DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
AiseeeehHakuna Bikra,
Proved
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeehHakuna Bikra,
Proved
Watu gani mkuu ?
Akufanyiaye ubaya mlipize kwa jema mkuuWe huoni matusi ya hao kina dada
Kipi kikusinzishacho[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
Umepaona huko kwingine?!Kumbeeee
Njaa mkuu.Kipi kikusinzishacho
Hapana. Naomba linkUmepaona huko kwingine?!
Mmmh,unatamani kukutana na mwanaume bikra?Yaani hata mi natamani sana wanaume wote wangeutunza uanaume wao kwa ajili ya wake zao..ndoa zote zingekuwa za mabikira na zingekuwa tamu sana wallah
Natumia app ambayo haichukui linkHapana. Naomba link
Hivi kwa nini mtu akinya anakuwa mpole sana hata Kama ni baunsa[emoji849][emoji38]Hahahahahahahahahhaahahahahahahahhahahaha!!!
Mkuu Hii vita unayopigana umejipanga? Isije kuwa km movie yakihindi staring anafia kwenyemauwa!!!
Gud luck
View attachment 1303050
Oooooh basi sawaNatumia app ambayo haichukui link
makalio unayo lakini?Watu wenyewe hawa wavulana akili mmezikali mkalioni
Hamna anae think out of the box
Napoteza energy kubishana na kijana aliegandisha akili yake na super glue
hakana bikira zote moja ilitolewa kwa Nokia tochi nyingne na infinixTunaomba ambao hawajaolewa na bikra pia hawana wawe wavumilivi kidogo mana kuliza baba yako alimkuta maza na bikra ni dalili ya kupanic
Sent using Jamii Forums mobile app
hajasomaga hata communication skills chuo kikuu huyo.Hawa najua namna ya kuenda nao sawa. Hawanipi tabu. Kuna mmoja hapa nimeona nianze kwanza kumfundisha kuandika japo najua sio kazi yangu.
Hawa atleast kidogo bikra inaleta hadhi ya binti status yake kuwa ni wa aina gani?Mnatwanga maji kwenye kinu mngeanza kuelimisha upande wa kiume kwanza kijana ukikuta bikra ni kuoa matokea yake kwa sasa wakikuta bikra ni kujisifu wanatembea kwa mwengine. Ndoa zenyewe kwa sasa ni majanga tusidanganyane bikra haileti utulivu kwenye ndoa ili kuwa zamani wazee wetu walioenda jando sio wa sasa jeuri kibao.