Point ni kwamba hao mnaosema hawana viwanja hizo training centre zao mngekuwa mnamiliki nyinyi mngezifanya ni kwa ajili ya mechi na training.Kaangalie ulichokiandika hapo juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point ni kwamba hao mnaosema hawana viwanja hizo training centre zao mngekuwa mnamiliki nyinyi mngezifanya ni kwa ajili ya mechi na training.Kaangalie ulichokiandika hapo juu
hapana sio hivyo, maandamano yale yanasimuliwa watu kuhusu ukubwa wa club ya Yanga Tanzania, East Africa, SADC, Africa na duniani. Sasa inatia simanzi kuona ukubwa kama huu lakini timu inatembeza bakuli kwa miaka yote 80. Yaani viongozi waliopita huko nyuma wanastahili kukatamatwa na kuswekwa ndani kwa walichokiiba yanga.Maandamano ya Yanga ni sawa na ule msemo wa "maskini akipata......"
Yaani ilimradi mkosoe tu..!!! Koloz mwaka huu mnaloTumetia fora sana duniani kwa aina Ile ya kushangilia ubingwa, lakini waliotupongeza wanafahamu kuwa Yanga Haina uwanja wake yenyewe pamoja na kuanzishwa 1935?
Mara nyingine kila Senti ya baada ya uendeshaji wa timu iende kwenye kuwa na uwanja wetu wenyewe, ni aibu kubwa.
Hiv zile 20B katoa?Ogopa sana uwanja wa Club umepewa jina la muwekezaji eti 'Mo Arena' 😂😂😂
Makolo kwa kulialia..Angalau makolo Wana uwanja wa mazoezi . Utopolo yeye hata wa mazoezi hana. Anadandia viwanja vya shule za chekechea wenzake kufanya mazoezi
Alisema 20b + 20b = 80b alafu mashabiki wa simba wakashangilia 😂Hiv zile 20B katoa?
Dah.. makolo wana kazi sanaAlisema 20b + 20b = 80b alafu mashabiki wa simba wakashangilia 😂
je, wewe mdau mwenzangu haikukeri sherehe ya siku ya wananchi kuifanyia uwanja wa Taifa? Mapesa yoote ya viingilio na maegesho tunagawana na wengine bila sababu za msingi. Kwenye uwanja wetu tungeliweza kuweka hata shopping mall kuuza vifaa vya michezo na jezo zote. Nilienda pale makao makuu kwenye duka la Yanga unakouza jezi, pale ni walanguzi tu kama walanguzi wengine. Wanunua hukooo na kwenda kuuza pale kwa bei ya chajuu.Yaani ilimradi mkosoe tu..!!! Koloz mwaka huu mnalo