Lighton
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 1,424
- 2,333
Wanawake hata uwafanyie nini, Kama kubondwa atabondwa tu, hata ungempenda vipi, akiamua kubondwa atabondwa tu.Mkuu mna hofu Sana ya kupigiwa,.. wanawake ukiwawazia hivyo utakufa mapema, wanawake kumpa mtu uchi wake kwake sio Jambo kubwa Kama wanaume wanavyodhani,
Anaweza kumpa mtu yeyote,muda wowote...nisharukia madada A1 level za kina Lil tkee halafu Sina hela, Sina hu handsome Wala swaga.
Msiwe na hofu ya kupitiliza,hata huyo bikra oa,atakuja kunipa muhuni stolowei..
Instead of kuogopa kutombe** na kujistress ""nifanye Nini asichepuke"" tujifunze kuwatendea vizuri,.. upendo wa kweli ndio jawabu la maswali yote.and it has nothing to do with being bikra....
Ishu siyo kuwawazia, uhalisia wa Sasa hivi wanawake wengi, wanabondwa na wanaume tofauti tofauti regardless wanapewa nini na waume wao au wapenzi wao.
Ndoto ya kila binadamu ambaye hajaoa Wala kuolewa ni kupata mwenzi sahihi ambae watashea same feeling, siyo rahisi Kwa maisha ya Sasa hivi, ndiyo maana tunasema ni kumuomba MUNGU tu maana Kwa MUNGU hakuna linaloshindikana.
Utoe pesa, usitoe pesa, uwe handsome, usiwe handsome, then sema mim mwanamke simuwazii sanaaa, say whatever you want to say, uje ukute mke wako kapigwa doggy style ile ya kupandisha mguu juu Kama Spiderman halaf unasikia anatoa miguno ya kimahaba ile ya kufeel machine kabisa, Nakwambia Kama hatujakuzika, tutakushuhudia unaokota makopo, ama unaozea jela🙏