Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Narrated `Aisha:

that the Prophet (ﷺ) married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old. Hisham said: I have been informed that `Aisha remained with the Prophet (ﷺ) for nine years (i.e. till his death).
Child molester Muhammad alimtesa Sana Aisha fikiria Muhammad kauliwa Aisha akiwa na miaka 18 na kabla hajafa Muhammad alipiga biti Kali wake zake ata akifa hakuna kuolewa
 
Hayo maelezo yake nilishayatoa mapema sana nashangaa huelewi chalii angu.

I told you Jesus died because of those sins and laana but alifufuka ( tofauti na wanadamu wengine kuwahi kutokea) na kufufuka kwake ina maana ameyashinda mauti ambayo yanaletwa na dhambi na laana zake. Maelezo haya nimekwambia mapema tu sema kichwa kizito ndugu yangu.

Yesu hana dhambi na wala hazibebi tena, alizibeba na alishazilipia. He is

Kwa hiyo tukubaliane sasa Hadith sio za kuaminika tena tutafute vyanzo vyengine vya hadith preferably GOOGLE au sio?

Mdogo mdogo mnaanza kuingia kwenye mfumo. Taratibu mnaanza kutambua kuwa kuna vitu ni ushetani na kwa hiyo lazima Hadith zitakuwa zinadanganya maana Mtume hawezi kuwa katili namna hiyo au sio?

Sasa tukatae Hadith zote au tuwe tunachagua vya kukubali ktoka kwenye Hadith? Mnatuchanganya sasa. Now tutumie google tu au tuendelee kuleta reference za kwenye Hadith za Sahih Bukhali?
Kwahiyo kama Yesu hana dhambi, sasa zile dhambi alizizibeba kwa ajili yenu baada ya kufufuka zilienda wapi?
 
Majibu kutoka kwenye Hadith au Google? Maana Hadith zinasema namna hii mwenye macho na ajionee.

Narrated `Aisha:

that the Prophet (ﷺ) married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old. Hisham said: I have been informed that `Aisha remained with the Prophet (ﷺ) for nine years (i.e. till his death).

حَدَّثَنَا مُعَلَّى بْنُ أَسَدٍ، حَدَّثَنَا وُهَيْبٌ، عَنْ هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ، أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم تَزَوَّجَهَا وَهْىَ بِنْتُ سِتِّ سِنِينَ، وَبَنَى بِهَا وَهْىَ بِنْتُ تِسْعِ سِنِينَ‏.‏ قَالَ هِشَامٌ وَأُنْبِئْتُ أَنَّهَا كَانَتْ عِنْدَهُ تِسْعَ سِنِينَ‏.‏

Reference
Sahih al-Bukhari 5134
Book 67, Hadith 70
Vol. 7, Book 62, Hadith 65

Haya ndo yaliyoandikwa kwenye Hadith haya mengine mnasema nyinyi. Ila nafurahi kuona mmetambua kuwa kilichofanyika ni ukatili kiasi kwamba mnatafuta namna ya kukitolea maelezo. Bahati mbaya ni kwamba Sahih Bukhari was the greatest Hadith writer na kumpinga huyu ni kama kupinga Hadith zote za Mtume.

Nimekupa mpaka Reference haya endelea kubisha sasa.
Tukakuuliza,
Je, kipindi hicho umbo lake ulikuwa unalijua?
Tukauliza tena, unafahamu kama alivunja ungo au la? (Kama hujui kuvunja ungo ni kupata first bleeding(menstruation cycle).

Hadithi inatuambia yeye Bi Aisha alikuwa mwenye Furaha kwenye Ndoa yake, wewe sasa unaumia nini? Au kuna. sehemu Bi aisha alipigwa au alinyanyaswa kijinsia?

Mwenyezi Mungu ni Mkuu, akitaka kitu kinakuwa.

Kwakuwa unang'ang'ania hadithi moja twende nayo sasa huku ukijibu Maswali.

Tutajie na Mwaka aliozaliwa Bi Aisha
 
We chizi kweli mwanangu tunatoka kwenye habari za Mtume unaleta habari za wazungu. Sasa nani kasema kuwa wazungu ndo standard ya ukristu?sisi msingi wetu ni Biblia sio wazungu usichanganye mafaili mzee.

Hapa hata sisi hatuzungumzii Waarabu tunazungumzia Mtume specifically.

Choice your examples and references wisely.
Kwanza Chizi Mwenyewe kabla sijasahau.

Alafu kumbuka susi tunavyoishi na hivi vitabu ndivyo tunavyoviadapt kutoka kwa manabii. Mafano wewe kwa imani yako unafuata mafunzo ya yesu wako, kwahiyo nikikutolea mfano wewe sijakosea hata nispomtaja Yesu.

Yesu alifundisha kwenye bible jinsi ya kusali( Ukisoma Luka 11:1–4), na nyinyi ndivyo mnavyomfata. Kwahiyo mimi nikisema wewe unasali kama Yesu nitakuwa sahihi.

