Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Maandamano yanachukua muda gani?Huu ndio ukweli.Wanasumbuliwa na njaa,hawataki kufanyakazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandamano yanachukua muda gani?Huu ndio ukweli.Wanasumbuliwa na njaa,hawataki kufanyakazi.
Wanatosha sana hao, hata akiwa mmoja inatoshaKumekuchaaa🤣🤣🤣🤣 siku ya maandamano tutawaona wavulana watatu na mdada mmoja, wengine mtakuwa huko clubhouse mnajiandaa🤣🤣.
Haswa! Mpaka uchaguzi unaporwa, tozo zisizoeleweka,WaTz wanavumilia, bandari hamnyimi usingizi! Ila tuandamane tu, ataambiwa, kama hataona!mama hana habari kabisa na nyinyi yeye tayari kaisha maliza mambo yake nyinyi pigeni kelele weee mtachoka
Maisha yenyewe unayo Sasa!!?Mkaandamane sasa kipindi sisi tupo bize na maisha
Sindo naangaika nayoMaisha yenyewe unayo Sasa!!?
Ngoja tuone watakaojitokeza hiyo tarehe 22 July.Wakuu,
Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.
Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.
View attachment 2683050
Kwanza wataishia kuchangia porojo humu jukwaani ila hakuna hata mmja ataenda kuandamana.mama hana habari kabisa na nyinyi yeye tayari kaisha maliza mambo yake nyinyi pigeni kelele weee mtachoka
Watu wengi Hawataki shida Sasa chama Cha wapenda shida nani watajiunga? Watu wanataka pesa sio ujinga ujinga huo.hivi, Mwabukusi, Lisu na nshala, kwanini wasiunde chama chao kipya, mbona itapendeza sana, na hakuna wa kuwazuia manake atakayewazuia watamburuza mahakamani. sioni mwanga kwa chadema, naona mwanga kwa watu hao binafsi.
Kwa hiyo wewe hautaenda au? 🤣🤣🤣🤣Wanatosha sana hao, hata akiwa mmoja inatosha
😁😁😁👇👇Wakuu,
Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.
Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.
View attachment 2683050
sawaKwa hiyo wewe hautaenda au? 🤣🤣🤣🤣
Twitter na Jf Huwa mnaandamana kinyama Sasa front hatuwaonagi 😁😁
Maria Sarungi ni Mjaluo siyo MkereweMaria Sarungi ndio hatma (destiny) yako? Vizazi vyako vijavyo vina maslahi gani na Mkerewe Maria Sarungi?
Tutaandamana kwa ajili ya mama yetu Tanganyika
Wazugaji watupuArusha tupeni utaratibu..itengenezwe whatzup group..na isiwe na kikomo,watumie risasi za moto tushachoka
Na huwa anapiga makelele akiwa KenyaMaria Sarungi ni Mjaluo siyo Mkerewe