Tetesi: MAANDAMANO 23/09: Viongozi 23 wa CHADEMA Kata ya Bunju wamekamatwa na jeshi la polisi wakiwa kikao cha ndani

Tetesi: MAANDAMANO 23/09: Viongozi 23 wa CHADEMA Kata ya Bunju wamekamatwa na jeshi la polisi wakiwa kikao cha ndani

Hivi kweli fukara maskini unaenda kuandamana kwa ajili ya nchi hii kweli na viongoz wake hata kama ni wapinzani wenye matumbo yanayopasuka kwa kula pesaza kifisadi ,,?
Huu usenge mungu aniepushie mbali kabisa
Hivi ni kweli hata kama hazitoshi unasapoti wasiojulikana waendelee kuwachukua Watanzania wenzetu hata kama tumbo lako linashibishwa na wasiojulikana?
 
Waache tu waandamane. Wawalinde wote. hakuna shida. Polisi msitumie nguvu, muwalinde waandamaji. Kuwakamata, kuwaweka mahabusu, kuwatesa inatumia resources nyingi kwa Taifa, inaleta image mbaya kwa Taifa duniani.
 
Sio kwa utakatishaji, kwa kukutwa wakijichua
ASANTE KWA MAJIBU MAZUR

UNACHUKULIAJE SUALA LA POLISI KUJIINGIZA MOJA KWA MOJA KATIKA SIASA

JE MLALA HOI WA PALE TUKUYU ANAFAIDIKA NA HILI SUALA LA POLIS KUSHABIKIA UPANDE MMOJA WA SIASA WAZI WAZI AU NI UDHAIFU WA KATIBA YETU

ASANTE
 
ASANTE KWA MAJIBU MAZUR

UNACHUKULIAJE SUALA LA POLISI KUJIINGIZA MOJA KWA MOJA KATIKA SIASA

JE MLALA HOI WA PALE TUKUYU ANAFAIDIKA NA HILI SUALA LA POLIS KUSHABIKIA UPANDE MMOJA WA SIASA WAZI WAZI AU NI UDHAIFU WA KATIBA YETU

ASANTE
Na wewe unalichukuliaje swala la uhaini linalofanywa na machadema kwa kumuamuru amir jeshi mkuu kwa kumtamkia must go?? Ulitaka Askari walioapa kulinda serikali Wakalale Tu majumbani kwao we bi dada??
 
Na wewe unalichukuliaje swala la uhaini linalofanywa na machadema kwa kumuamuru amir jeshi mkuu kwa kumtamkia must go?? Ulitaka Askari walioapa kulinda serikali Wakalale Tu majumbani kwao we bi dada??
Maandamano yapo halali kikatiba.

Amiri Jeshi mkuu yupo hapo kikatiba.Ni lazima kuheshima katiba kwa kumheshimu amiri jeshi mkuu lakini pia na kuheshimu katibak kwa kuepuka kuingiza polisi katika siasa na kuheshimu haki ya kuandamana.

Nini chanzo cha maandamano? Ni utekaji na mauaji yaliyokithiri. Je unazungumziaje hilo?
 
Back
Top Bottom