Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Uliwahi kuoa bikra Mkuu?

Tuulize sisi tuliooa bikra ndio tutakusimulia.

Nyie ndio wale masikini wanaosema ukipata pesa hutakuwa na amani, sijui tajiri halali usingizi wa amani. 😀 😀 😀 Ukiulizwa uliwahi kuwa tajiri unajibu hapana, wewe kama sio mwehu ni nani? Masikini bhana.

Ndio kama wasiowahi kuoa wanawake bikra, wanaongea mambo ambayo hawayajui
Sio lazima kila mtu afikiri na kuamini kama unavyofikiri wewe! Pia sio wanawake wote wana tabia zinazofanana, unajidanganya sana kujiona ni mjuaji wa kila kitu kuna mambo mengine kama haya ya wanawake mabikira sio lazima uowe bikira ndio ujue tabia zao maana hata mitaani tunaishi na watu waliooa mabikira na tumeziona tabia zao!
Kwanza nina uhakika hata huyo uliyeoa kama ana tabia nzuriwala sio bikira ila tu alilelewa vizuri! Wanaume wa aina yako ambao wanahusudu mambo madogo kama hayo ndo huwa mazwazwa kwenye ndoa zao unakuta hadi anapika na kufua nguo za mkewe kisa ni bikira au ni mrembo! Alafu hapohapo eti bado unajiona wewe sio lofa!
Uliwahi kuoa bikra Mkuu?

Tuulize sisi tuliooa bikra ndio tutakusimulia.

Nyie ndio wale masikini wanaosema ukipata pesa hutakuwa na amani, sijui tajiri halali usingizi wa amani. 😀 😀 😀 Ukiulizwa uliwahi kuwa tajiri unajibu hapana, wewe kama sio mwehu ni nani? Masikini bhana.

Ndio kama wasiowahi kuoa wanawake bikra, wanaongea mambo ambayo hawayajui
 
Sio lazima kila mtu afikiri na kuamini kama unavyofikiri wewe! Pia sio wanawake wote wana tabia zinazofanana, unajidanganya sana kujiona ni mjuaji wa kila kitu kuna mambo mengine kama haya ya wanawake mabikira sio lazima uowe bikira ndio ujue tabia zao maana hata mitaani tunaishi na watu waliooa mabikira na tumeziona tabia zao!
Kwanza nina uhakika hata huyo uliyeoa kama ana tabia nzuriwala sio bikira ila tu alilelewa vizuri! Wanaume wa aina yako ambao wanahusudu mambo madogo kama hayo ndo huwa mazwazwa kwenye ndoa zao unakuta hadi anapika na kufua nguo za mkewe kisa ni bikira au ni mrembo! Alafu hapohapo eti bado unajiona wewe sio lofa!

Wewe kweli umevurugwa, uliposema bikra ni jambo dogo ndio nikakudharau hapo hapo.
 
Unawatongoza ila hulali nao..... au kuna research unaandika. Naona kama upo kwenye hatari.

Mkuu wapo wanaonijua humu, msimamo wangu sio wa nchi hii.

Yaani nilale na mke wa mtu wakati kuna malaya kibao wanauza na hawajaolewa.
Wanachohitaji ni pesa, kodi na kisimu cha Iphone 11.

Siwezi lala na mke wa mtu wakati wapo walioamua kuuza utu wao kwa Iphone 6
 
Wakuu kwema!

Watu wengi wamekuwa wanalalamika kuwa kwa nini wake za watu wa siku hizi wengi ni chebweda, yaani maharage ya mbeya maji mara Moja.
Mimi nimekuwa nikitongoza wake za watu kwa muda mrefu sasa, kwa uzoefu wangu, nikitongoza wake za watu 10 basi 9 watanikubalia 1 ndiye atakataa. Wake za watu sio wasumbufu ukishaingia naye kwenye mahusiano, ingawaje sijawahi kulala na mke wa mtu kutokana na miiko yangu binafsi.

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa Sababu kubwa ya Mke wako/wake zetu kuchepuka katika zama hizi ni kwa sababu waliolewa wakiwa hawana bikra. Tayari walishaingia kwenye umalaya.

Hakuna mwanamke aliyeolewa akiwa hana bikra ambaye hatachepuka, ni lazima achepuke tuu.
Lakini ukioa mwanamke mwenye bikra uwezekano wa kutochepuka ni mkubwa zaidi labda usababishe wewe mwenyewe ndio atachepuka.

