Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Kuna wanawake wamebakwa na kuwa assaulted.

Kuna wanawake kutokana na kazi ngumu wanazofanya wakashindwa kuwa na virginity

Kuna wanawake walipata ajali hivyo hiyo kitu ikaondoka.

Hawa nao ukiwaoa hiyo itakuwa sio ndoa?

And since you have used kitabu kitakatifu kujustify hoja yako, kitabu cha Timotheo pia kinasema wanaume ndo wanatakiwa wawe providers na defenders wa familia.

Je ni sahihi kwa wanawake kugoma kuolewa na wanaume kisa mwanaume hawezi kuprovide?
Bikra iliyotoka kwa mazoezi inajulikana, bado K itakuwa ina tight, wengi wenu mmetolewa Bikra kwa chips kavu za buku jero halafu makombo mnataka mtuchako bei kubwa. Kwanza nani kakataa kuwa provider? Mbona unahamisha mada?
 
Wanawake punguzeni ubinafsi , wewe unataka pesa zangu we huwezi kutafuta?
women dont care about us , that is the way it is at the end, sio kwamba nawachukia no! nisieleweke vibaya, at the end of the day, they only care about themselves. they care about their own needs being met, they only care about what you can do for them, you are almost like entertainer, you have to keep her happy at all times, its all abt her,.... najua its hard pill to shallow, hii ni part ya female nature na huo ndio ukweli... so siwachukii

specificly they care abt what you can do for them and what you are doing for her, wanachojali ni value unayompatia sasa whether it be financial value, you might be taking care of the kids while she's at work, you might be giving her sexual glatification, yaani in general you are providing some value in her life to where you are keeping her around..

unaweza pigwa chini kwa higher value male anytime, thats how it works, kwa hiko hiko kigezo chenu mnataka provider.

Na sisi wanaume tunasema tunataka bikra sasa.
Kikao kitafanyika wapi mkuu
 
Sasa kama ni mkataba kati ya mwanamme na mwanamke kwa nini wengine wasio kwenye mkataba wanaingilia mkataba kwa kimnelembele bila hata kuombwa kufanya hivyo?

Unasemaje mwanamme anayeoa mwanamke asiye bikira ni loser, kama vile kila mtu anaoenda bikira?

Hivi mshawahi kupata mwanamke bikira au mnaandika story tu?

Mnajua shughuli ya kuvunja bikira?

Mnajuaje kuwa kuna wanaume washavunja bikira na hawatamani tena kuwa na bikira, wao wanataka mwanamke aliyevunjwa bikira tayari?
Na wewe ukiwa nimmoja wao, wa hao unaowasemea kua hawataki kuoa mwanamke bikra?.
 
Ondoa hiyo scarcity mindset mkuu
Huwezi iondoa hiyo sababu ni uhalisia.

Unayetaka kumuoa alizungukwa na wanaume wa aina gani?
Kile kizazi cha walioitwa mafataki? Au kile kizazi cha hit and run? Tunapenda kutoa bikra na kutelekeza ila tunapenda tukiwa tayari tukutane na mwenye bikra.
 
Sasa kama ni mkataba kati ya mwanamme na mwanamke kwa nini wengine wasio kwenye mkataba wanaingilia mkataba kwa kimnelembele bila hata kuombwa kufanya hivyo?

Unasemaje mwanamme anayeoa mwanamke asiye bikira ni loser, kama vile kila mtu anaoenda bikira?

Hivi mshawahi kupata mwanamke bikira au mnaandika story tu?

Mnajua shughuli ya kuvunja bikira?

Mnajuaje kuwa kuna wanaume washavunja bikira na hawatamani tena kuwa na bikira, wao wanataka mwanamke aliyevunjwa bikira tayari?
Mzee wangu kigezo kikubwa cha Sisi WANAUME kutaka wanawake bikra ni kupata asilimia kubwa katika uwaminifu.

Mzee wangu hivi ushawahi kugongewa demu yani kujua Tu demu/mke wako anagongwa nje, maumivu yake unayajua Mzee wangu?
 
Hahaha umeongelea kuprovide kama ni kuanzisha uzi humu jukwaani, mkuu

Kwamba ukiamua tu kuprovide unaanza hata kesho.

