Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hii tag ndio naiona Leo
App yangu hainipi notification.

Nimepita,
Huyu anachoongea yupo sahihi kabisa ila ninachogombana naye ni kitu kimoja.
Anahamasisha wanaume wawe wazinzi.

Ni sawa na anatwanga maji kwenye kinu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa anatatizo LA kisaikojia,


Anamuita kila mtu KE,ili kumshinda kisaikolojia,yaan yuko anajibu kama vita,na sio kujifunza.

NB: kaniita KE pia,badala ya mkuuu wkt mie ME.(cjui anatumia kigezo gan)
Hahaha akiona unasapoti wanawake basi kwake automatically unakuwa ni KE
 
Virginity is the best wedding Gift, Any man would receive from his newly wedded wife.

But lately there is no is nothing like that any longer because it will have already been given out as
Birthday Gift, Token of appreciation, Job assurance, Church collection, Examination making schemes , Taxi Fare.......
 
Back
Top Bottom