Huyu dada akamatwe afungiwe jiwe atupwe bahariniSio azini ajifuraishe maisha Kama haja enjoy before marriage unafikiri huko ndio ata enjoy life
Mkuu..nipe huyo mtoto nikuleleee..naweza nisimpende zaidi yako..ila anaweza akanusurika na Mengi.Sio azini ajifuraishe maisha Kama haja enjoy before marriage unafikiri huko ndio ata enjoy life
Cariha, you are a real feminist.Mimi nitazungumziaje maamuzi ya watu na miili yao jamani, kwangu mimi na mipaka mtu anayejiskia kufanya na afanye tu kwa Raha zake Mimi ni Nani nihukumu wengine.
We unayo bikra? Tuanze hapo kwanza.Nilie kwani wanawake wameisha?
Nitaoa hata kila siku. lakini siwezi kuoa mwanamke asiye na bikra.
Mwanangu hawezi zaliwa na mwanamke asiye msafi. Hilo haliwezekani
Hahaaaa😂Nafahamu yote hayo, akichepuka haina shida, nitamfukuza kwa umalaya.
Nitatafuta bikra mwingine, lakini kamwe siwezi oa mwanamke asiye na bikra.
Yaani mtoto wangu apite kwenye njia iliyoingiziwa Mboolo nyingi hiyo sitaruhusu, lipo chini ya uwezo wangu.
hahaaaa nimeCheka sana 😂 😂 😂 😂 😂 kmmkMkuu hujatuelekeza hii mitumba yetu tukaitupe wapi sasa 🙂🙂🙂, ila kiukweli wanaume wote tulikuwa na ndoto za kuoa mabikra hawa ila tukakosa na inatuumiza kuoa used mkuu.
Wacha weeee 😂Unapata kabinti spesho kabichi, kasomi, alafu kana bikra. Raha ilioje.
mtoa mada mbona ameshasema kuwa 10% ya walioa bikra ndio wanapitia cjangamoto ktk ndoa yao.. So huyo jamaa yako mtoa mada ameshamuweka ktk 10% but majority wanafaidi 😂 😂 according mtoa madaKuna rafiki yangu alioa mwanamke kisa tu alimkuta bikra, na alitumia gharama zaidi ya million 32 na baada ya miaka 2 ndoa yao ilivunjika,
Yeye ni mtu wa kusafili na magari makubwa kwenda nchi mbalimbali ,kumbe huku mke amepata wajanja wanampa mautundu ambayo hayapati kwa jamaa na ndoa ikaishia hapo.
Well said 100%endelea kujidanga bt kwa mbali bandiko lako linanukia kaharufu kakujifariji na stress za maisha, mimi nimeoa mke bikra bt siwezi jisifia ujinga coz nawajua wanawake wa zama hizi
Kumbe we pia ni Malaya na mzinifu lakini bado una laumu wengine. Bro wewe ni fisi maji. [emoji23][emoji23][emoji23]Alikuea mbali, nimekula kabla ya ndoa.
Nimemuoa, kugegedwa sijui lakini nimeshaeleza 10% ndio huwa sio waaminifu
Ila hawa makurumbembe 90% ni malaya. Shuhudia mitazamo yao humu
Mkuuu...Tusifike hukoHuyu dada akamatwe afungiwe jiwe atupwe baharini
mtoa mada mbona ameshasema kuwa 10% ya walioa bikra ndio wanapitia cjangamoto ktk ndoa yao.. So huyo jamaa yako mtoa mada ameshamuweka ktk 10% but majority wanafaidi [emoji23] [emoji23] according mtoa mada