Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Uko ndani ya kambi ya jeshi.Mkuu huu ukumbi si uko karibu na kikosi cha FFU Iringa au nimechanganya?
Watiifu kwa Mhe; Mbowe toka atoke jela.Mkuu huu ukumbi si uko karibu na kikosi cha FFU Iringa au nimechanganya?
Swadakta ! mimi niko Hapa Kihesa , nabugia mchemsho wa njegele uliochanganywa na mbuzi , karibuMkuu huu ukumbi si uko karibu na kikosi cha FFU Iringa au nimechanganya?
Asante Mkuu.Swadakta ! mimi niko Hapa Kihesa , nabugia mchemsho wa njegele uliochanganywa na mbuzi , karibu
Iringa mjini kuna kambi ya Jeshi?Uko ndani ya kambi ya jeshi.
Iringa mjini kuna kambi ya Jeshi?
Matusi ni nini ?Lakini naye Mbowe amejifunza, amewelewa Serikali ni nini? Sidhani kama ataendelea na siasa za harakati na matusi
Lakini naye Mbowe amejifunza, amewelewa Serikali ni nini? Sidhani kama ataendelea na siasa za harakati na matusi
😄Mzee Mwanakijiji nakuona online , tunaomba maoni yako mkuu
Aliwahi kumtukana Nani na tusi gani, weka ushahidiLakini naye Mbowe amejifunza, amewelewa Serikali ni nini? Sidhani kama ataendelea na siasa za harakati na matusi
Tanesco watakata umeme, waambie waandae Jenereta la standbyUkumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyik...
Hivi mfano wa siasa za harakati Ni upi please..kukiwa na HAKI SAWA kwa vyama vyote siasa za harakati zitapungua, kama sio kutoweka.
Mkuu nachelea kusema wewe ni maiti yenye uwezo wa kuwaza japo haiwazi sawasawa!siasa isikulevye kudai katiba siyo tusi tusi ni kumwita aliyedai katiba gaidi.Lakini naye Mbowe amejifunza, amewelewa Serikali ni nini? Sidhani kama ataendelea na siasa za harakati na matusi