Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hakuna mwanaume asiyependa mwanamke Bikra, ni heshima kubwa sana na inamaanisha mengi.

Mungu mwenyewe alimchukua Bikra ili amzaliye mwanaye, binadamu ni nani hata apingane na mapendekezo ya Mungu?

Bora kuoa Bikra asiye mzoefu ili ukamfunze mwenyewe kuliko anayekuja na uzoefu lakini ni damaged physically and emotionally.
Mungu hakuwa na maana hyo unayoifikiria...na wala Mungu hana mke wala mtoto..
 
Mkuu bikra ipi inazungumziwa hapa!? 😜

Tumuache kwanza, naona ulanzi wa mahaba umemkaa pazuri. Cha kumsihi tu ahakikishe hamuachi mkewe popote aendapo kikazi esp. uhamisho wa kimkoa 😂😂😂
 
Hakuna mwanaume asiyependa mwanamke Bikra, ni heshima kubwa sana na inamaanisha mengi.

Mungu mwenyewe alimchukua Bikra ili amzaliye mwanaye, binadamu ni nani hata apingane na mapendekezo ya Mungu?

Bora kuoa Bikra asiye mzoefu ili ukamfunze mwenyewe kuliko anayekuja na uzoefu lakini ni damaged physically and emotionally.
Hyo huwa mnajifariji tu haina maana yoyote hasa sikuhizi bikra xinatengenezwa na uke una banwa vizuri wewe hujui wajiona umepata
 
Hakuna mwanamke mwenye kinga ya kutokuchepuka.
Lakini mleta mada yupo sahihi kwa 100%!

Mwanamke siku zote anamheshimu na kumkumbuka sana yule mwanaume aliyembikiri. Yule ndiye aliyempiga chata ya Kwanza ya kiume(sexual imprint).

Kwa mwanamke yule mwanaume aliyembikiri ana matter mno, hata wanaume wengine watakaofuata inabidi wawe na ufanano na yule Me aliyembikiri ndipo waweze kumvutia huyo Ke maana wanaibua kumbukumbu za yule aliyembikiri.
Kudos Jokajeusi !
Virginity matters!!!
Ndio Virgin matters ila sio kwa kibongo bongo. Labda ulaya! Unamtoa bikra mwanamke na baadae anagundua we sio type yake anaenda olewa na mtu mwengine ushafikria🤣🤣🤣
 
Ndio Virgin matters ila sio kwa kibongo bongo. Labda ulaya! Unamtoa bikra mwanamke na baadae anagundua we sio type yake anaenda olewa na mtu mwengine ushafikria🤣🤣🤣
Issue siyo kubikiri bali kuoa Bikra... ni vitu viwili tofauti Bro.
 
Mbona hata wewe unajifariji ndugu kazi ya k nikutumika kwa Sana hzo bikra mbwembwe tu, mwanangu mwenyewe kuliko asi enjoy life eti anamtunzia wa kumuoa too me ni madness, I believe peoples beauty in their heart na sio hyo bikra
Mkuu...usimuache mtoto wako awe mzinzi kwa kigezo Cha kuenjoy maisha...Khaaa SASA ULEZI GANI HUU...

yaani utamsihi akatombane afurahie maisha...Mh
 
Mkuu...usimuache mtoto wako awe mzinzi kwa kigezo Cha kuenjoy maisha...Khaaa SASA ULEZI GANI HUU...

yaani utamsihi akatombane afurahie maisha...Mh
Sio azini ajifuraishe maisha Kama haja enjoy before marriage unafikiri huko ndio ata enjoy life
 
Back
Top Bottom