cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Naona umeanza kashfa Malaya ni aina ya maneno hata kwenye khanga yapoNani kakupangia. Nimeshauri vijana, wewe ni kijana au ndio zile zile tabia za kimalaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umeanza kashfa Malaya ni aina ya maneno hata kwenye khanga yapoNani kakupangia. Nimeshauri vijana, wewe ni kijana au ndio zile zile tabia za kimalaya
Mbona unafikiri na kuhoji kitoto sana, nani alikwambia kila kinachochezewa au kinachochezewa ni mpira tu ?Sina hata wa kusingiziwa Mimi kabisa, na pia mtoto atachezewaje kwani amekuwa mpira?
Sawa. Ngoja tuone.Hata ununue gruneti gani wahuni watapita na binti zako ka mwewe
Kila siku naandika point, sema leo nimeandika kile unachokipenda.Naona leo umeandika point kuliko siku zote
Mkuu huo muda 19 mpaka 25, ulimsubiri ukamtoa bikra akiwa ndoani (ukiwa uishamuoa) au bikra uliitoa kabla hamjaoana ?Nimempata akiwa na 19
Nikamuoa akiwa na miaka 25
UKWELI NI HUU..
Mleta mada yupo sahihi kabsa japo lugha aliyoitumia sio lugha ya nzuri...
Bikra ina nafasi yake kubwa ktk ndoa...kuna faida nyingi na hasara kidogo kumuoa mwanamke bikra (kigori).
Kwa Imani ya dini yetu ya kiislamu Mwenyezi Mungu ametuahidi wanawake bikra (mahurul lain) kwa wale watakao fudhu ktk hukumu yake...why bikra? apo ndo utajua thamani ya bikra.
Lakini katka Imani yetu pia Mwenyez Mungu ametuambia....muumini atamuoa muumini mwenzake,mzinifu atamuoa mzinifu mwenzake,na mshirikina atamuoa mshirikina mwenzake....but apo Kwenye muumini aja taja bikra wala asiekuwa bikra,kuna hekima kubwa sana apo...
Mwenyezi Mungu alijua haya yote yatatokea ndomana ktk makemeo yake amesema....."wala tusiikaribie zinaa" yaani kuikaribia but leo hii wengi tunaipupia....na chanzo cha yote hayo ni wanawake hii inareflect tangu kule bustanini Hawa alivyoshawishiwa na nyoka kulila lile tunda nae akamshawishi adamu kulila ndo mambo yalipoanza kuharibika...
Leo shaytani anamshawishi mwanamke ili atushawishi sisi wanaume kufanya nao zinaa....na hii inajidhirisha pale wanawake wanapotembea uchi mabarabarani.
Nirudi kwa mleta mada,naomba ujue ktu mbali na bikra....mke mwema anatoka kwa Mwenyezi Mungu si kwa nguvu zako usijidanganye ata siku moja....
Mwanamke anaweza akawa amepoteza bikra kwa sababu nyingi Sana...mfano
1. Ujinga
2. Kufata tu mkumbo
3. Kubakwa
4.Mila
5. Mazingira yanayomzunguka ikiwemo familia.
Hii kwa wale waliopoteza bikra,na wale walio oa wanawake wasio bikra naomba msivunjishwe moyo na maneno ya mleta mada...huu ni mtazamo wake tu wala sio maandko ndo yamesema..
So msikate tamaa Kwenye rehma za Mwenyezi Mungu kwani ukikata tamaa uko ni kujidhurumu mwenyewe...ndo maana Mungu akatuekea mlango wa toba tutubu ata mara sabini na hakuna kosa lisilo tubika...tubu as much as u can na ubadilike pepo la umalaya likutoke.
Mtume wetu muhammad aliowake zaidi ya wanne lakini Kati ya hao bikra ni mmoja na Kati ya hao mke ambae alikuwa anatamkwa kinywani mwake ni huyo mke wake wa kwanza ambae alikuwa sio bikra na alikuwa amezidiwa miaka mingi na uyo mkewe...
Ndomana ktk dini ya kiislamu imeruhusu uke wenza kuepusha fikra kama hizi...Mimi binafsi nitaoa wake wanne panapo majaaliwa mmoja singo maza,bikra,asie bikra na mwengine atakae nivutia as long as awe muumini na afate swaga zangu...
Namalizia kwa kusema....DUNIA NI STAREHE NA STAREHE BORA NI KUMPATA MKE MWEMA....AWE BIKRA AU SIO BIKRA HUU WEMA UKIWEPO BASI YATOSHA.
hamna kitu kaaaabisa humo!Kuna mwanaume anategemea kumuita mke mwanamke kama huyu na kuanzisha naye familia🙂🙂🙂 anakwambia kaz ya k ni kutumika kwa sana!!! Watoto wana nini ya kujifunza kwa mama kama huyu sasa???🤔🤔
wote..ndio mana inashauriwa kufanya cleansing ya mwili na roho
Bikra kwa mwanaume haina maana yoyote.wewe pia ulimuoa huyo mkeo ukiwa bikira??au naww ulishajinajisi?????
Hakuna mwanamke mwenye kinga ya kutokuchepuka.Tumuache kwanza, naona ulanzi wa mahaba umemkaa pazuri. Cha kumsihi tu ahakikishe hamuachi mkewe popote aendapo kikazi esp. uhamisho wa kimkoa 😂😂😂
Hakuna mwanaume asiyependa mwanamke Bikra, ni heshima kubwa sana na inamaanisha mengi.Una obsession Sana na bikra, na ambao hawana nao mwanzo walikuwa mabikra, hata kuomba kazi hutaka mwenye experience same applied na bikra hajui lolote ukimuoa ndani ya ndoa ataanza kutafta new taste.
Mwanamke asiye Bikra hana sababu ya kulipiwa mahari.Bikra raha na tamu sana kuitoa
Kuna ile hatua ya ub@o kushindwa kuingia na msichana kulia lia
Nina bahati sana ya kuthubutu kukutana na wasichana mwenye kilomita sufuri
KabisaMwanamke asiye Bikra hana sababu ya kulipiwa mahari.
Ya nini kununua gari used kwa bei ya gari jipya?
Virginity matters!!!
Kwema Mkuu...siku zote ukitaka safari ikamilike salama epuka magari used yenye maelfu ya mileage.Kabisa
Kwema lakini mkuu
Ahsantee sanaa bibie.🤝...Inashangaza Sana kuona vijana wa Sasa hv hatujui kwanini tunaoa.Hongera, umeandika kwa hekima mno [emoji1376]
Kashindwa kutunziwa Adamu itakuwa wewe.!Hakuna mwanaume asiyependa mwanamke Bikra, ni heshima kubwa sana na inamaanisha mengi.
Mungu mwenyewe alimchukua Bikra ili amzaliye mwanaye, binadamu ni nani hata apingane na mapendekezo ya Mungu?
Bora kuoa Bikra asiye mzoefu ili ukamfunze mwenyewe kuliko anayekuja na uzoefu lakini ni damaged physically and emotionally.