Maariv Media Israel : Iran yapokea SU 35 fighter jets, S-400 Air defense System kutoka Russia na laser Anti - drone system silent Hunter" kutoka China

S 400 haijatumika zaidi ya kutestiwa, hayo madude yamewasubiri NATO wajichanganye wajikute wameingia chakike, hapo ndipo utajuwa S 400 nikitu gani.
 
Huna tofauti na dereva alietoka veta leo
 
Mpaka watu wafe !? Kitendo cha kupigwa Tu ktk ardhi yako Hiyo tayari ni zaidi ya udhaifu na ni chanzo kamili cha kuwafanya watu waingie vitani
 
🤣🤣🤣🤣 Wanaleta udini kwenye siasa
 
Umoja wa Nchi za Kiarabu (OIC) wametoa msaada gani?
 
The S-400 is an expensive toy as it has terribly failed to prove its usefulness in Ukraine.


 
Hakuna silaha hapo itakayoisaidia Iran kwani silaha zote hizo ni the spent force.
 
Iran inamalizwa soon,Russia na China kaeni mjifukie huko.
 
Atashangaa
 
Israel anapiga Iran ili iweje. Huo ni ujinga.

Yeye ashughulikie Hezibolaa na Hamasi. Kupiga Iran hakuna faida yeyot

Sidhani kama Wazayuni wataingia katika mtego wa kuivamia Iran. Kwanza baba yao USA kishawakataza. Ufaransa kakataa kuwauzia silaha. Sasa za kuambiwa waongezee na za kwao>
Ile ni propaganda ili Iran aamini yameisha
 
Hivi yule gaidi aliyepigiwa sebuleni kwa ayatollah silaha ilitoka nje ya Iran ?
 
Kwamba trumpet hakuwahi kuwa rahisi wa marekani
 
Haiwezi Iran 🇮🇷 ndio inaweza imefika mpaka Haifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…