Lakini hawa wasio na bikra ni costant, umhudumie, umridhishe usimridhishe, uwe na pesa usiwe na pesa, uwe HB au usiwe HB ni lazima achepuke, Yaani huna namna ya kuzuia hilo.

Mwanamke asiye na bikra haoni hatia moyoni mwake pindi anapochepuka, lakini mwanamke aliyeolewa bikra kabla hajachepuka huwa na uoga mwingi mno kwani ndio anajifunza. Kama ilivyo jambo lolote ukilianza huwaa gumu ndivyo kwa mwanamke mwenye aliyeolewa akiwa bikra huona ugumu sana kuchepuka.

Lakini hawa maharage ya Mbeya atachepuka na wala haoni shida.

Kijana, kwa usalama wa ndoa yako, Usithubutu kuoa mwanamke asiye na bikra, utanishukuru baadaye.
Kwa sisi tuliooa tupambane na hali zetu hasa waliooa hao maharage ya mbeya.

Jokajeusi
Oh sio paka mweusi?
 
Sikuwepo lakini yeye mthibitishaji alikuwepo

Kama mimi nitakavyo waambia watoto wangu wasioe malaya wasio na bikra kwani nimeoa mama yao akiwa bikra kabisa.

Ushauri huu kila mara nawashauri na vijana wengine hata mshikaji wako akija nitamuambia asikuoe wewe kama hakukuta yaliyomo hayakuwamo, hakukuta bikra
Kwa hiyo mkuu una shauri kabla ya kuoa uonje kwanza uone kama ana bikra au la??
 
Wewe kweli umevurugwa, uliposema bikra ni jambo dogo ndio nikakudharau hapo hapo.
Kwanini lisiwe dogo wakati unaitoboa mara moja tu inaondoka! Kwani huwa inakuwepo maishani yote?? Hapo umejidharau mwenyewe tuliowahi kutoboa wanawake mabikira tunafahamu ni show moja tu panabaki empty!
 
Kwanini lisiwe dogo wakati unaitoboa mara moja tu inaondoka! Kwani huwa inakuwepo maishani yote?? Hapo umejidharau mwenyewe tuliowahi kutoboa wanawake mabikira tunafahamu ni show moja tu panabaki empty!

Wewe ndio hujui thamani ya bikra na ndio maana umeharibu watoto wa watu, nafikiri hukujua ulichokifanya kwa upumbavu wako.

Jambo la mara moja ndio huleta athari maishani.
Kama lingekuwa jambo la kawaida basi ungekuwa ukifanya linarudi kama vile unavyokata kucha au nywele, lakini kwa ujuha wako hujui kwa nini ikitoka imetoka.

Ni sawa na mtu aliyetoa jicho la mtu alafu akasema ni kawaida kwa sababu jicho hilo halijarudi, wewe ni mwehu
 
Kwa hiyo mkuu una shauri kabla ya kuoa uonje kwanza uone kama ana bikra au la??

Kwanza mpende naye akupende, pili twende kwenye kuthibitisha kama yaliyomo yamo,

Sio unathibitisha mtoto wa watu wakati unajua kabisa humpendi na hautamuoa.

Kibiblia huwezi oa kabla hujaonja, unaonja siku ya harusi kabla ya ndoa kucheki yaliyomo yamo, kama yamo mnaendelea kama hayamo unaruhusiwa kurudishiwa mahari na kumuacha huyo kahaba
 
Wewe ndio hujui thamani ya bikra na ndio maana umeharibu watoto wa watu, nafikiri hukujua ulichokifanya kwa upumbavu wako.

Jambo la mara moja ndio huleta athari maishani.
Kama lingekuwa jambo la kawaida basi ungekuwa ukifanya linarudi kama vile unavyokata kucha au nywele, lakini kwa ujuha wako hujui kwa nini ikitoka imetoka.

Ni sawa na mtu aliyetoa jicho la mtu alafu akasema ni kawaida kwa sababu jicho hilo halijarudi, wewe ni mwehu
Wewe lazima utakufa masikini ! Unahangaikaje na thamani ya kiungo kilicho kwa binadamu mwingine? Kama unaona bikira zina thamani sana nunua uweke kwako!
 
Mkuu wapo wanaonijua humu, msimamo wangu sio wa nchi hii.

