Maandalizi ya Ukumbi atakapohutubia Freeman Mbowe kwa mara ya kwanza tangu atoke jela yamekamilika

Maandalizi ya Ukumbi atakapohutubia Freeman Mbowe kwa mara ya kwanza tangu atoke jela yamekamilika

Lakini naye Mbowe amejifunza, amewelewa Serikali ni nini? Sidhani kama ataendelea na siasa za harakati na matusi
Hakuna siasa za matusi zilizo mbaya na kubwa kwa watanzania kuliko kuhamasisha ufisadi bila aibu wala soni usoni tena kwa kutumia TV ya Taifa🐒🐒🐒
 
Kwa akili yako unadhani "katulizwa"? Mbona ndio kama amesukumwa na kupewa nguvu zaidi ya kudai hayo hayo, na pengine zaidi?

Watu wengine huwa hamtumii akili kutambua hali halisi ya mambo ilivyo.

Kwanza wewe mwenyewe angalia unavyojichanganya. Kama Mbowe alikuwa "anashinikiza kukutana na mama", huoni sasa kakutana naye, tena mama hakuwa na subira ya kumwacha apumzike kidogo kabla ya kumkaribisha ikulu? Wewe unadhani mama hajui anachofanya, bali wewe ndio mjuaji? Bure kabisa.

Hakuna ubishi Mbowe kaitwa kupewa ABCD's na mimi ninaona Mbowe ameshalainika tayari as from now he has to dilute the motion kuhusiana na katiba mpya na hapo ndio atakuwa amekisaliti chama. Lakini kwasababu Mbowe ni mtoto wa mjini atacheza na akili za wana Chadema wala hawataelewa kinachoendelea.
 
Hakuna ubishi Mbowe kaitwa kupewa ABCD's na mimi ninaona Mbowe ameshalainika tayari as from now he has to dilute the motion kuhusiana na katiba mpya na hapo ndio atakuwa amekisaliti chama. Lakini kwasababu Mbowe ni mtoto wa mjini atacheza na akili za wana Chadema wala hawataelewa kinachoendelea.
Kwa hiyo wewe ni mchambuzi wa matukio wa kuaminiwa, au ni mtabiri wa mambo bila kuwa na vigezo vya utabiri wa hayo unayotamani yawe?
 
Back
Top Bottom