Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Nilitaka kuku prove wrong

Nimethibitisha wewe ni kilaza tu, huna idea yoyote ila mlopokaji tu

Kushindwa kutoa majibu sahihi kwa evidence na specific reference

1. Umeshindwa kuthibitisha baba yako alioa bikra, hukuwepo kuthibitisha alivoitoa. Unaongea ujingaujinga tu utadhania mama yako mkeo. Ulitaka akuambie mama yako malaya? Hakuwa na bikra? Is it possible? Mjinga wewe

2. Umeshindwa kujibu 👇

Umesema bikra hutolewa kwa ngono peke yake

Weka research kuthibitisha madai yako

Au weka any scientific literature ku- justify hoja yako

Usiwe mjinga.......

Tunataka kujifunza facts tuelimike


3. Nataka nikuthibitshie kutoka maandiko

A. Binadamu hatabiriki hata umpe nini

I. Adamu na Eva walipewa kila kitu bado walimuasi mungu

II. Mfalme Daudi alipewa mamlaka yote, bado akamtamani mke wa askari wake kazini

III. Mwenzako Bashite, alipendwa, japo hakuwa na vyeti alipewa makubwa.... hakuridhila

Mwanamke kama ilivo kwa mwanaume

Utulivu, busara, adabu na hekima ni

1. Taabia za mtu binafsi wala sio mfano

2. Hulka ya mtu binafsi

3. Hisia za mtu binafsi

4. Tamaaa

Mpe chochote, kama silka na hulka yake niuzinifu atafanya tu. Awe bikra, uoe nini sijuwi . Hivyo hivyo kwa wanaume malaya hata mke akufanyie utarota kwenda kwa malaya wenzako.

Binadamu kaumbwa na utashi na akili

Hivyo kujipa moyo hukatazwi lakini binadamu yeyote huongozwa na uumbaji wa kibaolojia unaotawala hulka na hisia zake katika maisha yake ya kila siku mpaka kifo.

Nakutakia ubishani mwema usio na hoja wala majibu stahiki.

Wewe ndio huna ujuacho.

Unafikiri kwa nini Makuhani waliambiwa waoe wanawake bikra? Maana unaingiza Mambo ya Biblia ambayo huyajui.

Unajua mwanamke asiye na bikra kibiblia unaweza kumpa talaka?

Kwa ufupi wewe huwezi nifundishe lolote kwa sababu siwezi kufundishwa na mwanamke aliyetolewa bikra zote mpaka za ubongo
 
Kama waolewaji ni wenye bikra tu..acha nizidi kucheza kwaito kwa wenzangu
Bikra kwishnei, mambo ya kukata utepe yana utamu wake ukute ule ute ute aisehhhhhhh hata ikihonga mali unahonga kiroho safi
 
Mnatukatisha tamaa sisi ambao tunataka kuoa ujue😊😊 unampima tu bae wako kama anayo hiyo bikra au hana, unamwuliza "ww mara yako ya mwisho kudo ilikuwa lini" anakujb mwaka na nusu😄😄😄😄😄, unajua tu hapa TAYARIIIIIIII, sasa itakuwajeeee????
Ko, tusioe?
 
Ila nimegundua katika tafiti zangu, wanawake wengi wenye bikra ni wale wanawake wa kawaida sana, pia ambao wengi wao wanapataga fursa ya kuolewa

Au uongo ndugu zangu
 
Nilitaka kuku prove wrong

Nimethibitisha wewe ni kilaza tu, huna idea yoyote ila mlopokaji tu

Kushindwa kutoa majibu sahihi kwa evidence na specific reference

1. Umeshindwa kuthibitisha baba yako alioa bikra, hukuwepo kuthibitisha alivoitoa. Unaongea ujingaujinga tu utadhania mama yako mkeo. Ulitaka akuambie mama yako malaya? Hakuwa na bikra? Is it possible? Mjinga wewe

2. Umeshindwa kujibu 👇

Umesema bikra hutolewa kwa ngono peke yake

Weka research kuthibitisha madai yako

Au weka any scientific literature ku- justify hoja yako

Usiwe mjinga.......

Tunataka kujifunza facts tuelimike


3. Nataka nikuthibitshie kutoka maandiko

A. Binadamu hatabiriki hata umpe nini

I. Adamu na Eva walipewa kila kitu bado walimuasi mungu

II. Mfalme Daudi alipewa mamlaka yote, bado akamtamani mke wa askari wake kazini

III. Mwenzako Bashite, alipendwa, japo hakuwa na vyeti alipewa makubwa.... hakuridhika

Mwanamke kama ilivo kwa mwanaume

Utulivu, busara, adabu na hekima ni

1. Taabia za mtu binafsi wala sio mfanano

2. Hulka ya mtu binafsi

3. Hisia za mtu binafsi

4. Tamaaa

Mpe chochote, kama silka na hulka yake niuzinifu atafanya tu. Awe bikra, uoe nini sijuwi . Hivyo hivyo kwa wanaume malaya hata mke akufanyie utatoka kwenda kwa malaya wenzako.

Binadamu kaumbwa na utashi na akili

Hivyo kujipa moyo hukatazwi lakini binadamu yeyote huongozwa na uumbaji wa kibaolojia unaotawala hulka na hisia zake katika maisha yake ya kila siku mpaka kifo.

Nakutakia ubishani mwema usio na hoja wala majibu stahiki.


Siwezi oa wala kuzaa na mwanamke asiye na bikra, siwezi watia watoto wangu unajisi kwa upuuzi.

Soma hii

Mambo ya walawi 21:
13. Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira. 14. Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe 15asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”

Naoa mke wangu sio Mke wa Jamhuri ya mafisi
Mke ili awe wako lazima umkute na kumtoa bikra wewe mwenyewe
Lakini haya mambo ya Jamhuri ya mafisi nimewaachia fisi wenyewe
 
Mnatukatisha tamaa sisi ambao tunataka kuoa ujue😊😊 unampima tu bae wako kama anayo hiyo bikra au hana, unamwuliza "ww mara yako ya mwisho kudo ilikuwa lini" anakujb mwaka na nusu😄😄😄😄😄, unajua tu hapa TAYARIIIIIIII, sasa itakuwajeeee????
Ko, tusioe?

Kila mtu anamaamuzi yake, ila kama unatafuta mke wako oa mwanamke mwenye bikra, lakini kama unatafuta mke wa jamii oa mke asiye na bikra
 
Siwezi oa wala kuzaa na mwanamke asiye na bikra, siwezi watia watoto wangu unajisi kwa upuuzi.

Soma hii

Mambo ya walawi 21:
13. Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira. 14. Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe 15asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”

Naoa mke wangu sio Mke wa Jamhuri ya mafisi
Mke ili awe wako lazima umkute na kumtoa bikra wewe mwenyewe
Lakini haya mambo ya Jamhuri ya mafisi nimewaachia fisi wenyewe
Mkuu hebu chukua tano [emoji109]
 
Siwezi oa wala kuzaa na mwanamke asiye na bikra, siwezi watia watoto wangu unajisi kwa upuuzi.

Soma hii

Mambo ya walawi 21:
13. Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira. 14. Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe 15asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”

Naoa mke wangu sio Mke wa Jamhuri ya mafisi
Mke ili awe wako lazima umkute na kumtoa bikra wewe mwenyewe
Lakini haya mambo ya Jamhuri ya mafisi nimewaachia fisi wenyewe

Wewe mwenyewe najisi. Hujuwi
 
Back
Top Bottom