usiyeikuta bikra. Mwanamke asiyebikra kamwe hawezi kuwa mwaminifu hata angekuwa mcha Mungu kiasi gani. Ikiwa alishindwa kutunza bikra yake kabla ya ndoa atawezaje kuilinda nyeti zake baada ya wewe kumuoa. Mwanamke asiye na bikra kamwe hawezi kukuamini kutokana na kuwa tayari alishatendwa na hivyo anajua kuwa wanaume wote ni sawa.
Ikiwa yeye hakuamini wewe unaanzaje kumuamini?
Kuoa mwanamke uliyeikuta bikra ni heshima. Sio tu kwa binadamu hata falme za kiroho. Kizazi chenu kitaheshimiwa hasa na falme za kiroho. Kitakuwa kizazi kisicho za zinaa. Lakini nakuhakikishia kama ulichukua mwanamke asiye na bikra utashangaa unaletewa mimba za watoto wako hata kabla hawajaolewa.
- Heshima.
Unao uwezo wa kutangaza kwenye harusi kuwa mwanamke uliyemchukua umemkuta mpya hajatumika. Kisha ukatoa zawadi kwa waliomlea. Bikra ni heshima mpaka kwa wazazi wa mwanamke na jamii kwa ujumla. Mwanamke asiye na bikra sio tuu yeye ndiye anatabia mbaya bali hata waliomlea nao walishindwa kumlea mtoto wao katika maadili mpaka wakakupa litoto lililoharibiwa.
Mwanamke uliyemkuta bikra kuna uwezekano mkubwa wa kukuvumilia kwa asilimia 90. Kama alivyoivumilia mbo*o wakati ukiitoa bikra yake ndivyo atakavyokuvumilia wakati ukiishi naye. Wanawake wengi walioolewa na bikra ni wavumilivu kwa kila hali. Najua wengi hawajui. Lakini sisi tuliobahatika kuwapata wanawake wenye bikra tumeshuhudia mambo haya. Hata ndoa za zamani wanawake wengi walikuwa wavumilivu kwa sababu wengi wao waliolewa na waliowatoa bikra.
- Uvumilivu
Mke uliyemuoa akiwa na bikra ni role model mzuri kwa watoto. Mke atajua namna ya kuwafundisha watoto wa kike umuhimu wa bikra. Atakuwa na ujasiri wa kuwaambia kuwa Baba yao alimkuta bikra. Lakini ukioa jianamke lisilo na bikra sio tuu umechanganyikiwa bali unaenda kuzaa watoto watakaochanganyikiwa zaidi.
- Role model
sio ajabu kizazi hiki kila kijana anawaza ngono. Sasa unafikiri atawaza nini ikiwa mama yake alikutwa ni mzinzi. Hakukutwa na bikra. Mwanamke mwenye bikra ni role model mzuri kwa mafunzo kwa watoto.
Mwanamke aliyeolewa akiwa na bikra huridhika na maumbile na mapenzi ya mume wake. Hakuna kibamia ukioa mwanamke mwenye bikra. Lakini ukiona mwanamke anajadili maumbile ya wanaume ujue ameathirika na masuala ya uasherati. Kamwe hutokuja usikie mwanamke aliyeolewa bikra akiongea kauli za hovyo. Sijawahi kuona.
- Kuridhika
Mwanamke ni kiumbe mzuri sana akikutwa na bikra. Kabla hajaharibiwa na mashetani. Wanawake wanaridhika ikiwa utawaoa wakiwa bikra
Mwanamke uliyemuoa akiwa na bikra lazima atakusikiliza na kukutii. Hawezi kukudharau. Hawezi kufundisha watoto upuuzi wa kukupuuza. Lakini ukioa mwanamke asiye na bikra lazima atakudharau. Atakuona wewe ni mtu wa makombo. Mtu usiyeweza kuchukua vitu vipya. Mbaya zaidi ukitaka uharibu kabisa. Mpende sana ndio utakiona cha mtema kuni. Jinsi unavyozidi kumpenda ndivyo anavyozidi kukudharau. Lakini mwanamke uliyemkuta bikra jinsi unavyompenda ndivyo unavyozidi kuuteka moyo wake.
- Usikivu na Utii
Usishangae kwa nini mwanamke unalihudumia bado halikuheshimu, linakudharau, linachepuka na kukutungia majina ya hovyo. Usishangae mpaka majina ya hovyo liliyataja mbele ya watoto wako. Ndio madhara ya kuchukua vitu vilivyooza, kuchukua mitumba. Wewe uliona wapi mla mizoga akiheshimiwa, hata viumbe wanaokula mizoga huoni majina yao na jinsi wanavyodharaulika.
Wakati mwingine mwanamke ambaye hana bikra anatamani akuheshimu lakini nature haimruhusu. Lazima atajikuta anakudharau tuu. Atakuheshimuje ilhali umemchukua hana bikra. Nature italazimisha udharaulike.
Mwanamke mwenye bikra atatunza kumbukumbu isiyofutika. Hata ufe leo atakukumbuka miaka yote. Ukioa mwanamke mwenye bikra wewe ndio unaandika historia ya mapenzi katika maisha yake. Hana kumbukumbu ya zamani kwani wewe ndio wa kwanza. Wewe ndio mwalimu wake utakayemfundisha kusoma. Hatasahau irabu na konsonanti utakazo mfundisha mpaka mwisho wa maisha yake.