Yaani nilale na mke wa mtu wakati kuna malaya kibao wanauza na hawajaolewa.
Wanachohitaji ni pesa, kodi na kisimu cha Iphone 11.

Siwezi lala na mke wa mtu wakati wapo walioamua kuuza utu wao kwa Iphone 6
Hiyo ni akili kubwa, ila sasa kwann unawatongoza? Ukikamatwa utaeleweka kweli? Ni sawa na muislamu kila siku awe anaenda dukani kununua dawa ya kutibu nguruwe na chakula cha nguruwe ila hana hao nguruwe, wenzake watamuelewa kweli?
 
Wewe lazima utakufa masikini ! Unahangaikaje na thamani ya kiungo kilicho kwa binadamu mwingine? Kama unaona bikira zina thamani sana nunua uweke kwako!

😀 😀 😀 😀

Mimi sina damu ya masikini wapumbavu, masikini huwa nawafananisha na Nyani kila siku nasema humu.

Siwezi kuwa masikini kwa sababu damu yangu sio ya umasikini, mimi sio masikini, nina kazi nzuri, mke wangu sio masikini, Mtoto wangu hasomi vishule vya masikini. Huo umasikini nitakuwa nao labda huku JF kwenye vikoment vya watu fukara kama wewe mpuuzi.

Huku JF nilishasemaga miaka 7 iliyopita, siwezi oa mwanamke asiye na bikra, Siwezi oa mwanamke fukara.
Nisije haribu kizazi changu
 
Hiyo ni akili kubwa, ila sasa kwann unawatongoza? Ukikamatwa utaeleweka kweli? Ni sawa na muislamu kila siku awe anaenda dukani kununua dawa ya kutibu nguruwe na chakula cha nguruwe ila hana hao nguruwe, wenzake watamuelewa kweli?

Nilikuwa natongoza kufanya tafiti zangu, usione humu nakazania suala la bikra naelewa ninachokisema.
Watu humu waache wabishe na siwalaumu kwa sababu sio kila mtu anaelewa kwa kuambiwa maneno tuu wengine lazima wajifunze kwa njia ngumu
 
😀😀😀

Sio kila jambo linahitaji research wewe, mbona unaakili za kuku

Hii mada imewapiga wengi lakini wewe ndio umeamua uwe case study humu, na watu wanathibitisha nikisemacho

Nilitaka kuku prove wrong

Nimethibitisha wewe ni kilaza tu, huna idea yoyote ila mlopokaji tu

Kushindwa kutoa majibu sahihi kwa evidence na specific reference

1. Umeshindwa kuthibitisha baba yako alioa bikra, hukuwepo kuthibitisha alivoitoa. Unaongea ujingaujinga tu utadhania mama yako mkeo. Ulitaka akuambie mama yako malaya? Hakuwa na bikra? Is it possible? Mjinga wewe

2. Umeshindwa kujibu 👇

Umesema bikra hutolewa kwa ngono peke yake

Weka research kuthibitisha madai yako

Au weka any scientific literature ku- justify hoja yako

Usiwe mjinga.......

Tunataka kujifunza facts tuelimike


3. Nataka nikuthibitshie kutoka maandiko

A. Binadamu hatabiriki hata umpe nini

I. Adamu na Eva walipewa kila kitu bado walimuasi mungu

II. Mfalme Daudi alipewa mamlaka yote, bado akamtamani mke wa askari wake kazini

III. Mwenzako Bashite, alipendwa, japo hakuwa na vyeti alipewa makubwa.... hakuridhika

Mwanamke kama ilivo kwa mwanaume

Utulivu, busara, adabu na hekima ni

1. Taabia za mtu binafsi wala sio mfanano

2. Hulka ya mtu binafsi

3. Hisia za mtu binafsi

4. Tamaaa

Mpe chochote, kama silka na hulka yake niuzinifu atafanya tu. Awe bikra, uoe nini sijuwi . Hivyo hivyo kwa wanaume malaya hata mke akufanyie utatoka kwenda kwa malaya wenzako.

Binadamu kaumbwa na utashi na akili

Hivyo kujipa moyo hukatazwi lakini binadamu yeyote huongozwa na uumbaji wa kibaolojia unaotawala hulka na hisia zake katika maisha yake ya kila siku mpaka kifo.

Nakutakia ubishani mwema usio na hoja wala majibu stahiki.
 
Back
Top Bottom