mmnh unaioverate bikira mkuu,wanazozitoa ni wanaume wenzio,wasingekuwepo watu wangebaki bikira LOL,wacha kutupia lawama wanawake….
sijui hizo percentage umezitoa wapi??mnhhh….
24+ kukutwa na bikira wachache mkuu
sio kweli inadumisha mahusiano,wengi wanachepuka hata baada ya kuoana mabikira
Dada, mama , Au huenda mdogo wangu rebeca
Nimesoma hiyo line yako ya kua (wanazitoa wanaume wenzie,na kama wasingekuepo wangebaki bikra...nakukanusha
Nnayaandika haya nikilenga zaidi tamaa ya wanawake wa sasa na vitu vilivyo nje ya uwezo wao
Mtokeo yake ndio haya,
Wadada wamekua RAHISI sana,
Nakumbuka [mention]Kasie [/mention] K matata kuna siku aliwahj kulisemea hili ingawa sikumbuk ni nyuzi gani ,watoto wa kike wamekua rahisi,ujanja na wajuaji sana
Leo hi bint wa miaka 12,3,4,5 anafaham hadi tango na bamia
Humdanganyi kitu kuhusu style za mapenzi...hi ni sawa?
Watoto wadogo wanatumia simu wazazi wanatazama tu! Na hawashituki kabisa!
Wanaeudi home saanne usiku! Na mama hana shidaaaa!!!
Mimi,na hata wadogo zangu wote nmewafatilia sana
Ni nadra sana kutukuta tunazulula usiku
Mala nyingi hata tukienda nyumbn kwa mzeesaa 12 sote tupo ndani
Na wengine tunakazi ila bado ile system inaishi kwetu na tupo huru kutembea na kufanya chochote
Kwahyo usihusishe wanaume kwenye hili
Janga la kwanza ni watoto wakike wenyewe,wazazi wanakuja,malafiki wanasogea pia