Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
🖕🖕Uko ndani ya kambi ya jeshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🖕🖕Uko ndani ya kambi ya jeshi.
🤣🤣🤣eti Ustadhi AboubakariUkumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .
Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .
View attachment 2142382
Mwamba ameitendea vema Iringa!Ukumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .
Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .
View attachment 2142382
Yuko hoi, Moses TsvangiraiUkumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .
Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .
View attachment 2142382
[emoji1][emoji1][emoji1]Vibaka waliokuwa wanamwita Mwamba kuwa ni gaidi sasa hivi wanamwita kuwa ni Mheshimiwa[emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2142283
View attachment 2142385
Kama Kuna FFU anayejipenda asogeze puaMkuu huu ukumbi si uko karibu na kikosi cha FFU Iringa au nimechanganya?
Kwi kwi kwi,, Tena hizo Siasa anaziweza Lissu na anakuja, andaeni kesi Sasa[emoji1]Lakini naye Mbowe amejifunza, amewelewa Serikali ni nini? Sidhani kama ataendelea na siasa za harakati na matusi
Hicho kikosi kimekuwa Kama jibwa lililo Ng,olewa meno kwa Sasa hakina uwezo Tena dhidi ya uovu kwa CHADEMAMkuu huu ukumbi si uko karibu na kikosi cha FFU Iringa au nimechanganya?
Na wewe ni maiti ya namna gani? Maana kama unaweza kusoma na kuijibu maiti isiyowaza basi na wewe Saint Anno II ni maitiMkuu nachelea kusema wewe ni maiti yenye uwezo wa kuwaza japo haiwazi
Tukio kubwa kama hilo kufanyia ukumbini nikuwanyima haki wengine.Bawacha siyo sare.Bawacha zipo mioyoniMwamba ameitendea vema Iringa!
Sambala.Yawezekana kakosea kuandika.Mkuu huu ukumbi si uko karibu na kikosi cha FFU Iringa au nimechanganya?
All that is for look and feelUkumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .
Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .
View attachment 2142382
Tusi gani alilokutukana hadi ukajinunisha hivyo?Lakini naye Mbowe amejifunza, amewelewa Serikali ni nini? Sidhani kama ataendelea na siasa za harakati na matusi
Hapa unamuonea Mbowe hatukani mtu, japo mimi nawakubali ACT lakini Mbowe namuheshimu sana.Lakini naye Mbowe amejifunza, amewelewa Serikali ni nini? Sidhani kama ataendelea na siasa za harakati na matusi
Mikutano ya hadhara imepigwa marufuku.Tukio kubwa kama hilo kufanyia ukumbini nikuwanyima haki wengine.Bawacha siyo sare.Bawacha zipo mioyoni