mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,268
- 3,439
Hahahahahahahahahahahaha.......Ukumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .
Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .
View attachment 2142382
Kwamba ostadh mbowe...
Duh!