sema na wewe uandamane. na kweli tutaandamana. Polisi nao ni watanganyika nao inabidi waandamaneRetired vibesen xxx na wengine ndio muda wenu huu sio kulialia mitandaoni nyie si vidume andamaneni sasa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sema na wewe uandamane. na kweli tutaandamana. Polisi nao ni watanganyika nao inabidi waandamaneRetired vibesen xxx na wengine ndio muda wenu huu sio kulialia mitandaoni nyie si vidume andamaneni sasa....
Online republic and the fantasy worldBora afe tu tufanye sherehe lakini mali zetu zibaki salama kwa vizazi vijavyo
Umechoka kuishi!?Arusha tupeni utaratibu..itengenezwe whatzup group..na isiwe na kikomo,watumie risasi za moto tushachoka
Haya nyie vijana wa zamani lini mliandamana? Au zile kunji za chuo unaita maandamanoHivi kwani maandamano ya amani ni kosa kisheria? Vijana wengi wa zama hizi wamelelewa ki fisi maji sana!
Mkoloni angebaki mpaka leo basi Tanzania ingeendelea kuwa koloni milele.
Tafuta mume uoleweLabda maandamano yale ya Mange Kimambi...
[emoji23] Nacheka kwa dharauuuu!
Sawa lete na watoto wako na wewe kama unao na punguza uvuvi wa kufikiri wewe toto jinga, akili yako ni ile utotoni kama dada aogi nami siogi, kama dada hapigi mswaki nami sipigi mswaki.ok hiyo siku tunataka muweke na familia zenu mbele . ili mvunjwe miguu vizuri. sio mnataka watu waandamane ila ninyi na watoto wenu mpo marekani
Watu wakiamua wameamua ni amani sio fujo tena wanaweza wakapewa na polisi wawasindikize, shida ipo wapi ? Hii Nchi ni yetu sote kikubwa usivunje SheriaKumekuchaaa🤣🤣🤣🤣 siku ya maandamano tutawaona wavulana watatu na mdada mmoja, wengine mtakuwa huko clubhouse mnajiandaa🤣🤣.
Hakuna Sheria inayomruhuru polisi kuua raia wa kawaida na risasi za Moto ndio maana wanatumia maji washawasha na mabomu machozi kutuliza ghasia, ikitokea polisi kaua raia hata Serikali haitomuelewa maana haijamtuma kuua raiaArusha tupeni utaratibu..itengenezwe whatzup group..na isiwe na kikomo,watumie risasi za moto tushachoka
Sio kosa na ni haki yako ya kikatiba Ila kuna ambao wameiminya kwa minajiri ya kukupa kibari cha kuandamana kutoka kwa walinzi wa amani ila wakikunyima kibari ukaenda kinyume chao wanachukulia wewe huitaki amani unataka fujo,Hivi kwani maandamano ya amani ni kosa kisheria?
Bi. Chausiku andaa magari ya deraya, na ya upupu na mabomu ya machozi, na risasi za moto, tupo tauari kufa kwa ajili ya ardhi yetu TanganyikaWakuu,
Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.
Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.
View attachment 2683050
Maria Sarungi ndio hatma (destiny) yako? Vizazi vyako vijavyo vina maslahi gani na Mkerewe Maria Sarungi?Mpaka siku akiandamana Maria sarungi nitajua mpo serious na Mimi nitaandamana😃😃
Nasema hivi! Siwezi kuwa mbuzi wa kafara wao wakae nyuma ya keyboard Mimi nikachezee segere la FFU ...halafu pakinuka Wana kwa kukimbilia ulayaMaria Sarungi ndio hatma (destiny) yako? Vizazi vyako vijavyo vina maslahi gani na Mkerewe Maria Sarungi?
Tutaandamana kwa ajili ya mama yetu Tanganyika
Yanaandaliwa Club House na yatafanyika Club HouseMaandaliz ni wapi mkuu
Huyu mama kaingizwa chaka, na waliomuingiza wana agenda yao ila wamemuacha imuue polepoleJmani mtamuua na pressure mama wa watu
Ajitue mzigo.Jmani mtamuua na pressure mama wa watu
Ingependeza ikiwa kila mkoa/wilaya watu washiriki nchi nzima.Wakuu,
Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.
Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.
View attachment 2683050
Busy for nothingMkaandamane sasa kipindi sisi tupo bize na maisha