Sasa hao wazungu ni wakristo wenzako na wanaenda kanisani lakini wanaoa Mabinti waliovunja ungo kwa Mara ya kwanza kwa kumuiga Mtume Muhammad alafu walivyokuwa wakikaa pembeni wanasema hii sio powa hii. Unafiki tu.

Mpaka leo Marekani kuna kuoa vibinti vidogo vidogo na Bwana anakamata kototo anakioa na WAZAZI wanaruhusu. Sasa unapata wapi nguvu ya kumsema Mtume?

Kama unabidha huko kwa Wakristo wako wa Marekani(USA) hawafanyi hivvyo bisha sasa alafu nikuumbue.
 
So tumsikilze nani? Tabari au Bukhari? Ni nani ni reliable kati ya hawa wanaopingana maana nilivyofundishwa mimi ni kwamba Sahihi Bukhari ndo greatest story (hadith)teller in Islamic traditions.

Kwa hiyo mmoja hapa muongo au sio?
Na kwakuwa kaandika vitabu vingi itakuwa kadanganya pakubwa sana basi.
Tukakuuliza,
Je, kipindi hicho umbo lake ulikuwa unalijua?
Tukauliza tena, unafahamu kama alivunja ungo au la? (Kama hujui kuvunja ungo ni kupata first bleeding(menstruation cycle).

Hadithi inatuambia yeye Bi Aisha alikuwa mwenye Furaha kwenye Ndoa yake, wewe sasa unaumia nini? Au kuna. sehemu Bi aisha alipigwa au alinyanyaswa kijinsia?

Mwenyezi Mungu ni Mkuu, akitaka kitu kinakuwa.

Kwakuwa unang'ang'ania hadithi moja twende nayo sasa huku ukijibu Maswali.

Tutajie na Mwaka aliozaliwa Bi Aisha
 
Kwenye academic writing tunafundishwa sio kila source inafaa kwa reference. Sisi tumetumia the most reliable source in telling Hadith according to Muslims traditions,wewe source yako ni reliable? Sio kila source watu wapite nayo tu.
Jibu maswali, Onyesha sehemu aalioolalamika wakati anaingiliwa Bi Aisha
 
Unajisahau tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio nyie mnasema Uislamu ulianza toka Adam
Wewe kweli hujitambui ina maana hata kiingereza huelewi. Neno ‘emerged' Maana yake kitu kilikuwepo ila sasa kimeongezeka Ushawidhi na kimekuwa zaidi au kimeibuka zaidi. Kwahiyo Uislamu upo tangu Adam. (Ukibisha tunaenda kweny Dictionary ya kiingereza kwa kiingereza kuangalia maana na mfano mmoja wapo, uone neno Emerge linavyotumika.)
 
Jibu ni kwamba hizo ni hadithi na simulizi ni zao wamoibu sio zetu mzee tufatilie zeru
 
Child molester Muhammad alimtesa Sana Aisha fikiria Muhammad kauliwa Aisha akiwa na miaka 18 na kabla hajafa Muhammad alipiga biti Kali wake zake ata akifa hakuna kuolewa
Acha Uongo. Wenzako Wakristo U.S.A wanaoa vibinti vidogo na wanaenda navyo Kanisani na Wazazi wameridhia. Na hao Mabinti wako So Smart kichwani wana akili kushinda hao Wanawake zako unaowataka wa Miaka 18.

U.S.A wanajilia vyao tu wewe huku ukilialia, imagine Kidume cha US kinaenda kanisani kusali na Mke Binti wa miaka kama 13 au 14 na mambo yanakuwa Super. (Mi nataka Ubishe nikuumbue), yani bado kuwa Waisilamu tu, ili wafaidi vizuri.

Endelea kucompare maisha ya miaka 1400 iliyopita na ya sasa. Na mimi nitacompare na USA kama kawa.
 
Unaweka ma insha na nimeshaweka hukumu imeshatengua huo ujinga wa kuoza watoto
Wewe acha kurukaruka, Sheria ya Ndoa ya 1971 ipo na bado haijabadilishwa hadi sasa.

Nyinyi Wakristo(Makafiiri) ndio huwa mnawapiga Mabinti na kuwanyanyasa kijinsia. Kama mwanaume jiamini ishi na Mke vizuri.

Eti Mahakama imeshatengua, wewe hujui nchi yako inaongozaa tu bora liende. We huoni wapinzani wana haki lakini wanawekwa Jela na Sheria zipo wazi hawatakiwi kuwepo jela.

Sasa hukumu kama wametoa ni wao, lakini Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 ipo na bado inafanya kazi.

Naona Mmejipamga Mwakani 2023 mwezi wa 2 muibadishe, ndio tunawasubiri.
 
Unaweka ma insha na nimeshaweka hukumu imeshatengua huo ujinga wa kuoza watoto
Hukumu kama imewekwa kwa kuwa Kidume Mkristo Mwenzio kamnyanyasa Mkewe hapo sawa.

Ila hiyo hukumu bado haibatilishi Sheria ya Ndoa ambayo ipo na bado inafanya kazi. Kuna watu wanaishi na wake zao vizuri tu husikii makesikesi kama hayo.
 
