Maandalizi ya Ukumbi atakapohutubia Freeman Mbowe kwa mara ya kwanza tangu atoke jela yamekamilika

Maandalizi ya Ukumbi atakapohutubia Freeman Mbowe kwa mara ya kwanza tangu atoke jela yamekamilika

Ukumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .

Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .


View attachment 2142382
🤣🤣🤣eti Ustadhi Aboubakari
 
KAMANDA_WOTE_MASHUJAA,_WAPENDA_HAKI,_WAFIA_CHAMA__tukutane_KIsutu_leo_mapema_kwenye_kesi_y...jpg

Nani kama Mbowe?!

FAM
 
Ukumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .

Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .


View attachment 2142382
Mwamba ameitendea vema Iringa!
 
Ukumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .

Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .


View attachment 2142382
Yuko hoi, Moses Tsvangirai
 
Hata maandalizi ya harusi mtaani yanakua hivyo,mbona kawaida tu!
 
Lakini naye Mbowe amejifunza, amewelewa Serikali ni nini? Sidhani kama ataendelea na siasa za harakati na matusi
Kwi kwi kwi,, Tena hizo Siasa anaziweza Lissu na anakuja, andaeni kesi Sasa[emoji1]
 
Ukumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .

Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .


View attachment 2142382
All that is for look and feel
 
Huu ukumbi hautatosha shughuli ingefanyikia uwanja wa samora pale ni maoni yangu lakini.
 
Lakini naye Mbowe amejifunza, amewelewa Serikali ni nini? Sidhani kama ataendelea na siasa za harakati na matusi
Hapa unamuonea Mbowe hatukani mtu, japo mimi nawakubali ACT lakini Mbowe namuheshimu sana.
 
Back
Top Bottom