- Kumbukumbu
Lakini ukioa hawa madunga embe utaumia. Unaenda kufundishwa historia ya mwanaume mwenzako. Mara mbona mwenzako alikuwa anapiga vitatu kwa mpigo. Mara mbona mwenzako alikuwa akinibeba au kunipa hela. Yaani utalinganishwa na Ex wake kwa kila kitu.
Mwanamke aliye na bikra huwekeza moyo na mali kwa mume wake. Atakupa mapenzi yote na mali zake zote. Mtashare kila kitu. Waliowahi kuwa na wanawake wenye bikra wataungana na mimi kuwa mwanamke aliyetolewa bikra sio mbinafsi. Mnashare mali zenu ila hiyana. Lakini hawa mashankupe utasikia chake ni chake, na chako ni cha wote. Hao ndio unashangaa linajenga nyumba kwao kisiri wewe huna ujualo. Wanawake walioolewa na bikra hawana siri. Watakuambia kila kitu chao.
- Kuwekeza na Siri
Mwanaume akioa mwanamke mwenye bikra anajiamini mara elfu moja tofauti na yule aliyeoa mwanamke asiye na bikra. Mwanaume ukioa mwanamke mwenye bikra hata ukienda ukweni hunawoga. Unajua kabisa mtaani hapo hakuna anayemjua mke wako kwa kuwa ulimkuta bikra. Lakini ukioa asiye na bikra huwezi kujiamini. Unaweza kwenda ukweni hata uwe na gari kali sijui BMW X6 bado utakuwa hujiamini ukipita na mke wako. Kwanza utajiaminije wakati huenda kuna mwanaume mwenzako anakucheki tuu unavyotembea na gari lako wakati mkeo wanamjua enzi hizo akiwa ua saa sita.
- Kujiamini
Alafu mbaya zaidi siku mkeo akienda mwenyewe kusalimia kwao hapo ndio huenda kucharazwa na ma- Ex wake. Nani asiyejua kuwa wanawake wengi walioolewa wanato*ombwa wakirudi kwao kwenye misiba au harusi za ndugu zao. Huchapwa na wapenzi wao wa zamani. Nani asiyelijua hilo.
Najua kuna watu watakataa jambo hili. Lakini wataonekana ni wajinga kwa sababu ikiwa ulimkuta mkeo hana bikra kwa nini upinge jambo hili. Utamuamini kwa kipi. Nini kinakufanya umuamini mkeo ikiwa hukumkuta bikra.
Bikra ndio alama ya uaminifu kwa mwanamke. Maneno ya mwanamke hayamfanyi mwanaume mwenye akili kumuamini mke wake ikiwa hakumkuta bikra.
Mimi mke wangu hata kama nikisikia anatoka na fulani sitaamini miaka mia mpaka nimfumanie kwa kuwa nilimkuta bikra. Bikra yake ndio inambeba. Lakini kama hana bikra hata nisipoambiwa anachepuka mimi nitajua anachepuka kwa vile sikuikuta bikra.
Mwanamke asiye na bikra hata nikimsingizia kuwa kuwa anachepuka hana uhalali wa kunipinga ikiwa sikuikuta bikra. Lakini mke wangu nitamwambia akatae mara mia kuwa hachepuki mpaka nimfumanie kwa vile niliikuta bikra.
Nitamsamehe mwanamke niliyeikuta bikra kwa vile nitajua kuwa ameteleza na wala sio tabia yake. Lakini jitu sikulikuta bikra bado liniambie limeteleza hiyo sasa ni dharau.
Kwanza lilinidharau kunipa bidhaa iliyotumika. Alafu leo tena liniambie imenywewa bahati mbaya.
Mwisho; Natoa wito kwa vijana ambao hawajaoa kuwa usijeoa mwanamke asiye na bikra. Oa mwanamke mwenye bikra. Utakuja kunishukuru badae. Achana na porojo za watu humu hasa wanawake kuwa ati bikra haina uhusiano na tabia. Mwanamke atakayekuambia hivyo mwambie sharti awe nayo kwanza hiyo bikra ndio umskilize. Ukitaka ndoa iwe ndoano basi oa pagama. Ukitaka gari likusumbue nunua gari used. Mpya ni mpya tuu.
Kwa wale mliooa pambaneni na hali zenu.
JokaJeusi.
Mpiga kampeni wa kurudisha heshima ya ndoa kwa kuwamahasisha watu watambue thamani ya bikra
[emoji28]Nyie hamuendi kula krismas mnajadili bikra kama mkiikuta mtaoa vile.
We jamaa, merry Christmas and happy new year, umenifanya nicheke kwa nguvu hapa😂😂😂😂😂, anyway. nimekuwa msomaji tu na ibaki hivyo.Huu Uzi nimejikuta nafukuafukua kwenye sahani la pilau wife ananiuliza unatafuta nini?nikalopoka "bikira"
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu gani mkuu ?Kuna watu wana hasira sana
KumbeeeeKweli kabisa yani yangekua yanaisha au kuonesha sijui wangeweka wapi sura zao
Naomba ukaangalie uzi wa mwingine kule ana mke aliemtoa bikra kamzalisha watt wa2 ila anadanga[emoji38][emoji38]
Chezea ufundi wa nje ww
[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]Atalipwa usaliti kama jamaa anaempatia wake kule upande wa pili
Unampa bikra akishaitoa kakumaliza kakuzalisha ss hv anahangaika na wengine we huna utamu tena maana labda hata haujafundwa
Mwenzio nje anamiuno ya paka chongo we akusubiri anataka nn