Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Kweli kabisa yani yangekua yanaisha au kuonesha sijui wangeweka wapi sura zao

Naomba ukaangalie uzi wa mwingine kule ana mke aliemtoa bikra kamzalisha watt wa2 ila anadanga[emoji38][emoji38]

Chezea ufundi wa nje ww
Maana kuna wanaume wanaaza sex wakiwa na miaka 10 huyo baadae anakuja kupovuka eti nae anataka mwanamke bikra hivi kama yeye alishindwa kujitunza vipi mwanamke aweze ambaye anashawishiwa.
Ile mada nimesoma ni majanga vuta picha Mwanamke katunza bikra yake anaingia kwenye ndoa na Mwanaume asiyemuaminifu.
 
Atalipwa usaliti kama jamaa anaempatia wake kule upande wa pili

Unampa bikra akishaitoa kakumaliza kakuzalisha ss hv anahangaika na wengine we huna utamu tena maana labda hata haujafundwa

Mwenzio nje anamiuno ya paka chongo we akusubiri anataka nn
 
Hapa wakipita watakuambia unateseka kisa yako ilitolewa darasa la5, unastress, choo cha kulipia, slut, subiria uonewe huruma[emoji38]
 
.........Jamani wanawake wamewakosea nini lakini?.........


,,,,,,,,,,,,,,bila shaka mwandishi ni under 25.........hana ndoa wala hana mke...........


.........unaposema mwanamke ambae hana bikra hawezi kuwa mwaminifu hata kama ameokoka, nadhan unaipotosha nafsi yako na wengine,............


......maana wanawake wengi walioolewa bikra ni wazinzi wazuri sana, tena wanaweza ku-offer hata tigo wakikolea huko nje.........


N.B/......kama binti humtaki mwache aende, sio kumdhalilisha, wengine hizo bikra walitolewa ktk mazingira ambayo wao hawakupenda, hivyo usihukumu........ mnawaongezea uchungu!........





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia ya leo siyo ya kuhangaikia bikra tena,tunahangaikia tabia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu Uzi nimejikuta nafukuafukua kwenye sahani la pilau wife ananiuliza unatafuta nini?nikalopoka "bikira"

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa, merry Christmas and happy new year, umenifanya nicheke kwa nguvu hapaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, anyway. nimekuwa msomaji tu na ibaki hivyo.
 
Kweli kabisa yani yangekua yanaisha au kuonesha sijui wangeweka wapi sura zao

Naomba ukaangalie uzi wa mwingine kule ana mke aliemtoa bikra kamzalisha watt wa2 ila anadanga[emoji38][emoji38]

Chezea ufundi wa nje ww
Kumbeeee
 
Atalipwa usaliti kama jamaa anaempatia wake kule upande wa pili

Unampa bikra akishaitoa kakumaliza kakuzalisha ss hv anahangaika na wengine we huna utamu tena maana labda hata haujafundwa

Mwenzio nje anamiuno ya paka chongo we akusubiri anataka nn
[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…