Maandamano makubwa ya Amani kupinga DP World kufanyika Julai 22

Maandamano makubwa ya Amani kupinga DP World kufanyika Julai 22

mama hana habari kabisa na nyinyi yeye tayari kaisha maliza mambo yake nyinyi pigeni kelele weee mtachoka
Haswa! Mpaka uchaguzi unaporwa, tozo zisizoeleweka,WaTz wanavumilia, bandari hamnyimi usingizi! Ila tuandamane tu, ataambiwa, kama hataona!
 
hivi, Mwabukusi, Lisu na nshala, kwanini wasiunde chama chao kipya, mbona itapendeza sana, na hakuna wa kuwazuia manake atakayewazuia watamburuza mahakamani. sioni mwanga kwa chadema, naona mwanga kwa watu hao binafsi.
 
Wakuu,

Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.

Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.


View attachment 2683050
Ngoja tuone watakaojitokeza hiyo tarehe 22 July.
 
hivi, Mwabukusi, Lisu na nshala, kwanini wasiunde chama chao kipya, mbona itapendeza sana, na hakuna wa kuwazuia manake atakayewazuia watamburuza mahakamani. sioni mwanga kwa chadema, naona mwanga kwa watu hao binafsi.
Watu wengi Hawataki shida Sasa chama Cha wapenda shida nani watajiunga? Watu wanataka pesa sio ujinga ujinga huo.
 
Wakuu,

Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.

Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.


View attachment 2683050
😁😁😁👇👇
 
Wiki endi hiyo!!!Nitakuwa Zangu nakula Zangu kitimoto makange,,na plisna zakutosha kuanzia mchana!!
 
Binafsi yangu kwa niaba ya walambwa wenzangu wote jamii forum nitakuwa na mwabukusi na wanaume wengine wa mikoani mahakama ya mbeya.. hongereni wanaume wa dar kwa dhamila ya dhati kutetea rasilimali zetu. Tunangoja mrejesho hapa
 
Back
Top Bottom