Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Watu wa Mungu .....
Sifa zake
Awe na umri 35 -45
Awe hajatumika .
Awe anachapa kazi
Awe tayari kuoa nakuhudumia kama upo serious njoo inbox
Chapu fulsa hii ni yenu.
Awe mlokole tafadhali dhehebu hizi za lutherani,anglicana ,RC
Fulsa?

Kukuoa na kukuhudumia ni fulsa?

Hebu edit hilo neno tafadhali, kumbeba mtu mzima mwenzio, unaanza kumlisha na kumhudumia inakuwaje ni fursa?
 
Watu wa Mungu .....
Sifa zake
Awe na umri 35 -45
Awe hajatumika .
Awe anachapa kazi
Awe tayari kuoa nakuhudumia kama upo serious njoo inbox
Chapu fulsa hii ni yenu.
Awe mlokole tafadhali dhehebu hizi za lutherani,anglicana ,RC
Bikra wa miaka 35 hadi 45..!! Kubabeeekiii...!!!
 
Nstafuta huyo my dear ukimbahatisha let me know
Tatizo mwanaume wa kufundisha mwenyewe atakusumbua, hawezi kukukata vizuri kiu yako ya sex.

Atakubaraza tu na mwisho utamdharau.

Tafuta mhuni halafu umlee kwa kumhudumia kila kitu kwa gharama zako uone!

Utakuwa umefuga msukule wa kukutosheleza kabisa kukidhi kiu yako ya gono na utamcontrol unavyotaka.
 
Watu wa Mungu .....
Sifa zake
Awe na umri 35 -45
Awe hajatumika .
Awe anachapa kazi
Awe tayari kuoa nakuhudumia kama upo serious njoo inbox
Chapu fulsa hii ni yenu.
Awe mlokole tafadhali dhehebu hizi za lutherani,anglicana ,RC
Nipo ila sina miaka hiyo nipo chini kidogo na kuhusu kuhudumia sema tutahudumiana
 
Back
Top Bottom