Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Wanaume wenzangu mnawezaje kuoa mwanamke alikwishatumika? Uwa nawaza sana ni kwamba huyo uliemuoa used ni ana hela sana? Au mzuri sana kiasi kwamba unaachaje mali mpya unanunua used??? Kila nikiwa kwenye mahusiano na demu kimoyo moyo wakati wa show uwa najisemea "huyu mpaka akaolewe si atakua kaishatumika sana? Na uwa nawakaza sana kila style ili mabwege yaje kuoa used"
Umeandika ila hujasema kitu kwa maandisgi yote hayo,
Umeoa?
Na kama umeoa ulilala na mwanamke wako kabla ya kuoa ukajua ni bikira?
Ama baada ya kushiriki nae ukaoa used?
Ama ulinunua mbuzi kwenye gunia ukabahatishe kama kweli ni mbuzi na akawa mbuzi?
 
A

Asante kwa kushiriki
Ona mshangazi 😋😋😋
images.jpeg
 
Umeandika ila hujasema kitu kwa maandisgi yote hayo,
Umeoa?
Na kama umeoa ulilala na mwanamke wako kabla ya kuoa ukajua ni bikira?
Ama baada ya kushiriki nae ukaoa used?
Ama ulinunua mbuzi kwenye gunia ukabahatishe kama kweli ni mbuzi na akawa mbuzi?
Sijaona bado nazichakata mbusus ila nilikutana na bikra nitaioa
 
Wanaume wenzangu mnawezaje kuoa mwanamke alikwishatumika? Uwa nawaza sana ni kwamba huyo uliemuoa used ni ana hela sana? Au mzuri sana kiasi kwamba unaachaje mali mpya unanunua used??? Kila nikiwa kwenye mahusiano na demu kimoyo moyo wakati wa show uwa najisemea "huyu mpaka akaolewe si atakua kaishatumika sana? Na uwa nawakaza sana kila style ili mabwege yaje kuoa used"
Mleta uzi ana oja! Hapa mtaani nimekuja kugundua zaidi ya 70% wake zao wamekuja na watoto zao katika ndoa zao! Ikiwa na maana wanaume walioa second hand used scrapper from Japan ! Inasikitisha!
 
Njoo geto sista utengeneze akili yangu kama haipo Sawa,
Kwani hao wanawake wanabakwa? Si wanajipeleka magetoni na chupi wanavuka wenyewe?

Sasa unapanic nini mkuu? Em relax. Ka jinga 😂

We tafta hela. Hautapata muda wa kuanzisha nyuzi za hivi, i can assure you.

Acha kujikuta umekunywa red pill umekuwa Andrew Tate.

Wenzako wale wanafanya zile content kutengeneza pesa na ku-influence maboya kama wewe ambao mnadhani mwanamke hana bikra anakuwa kilema.

Nimekuuliza swali. Una umri gani.

Jitahidi kutoa your answer bila tusi
 
Wanaume wenzangu mnawezaje kuoa mwanamke alikwishatumika? Uwa nawaza sana ni kwamba huyo uliemuoa used ni ana hela sana? Au mzuri sana kiasi kwamba unaachaje mali mpya unanunua used??? Kila nikiwa kwenye mahusiano na demu kimoyo moyo wakati wa show uwa najisemea "huyu mpaka akaolewe si atakua kaishatumika sana? Na uwa nawakaza sana kila style ili mabwege yaje kuoa used"
Kuwa uone mambo, utakuja elimika. Kwa sasa nakwambia kitu kimoja tu bikra sio kila kitu katika maisha ya ndoa.
 
Back
Top Bottom