Maaskofu wa TEC wamehudhuria utiaji saini wa mikataba 3 ya DP World?

Hakuna cha marekebisho wala nini. wao waraka wao ulikuwa ni Bandari wasipewe wawekezaji na sio marekebisho Mama Ni strong sna. wamenyweaaa usicheze na mamlaka
Wakatoliki shida yao ni wale jamaa wa ni zamu yetu hawana shida na mama,,,, kuna vita hazipiganwi waziwazi......... Kuna safu inarudi sasa hadi mwaka wa uchaguzi pataeleweka
 
Walishatoa tamko lao. Leo wameitilia with na kwenda Ikulu. Hainaanishi wamekubaliana.
Wana akili zaidi kuliko tunavyofukiria. Ni mwanzo wa vita ya chini chini na mshindi ni mmoja tu - wao.
 
Hivi kile kiwaraka cha TEC bado kinasomwa kila jumapili au wameacha?
 
 
Kwan ni siri mkuu au umeamua tu kujizima data
Walitaka vifungu vifanyiwe kazi na serikali imefanyia kazi wakawa hawana sababu ya kupinga mkataba.

Samia ni bonge la kiongozi, bonge la rais. Kathibitisha uwezo wake wa kiuongozi kwenye suala hili la bandari kuingia mkataba mkubwa wa kibiashara.
 
Wagalatia hawana akili, sijui nani kawaroga aisee, utaskia hii nchi inaongozwa na kanisa mara wakatoliki wakigoma hakipiti kitu! PUMBAVUUUUUU
 
Waliosema yamerekebishwa ndo maana wamehudhuria ikiwemo miaka na uwajibikaji ulitaka mikataba ifutwe upate faida gani?
Kip kilimsumkuma huyo ajuza ,kusaini taratibu za kumpata mwekezaji hazijulikani
 
Walitaka vifungu vifanyiwe kazi na serikali imefanyia kazi wakawa hawana sababu ya kupinga mkataba.

Samia ni bonge la kiongozi, bonge la rais. Kathibitisha uwezo wake wa kiuongozi kwenye suala hili la bandari kuingia mkataba mkubwa wa kibiashara.
Hapo nilipo bold wakati utoaji saini uko live ulikuwa unacomment kishabiki sana nashangaa saa hizi unawatetea TEC😂😂😂
 
Bado ni mapema....,nadhani watatoka kulitolea ufafanuzi....,Huendi walifatwa na bunduki kuhudhuria utiani saini......HUWEZ JUA...Kama Mwenezi an ZERO, Unategemea nini....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…