The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Watu wamepigwa risasi mwingine kaishi jela bado kwa kutumia matako unaandika hivi ukiwa unaangalia netfixmtangulize gaidi mbowe mbele na tundu shimo wawe mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wamepigwa risasi mwingine kaishi jela bado kwa kutumia matako unaandika hivi ukiwa unaangalia netfixmtangulize gaidi mbowe mbele na tundu shimo wawe mbele
Tufanye kazi wengine wwauze mali zetu.Hapana tuzipiganie kwanza hizo tulizonazoFanyeni kazi,acheni uvivu.
Ukute una comment ukiwa sebuleni kwa shemeji yako unasubiri watoke chumbani na dada yako ndio mle halafu unaongelea njaa za wengine.Acha njaa,fanyakazi.Ukiona mtu analalamika sana ,ujue ni mvivu.
anza weweeeeeWakuu,
Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.
Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.
View attachment 2683050
mali zakoo eehTufanye kazi wengine wwauze mali zetu.Hapana tuzipiganie kwanza hizo tulizonazo
Mbona mliichukuwa Zanzibar na kuuwa maelfu ya watu na bado mnaendelea kutuuwa kila ufikapo uchaguzi .Bora afe tu tufanye sherehe lakini mali zetu zibaki salama kwa vizazi vijavyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa km chiziiiBibi wa watu hela keshanunua udi na mitandio halafu mnamkalia kooni.
Muhurumieni mtamuua kwa pressure.
Yani unawajulia [emoji23][emoji23] mara ya kwanza si waliandamana pale mnazi mmoja, tuliona mdada mmoja tu kakamatwa wale vinara wa uhamasishaji hakukuwa hata na mmoja aliyejitokezaKumekuchaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] siku ya maandamano tutawaona wavulana watatu na mdada mmoja, wengine mtakuwa huko clubhouse mnajiandaa[emoji1787][emoji1787].