Wanaume wengi wanaolilia bikra ni wasio kuwa na pesa. Wana inferiority complex kubwa sana ndani yao.
Mwanaume ambae ana provide kwa mwanamke ambae si mke wake huyo ni mpumbavu. Na mwanaume ambae ataoa mwanamke ambae sio bikra huyo ni mpumbavu zaidi.
 
Bikra iliyotoka kwa mazoezi inajulikana, bado K itakuwa ina tight, wengi wenu mmetolewa Bikra kwa chips kavu za buku jero halafu makombo mnataka mtuchako bei kubwa. Kwanza nani kakataa kuwa provider? Mbona unahamisha mada?

Uzuri mimi sio mwanamke kwa hiyo nimeignore the whole first part of your argument. Inachekesha 😀

Sio suala la kutaka ni suala la KUWEZA. Unaweza ukataka kesho kuwa Elon lakini unaweza?

Wanaume providers tu ndo inabidi watoe hiyo argument ya kutaka virgins. Most sio providers.

Hiyo hija ya mtoa mada angetoa mtu kama Waziri, au any top guy tungeelewa. Ukiangalia threadz za mtoa mada zinapishana.

Wengi wenu mnaotaka bikra hata hamjawahi kuexprience hiyo kitu
 
Kutwa kuwasema wanawake hawana bikra.

Mnataka traditional feminine woman lakini hamtaki kuwa traditional masculine men, who provide.

Una-advocate wanawake wawavumilie wanaume kama hawana hela lakini by default mwanaume kama huna hela ni kwamba huwezi ku-provide so YOU ARE NOT MASCULINE ENOUGH kupata traditional woman who is a virgin.

Unachokiongea hapa kiltakiwa kisemwe na kina Elon Musk na kina Diamond.

Wewe kapuku achana n hizo story. Dunia imebadilika mkuu.

Plus, acha kuwasikiliza kina Andrew Tate
Mwanaume yeyote anayeoa mwanamke asiye bikra ni loser. Na huo ndio ukweli. Kama siyo bikra na haujaolewa pole. Losers ni wengi, usijali utaolewa tu.
 
Kuwala au kutokuwala hio sio shida yetu. Shida yetu ni kwa nini uoe mwanamke ambae sio bikra?. Mwanaume Mwenye kujielewa lazima aoe mwanamke bikra.

Hao wanawake hizo bikra wanaziondoa wenyewe au?

Sijawahi kukuona unakemea wanaume kulala na wanawake nje ya ndoa.

Kama wanaume ndo wanawaondoa wanawake bikra, kwanini unawalumu wanawake pekee?

You people are sick!
 
Hao wanawake hizo bikra wanaziondoa wenyewe au?

Sijawahi kukuona unakemea wanaume kulala na wanawake nje ya ndoa.

Kama wanaume ndo wanawaondoa wanawake bikra, kwanini unawalumu wanawake pekee?

You people are sick!
Mwanaume ana initiate suala la ngono kutimiza haja zake, lakini muamuzi wa mwisho kua ngono ifanyike au isifanyike ni mwanamke. Kama amekubali kubikiriwa ilihali anajua hataolewa na aliemtoa bikra huo ndio upumbavu zaidi.
 
Kuna wanawake wamebakwa na kuwa assaulted.

Kuna wanawake kutokana na kazi ngumu wanazofanya wakashindwa kuwa na virginity

Kuna wanawake walipata ajali hivyo hiyo kitu ikaondoka.

Hawa nao ukiwaoa hiyo itakuwa sio ndoa?

And since you have used kitabu kitakatifu kujustify hoja yako, kitabu cha Timotheo pia kinasema wanaume ndo wanatakiwa wawe providers na defenders wa familia.

Je ni sahihi kwa wanawake kugoma kuolewa na wanaume kisa mwanaume hawezi kuprovide?
Yes,

Mwanamke inabidi aolewe na mwanaume mwenye future.

Mwanaume inabidi aoe mwanamke mwenye past safi... bikra.
 
Bikra iliyotoka kwa mazoezi inajulikana, bado K itakuwa ina tight, wengi wenu mmetolewa Bikra kwa chips kavu za buku jero halafu makombo mnataka mtuchako bei kubwa. Kwanza nani kakataa kuwa provider? Mbona unahamisha mada?
Mtuchaji na siyo mtuchako
 
Back
Top Bottom