Jamani hapa hebu tuache udini tujiulize hili swali"Kama dunia nzima walibaki watu watatu mpaka hao mabinti wakakosa wa kuwalala mpaka kupelekea kufanya walichokifanya,Je,Ni Nani aliyevujisha hii habari?
Maana kwa Hali ya kawaida sidhani Kama hao mabinti walikuja kusimulia wajukuu zao huo uhaini wao walioufanya ujanani?Sasa Nani katoa Siri?
NB...tafadhali MTU asijibu enzi zile hata nyoka waliongea

Proudly Christian.
 
Jamani hapa hebu tuache udini tujiulize hili swali"Kama dunia nzima walibaki watu watatu mpaka hao mabinti wakakosa wa kuwalala mpaka kupelekea kufanya walichokifanya,Je,Ni Nani aliyevujisha hii habari?
Maana kwa Hali ya kawaida sidhani Kama hao mabinti walikuja kusimulia wajukuu zao huo uhaini wao walioufanya ujanani?Sasa Nani katoa Siri?
NB...tafadhali MTU asijibu enzi zile hata nyoka waliongea

Proudly Christian.
[emoji23][emoji23][emoji23] Atakujibu Mokit Mbishi
 
Hata wewe unaeza changamsha bongo.
Walijulikana tu si unajua Mimba ni Miezi 9, sasa miezi yote hiyo walikuwa wanaulizwa hii mimba baba yao ni nani. Baadae walivyojufungua Watoto wakafanana na Lutu, wadau wakajua kumbe mlitenbea na Dingi yenu!!!
 
Kwahiyo kama Yesu hana dhambi, sasa zile dhambi alizizibeba kwa ajili yenu baada ya kufufuka zilienda wapi?
Dhambi zinaleta mauti na ndio maana alikufa msalabani kitu ambacho Shetani anapambana kuwaaminisha watu kuwa hakufa so wasimwamini wasiokolewe.
 
Maswqli yako 6 na 7 ni kufuru.

Nikupe kipande cha ushahri. Ukimuomba Mungu akufunulie ufahamu wa maandiko yake Matakatifu atafanya hivyo. Elewa kuwa Moabu na Waamoni walikuja kufutwa baadaye maana uzao wao ulipatikana kupitia matendo haramu. Ingawa Torati ilikuja baadaye sana baada ya Lutu. Zaidi ya miaka 400 lakini dhambi yao ilidumu na walipatilizwa kupitia upanga wa Israeli...
Acha uongo kuna baadhi ya Source za kuaminika Google tena za Wakristo wenzako wanasema kizazi cha Lutu hakijafutika chote kipo hata leo kinapatikana Jordan huko.

Alafu soma andiko vizuri, andiko linasema. Huyu ndio Baba wa Wamoabi hata leo. Na pia huyu ndie Baba wa Waamoni hata leo.

Hilo neno hata leo ndani ya Mwanzo 19:37–38 yana umuhimu sana. Usipende kufukiri tofauti na Maandiko.
 
Tukakuuliza,
Je, kipindi hicho umbo lake ulikuwa unalijua?
Tukauliza tena, unafahamu kama alivunja ungo au la? (Kama hujui kuvunja ungo ni kupata first bleeding(menstruation cycle).

Hadithi inatuambia yeye Bi Aisha alikuwa mwenye Furaha kwenye Ndoa yake, wewe sasa unaumia nini? Au kuna. sehemu Bi aisha alipigwa au alinyanyaswa kijinsia?

Mwenyezi Mungu ni Mkuu, akitaka kitu kinakuwa.

Kwakuwa unang'ang'ania hadithi moja twende nayo sasa huku ukijibu Maswali.

Tutajie na Mwaka aliozaliwa Bi Aisha
Kwa hiyo we unajua umbo la bi Aisha lilivyokuwa sio? Sasa we jichanganye nenda katafute katoto ka miaka 6 kenye umbo kubwa then waambie watu ujinga huo uone watakavyokugawanya.

Naona sasa umeanza kuishiwa hoja,mimi sasa nitaje mwaka aliozaliwa Aisha kwa lengo gani labda ? Halafu unatapatapa sana mwanangu mara useme Tabari kasema dogo aliolewa akiwa na umri mkubwa,mara useme dogo wa miaka 6 alikuwa na umbo kubwa,naona hii mada ishakuwa nzito sana kwako fanya shughuli nyingine.
 
Tukakuuliza,
Je, kipindi hicho umbo lake ulikuwa unalijua?
Mfuasi WA child molester, mbona umbo tumeweka alikuwa mdogo Sana , ndio maana mnabaka watoto ! Yani wewe unaona umbo ndio ukubwa shame on you

Mama yake alivyoona katoto Aisha bado kadogo na umbo pia ni dogo akaanza kumlisha ili awe toto ka bonge ili apelekwe kwa child molester

Narrated Aisha, Ummul Mu'minin: My mother intended to make me gain weight to send me to the (house of) the Messenger of Allah (ﷺ). But nothing which she desired benefited me till she gave me cucumber with fresh dates to eat. Then I gained as much weight (as she desired). Sunan Abi Dawud 3903
 
Back
Top Bottom