Kwamba CCM wakiondoka ndio watu watabadilika ? Unasema jamaa waoga wakati madogo tu kina Panya road waliweza kuwaendesha watu wazima kwa muda wa kutosha...., kwahio nakwambia hivi bado hawajabanwa wala kile kinachogombaniwa hakijawa defined kwao vizuri wala alternative ya kilichopo pia haiaminiki wanaweza wakaingia mtaani ili kubadilisha chupa badala ya mvinyo...Narudia tena
Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.
Ccm labda wapinduliwe
haha sawa mkuu.Utajiri ameupata nje ya siasa mkuu na hata mlivomuharibia vyanzo vyake vikubwa viwili lakin bado Mpunga upo ,so hajaja kwenye siasa kwa ajili ya kupiga pesa ,si umeona bon yai mjengo wake ule? Hivi kuna mwanasisiemu au Police officer yeyote mwenye Mjengo kama wa Bon Yai? Na yeye vipi ameenda chadema kupiga Pesa? Ukiona mtu yupo upinzani ujue hayupo kwa ajili ya kuchumia tumbo ,wachumia TUMBO wote wapo SISIEMU.
🤣Kwamba CCM wakiondoka ndio watu watabadilika ? Unasema jamaa waoga wakati madogo tu kina Panya road waliweza kuwaendesha watu wazima kwa muda wa kutosha...., kwahio nakwambia hivi bado hawajabanwa wala kile kinachogombaniwa hakijawa defined kwao vizuri wala alternative ya kilichopo pia haiaminiki wanaweza wakaingia mtaani ili kubadilisha chupa badala ya mvinyo...
Wajinga kama nyie ndo mzigo Kwa nchi hiiLissu hajui lengo la Mbowe...
Anachokitaka huyo kengeza ni attention kimataifa ili zitoke fedha za ufadhili wa hayo maandamano...
Kengeza hajawahi kua serious na wananchi hata siku moja, kila anachofanya ni kwa maslahi binafsi...
Bado namshauri Tundu Lissu aangalie namna ya kukaa mbali na kengeza asichafuke.
Uko uvunguni kama mimi?Wajinga kama nyie ndo mzigo Kwa nchi hii
Acha uwongo ,leta ushaidi unaosema kuwa mzee mbowe ni bilionaire kwa maana kwenye rekodi za walipa kodi haoinyeshi kama huyu mtu anayo hela inayozidi 500m TzsMaslahi gani wakati ni Bilionea? Ameanza kushika Pesa akiwa na 19yrs old na wala hajui siasa enzi hizo ,mpaka anaingia kwenye siasa ana Utajiri wa hatari mpaka kumiliki apartment Down town NYC ,Hotels na majumba UK.
Yasiyo na kibali ni kuvunja sheria mtashughulikiwaSiku ile uliyokusanya viongozi wote wa chama wa Pwani na Dar es Salaam, ulitakiwa kutangaza maandamano palepale muingie barabarani jioni ileile.
Ila ukang'ang'ana kuwa ni lazima kuomba kibali polisi. Gen Z waliomba kibali wapi? Haya sasa, kiko wapi?
Lissu-x atakuwa anacheka kimoyomoyo.
Chadema hii siku ikipita leo bila kufanya hayo maandamano ndo watakuwa wamehalalisha rasmi mauzauza mengi yanayokuja mbele....kuanzia kwny uchaguzi wa serikali za mitaa mpk ule wa mwakani maana wataonekana Hawa ni wapiga domo hawana lolote....chama kilichokuwa kinatekeleza kinayoyasema ni CUF wazee wa jino kwa jino....wale walikula sana virungu kipindi cha mkwere na kule Zenji mpk mauaji yakatokea na mwenyekiti akavunjwa na mkono....mbowe na uenyekiti wake miaka 17 takribani hata ngeu Hana halafu ahamasishe maandamano watu wachukulie serious....hii inaonesha hata wapiga kura wa Chadema watakuwa ni wapiga kura wa hmu mitandaoni sio kule vituoni....mkisema kitu mkakakatazwa na mamlaka lakini mkasisitiza mtafanya mnatakiwa mfanye kwli....sio mkitishwa kidogo tu mnakula unyoyaUpo sahihi, enzi zao CUF walifanikiwa sababu walikuwa hawayikei majumbani bali walikuwa wakitokea misikitini.
Enzi za Magu, yale maandamano ya CHADEMA yalifanikiwa sababu hawakutokea majumbani nali walitokea Mkutanoni.
Haya waliyoyafanya majuzi baada ya kuruhusiwa na malkia Juha Chura yalikuwa kama maandamano ya Ekaristi tu.
Hata haya ya sasa ni halali kabisa yenye nia njema ila mamlaka zimeamua kuyaharamisha
Yasiyo na kibali ni kuvunja sheria mtashughulikiwa
Kwa walinda amani yaani PolisiYenye tija yapate kibali wapi?
Kwa walinda amani yaani Polisi
Zile ni Nchi za kipumbavu Kila mtu ana ndevu.Ndiyo ilivyokuwa Kenya au Bangladesh?
Unaweza kuwa sawa! Ni mtu waoLissu hajui lengo la Mbowe...
Anachokitaka huyo kengeza ni attention kimataifa ili zitoke fedha za ufadhili wa hayo maandamano...
Kengeza hajawahi kua serious na wananchi hata siku moja, kila anachofanya ni kwa maslahi binafsi...
Bado namshauri Tundu Lissu aangalie namna ya kukaa mbali na kengeza asichafuke.
Hivi uliamini kuwa yatakuwepo?Kumbe maandamano hayapo?
Zile ni Nchi za kipumbavu Kila mtu ana ndevu.
View: https://x.com/Jambotv_/status/1838111467574296603?t=Z5PAmlTw66szo0RR4X_Zwg&s=19